Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Ushamba ni asili ya wasukuma sio sisi,kama mnafurahia kuishi kwenye nyumba za tembe nyie hamna tofauti na nguruwe
Narudia uzuri wa mji na kipimo cha watu kuwa na pesa ni maendeleo yao hasa kwenye majengo ya ghorofa.Sasa endeleeni kuishi mapangoni humo migodini eti mkijifariji kwamba ni matajiri wa dhahabu mtaendelea kuongoza kwa umaskini kila ripoti
Lastly Njombe utaitaka tu kwa lazima hata kama hupendi ni ishu ya muda tuu subiri roads za Ifakara Njombe,lwanjilo makete Njombe na Njombe ludewa mbamba bay zikamilike
We jamaa ni mshamba na ndezi wa maghorofa
 
Naifahamu njombe sana sana..kuna miaka biashara ya mbao ilikua juu vby sana sana..naijua hii biashara ...lakini huwez ifananisha Njombe na Kahama..mayb weka battle la Njombe na Mafinga..na mafinga itaibuka kidedea...! njombe imekuwa uswekeni..zaman kina mama walikua wanajiita mama mbao sasa hv watu wanaenda na aluminium and the like...uliza wauza mbao wa pale mwnge kama wanauza kma 7yrs ago!
Kwa maana hiyo siku hizi wanaezekea aluminiam
 
Kwa maana hiyo siku hizi wanaezekea aluminiam
😅😅!aliyefanya biashara ya mbao miaka ya 2000's atakuwa anaelewa...zaman unaweza agiza mzigo mara 3 dar ..!sio sasa!...ssbhv alminium imeharibu soko la mbao
 
We jamaa ni mshamba na ndezi wa maghorofa
Mshamba saana lakini sifa ya ushamba ni ya kwenu wasukuma
Narudia tena uzuri wa mji ni maghorofa kama hakuna magorofa inatakiwa khm vs Igawa
Nenda kokote sema chochote uzuri na ufahari wa mji ni maghorofa tena marefu.Nenda Kenya forums utakuta hiki nachoongea
 
Mshamba saana lakini sifa ya ushamba ni ya kwenu wasukuma
Narudia tena uzuri wa mji ni maghorofa kama hakuna magorofa inatakiwa khm vs Igawa
Nenda kokote sema chochote uzuri na ufahari wa mji ni maghorofa tena marefu.Nenda Kenya forums utakuta hiki nachoongea
 
Mshamba saana lakini sifa ya ushamba ni ya kwenu wasukuma
Narudia tena uzuri wa mji ni maghorofa kama hakuna magorofa inatakiwa khm vs Igawa
Nenda kokote sema chochote uzuri na ufahari wa mji ni maghorofa tena marefu.Nenda Kenya forums utakuta hiki nachoongea
Narudia kukwambia maghorofa sio maendeleo kingine hata hivyo vibanda mlivyonavyo bado hamfikii hata robo kingine mi sio msukuma lakini msukuma au ngoshha m1 uncle magu Tanzania hapa anaipeleka mbio hii amewashika pabaya
 
Narudia kukwambia maghorofa sio maendeleo kingine hata hivyo vibanda mlivyonavyo bado hamfikii hata robo kingine mi sio msukuma lakini msukuma au ngoshha m1 uncle magu Tanzania hapa anaipeleka mbio hii amewashika pabaya
Kajambe mbele huko huna hoja,kama sio maendeleo yamejengewa kwa kamasi zako au?
Haya sio maendeleo nambie wewe maendeleo gani Kahama inayo kuzidi Njombe ya tatu kitaifa kwa takwimu rasmi za serikali,lete na wewe takwimu zako.Unanichosha tu kwa kuongea kwa mihemko
Magu amewashika vibaya nyie huko kahaba huko Njombe ameshika pazuri,kwa kujenga hospitali ya mkoa,stend ya kisasa,soko la kisasa,barabara za lami za kuelekea ludewa hadi mbamba bay Ruvuma,Mbeya via makete na kuelekea Ifakara to mikumi sasa mbuzi nyie mtaongea nini
 
kwa kua magorofa sio maendeleo bila shaka takwimu za NBS zimemaliza kua mikoa yenye watu wamesogea kimaisha kwa ujumla ni DAR ES SALAAM,KILIMANJARO na NJOMBE wengine wanafuata.
Narudia kukwambia maghorofa sio maendeleo kingine hata hivyo vibanda mlivyonavyo bado hamfikii hata robo kingine mi sio msukuma lakini msukuma au ngoshha m1 uncle magu Tanzania hapa anaipeleka mbio hii amewashika pabaya
 
Back
Top Bottom