mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,292
- 798
We jamaa ni mshamba na ndezi wa maghorofaUshamba ni asili ya wasukuma sio sisi,kama mnafurahia kuishi kwenye nyumba za tembe nyie hamna tofauti na nguruwe
Narudia uzuri wa mji na kipimo cha watu kuwa na pesa ni maendeleo yao hasa kwenye majengo ya ghorofa.Sasa endeleeni kuishi mapangoni humo migodini eti mkijifariji kwamba ni matajiri wa dhahabu mtaendelea kuongoza kwa umaskini kila ripoti
Lastly Njombe utaitaka tu kwa lazima hata kama hupendi ni ishu ya muda tuu subiri roads za Ifakara Njombe,lwanjilo makete Njombe na Njombe ludewa mbamba bay zikamilike
Ushamba huu, piga Arial photography tuone mji wenu sio vighorofa uchwara
Dar Kilimanjaro,then Njombe.Hizo Ni Takwimu za NBS.Mikoa yenye migodi ilitokea kwenye mikoa duni.Ukiwemo geita
Leta source acha story za Vijiwe vya kahawaUtasikia jamaa wa mitaroni huko Kahama eti sisi ni matajiri wa dhahabu,haaaππππ bure kabisa hao
Wanajifanya hawaoni
VIEW NJOMBE THE BEAUTIFUL CITY OF THE SUN
Poleni mji kama msitu
Kwa maana hiyo siku hizi wanaezekea aluminiamNaifahamu njombe sana sana..kuna miaka biashara ya mbao ilikua juu vby sana sana..naijua hii biashara ...lakini huwez ifananisha Njombe na Kahama..mayb weka battle la Njombe na Mafinga..na mafinga itaibuka kidedea...! njombe imekuwa uswekeni..zaman kina mama walikua wanajiita mama mbao sasa hv watu wanaenda na aluminium and the like...uliza wauza mbao wa pale mwnge kama wanauza kma 7yrs ago!
π π !aliyefanya biashara ya mbao miaka ya 2000's atakuwa anaelewa...zaman unaweza agiza mzigo mara 3 dar ..!sio sasa!...ssbhv alminium imeharibu soko la mbaoKwa maana hiyo siku hizi wanaezekea aluminiam
Mshamba saana lakini sifa ya ushamba ni ya kwenu wasukumaWe jamaa ni mshamba na ndezi wa maghorofa
Hiyo ndio sifa ya miji ya wastaarabu dizaini ya Vancouver ,Njombe ni fire mtafukua mitaro sana huko borrow pit townPoleni mji kama msitu
Umekurupuka π€π€π€π€Leta source acha story za Vijiwe vya kahawa
Unaweka mpira kwapani,ππππChapter closed and key is throne
Mshamba saana lakini sifa ya ushamba ni ya kwenu wasukuma
Narudia tena uzuri wa mji ni maghorofa kama hakuna magorofa inatakiwa khm vs Igawa
Nenda kokote sema chochote uzuri na ufahari wa mji ni maghorofa tena marefu.Nenda Kenya forums utakuta hiki nachoongea
Narudia kukwambia maghorofa sio maendeleo kingine hata hivyo vibanda mlivyonavyo bado hamfikii hata robo kingine mi sio msukuma lakini msukuma au ngoshha m1 uncle magu Tanzania hapa anaipeleka mbio hii amewashika pabayaMshamba saana lakini sifa ya ushamba ni ya kwenu wasukuma
Narudia tena uzuri wa mji ni maghorofa kama hakuna magorofa inatakiwa khm vs Igawa
Nenda kokote sema chochote uzuri na ufahari wa mji ni maghorofa tena marefu.Nenda Kenya forums utakuta hiki nachoongea
Kajambe mbele huko huna hoja,kama sio maendeleo yamejengewa kwa kamasi zako au?Narudia kukwambia maghorofa sio maendeleo kingine hata hivyo vibanda mlivyonavyo bado hamfikii hata robo kingine mi sio msukuma lakini msukuma au ngoshha m1 uncle magu Tanzania hapa anaipeleka mbio hii amewashika pabaya
Narudia kukwambia maghorofa sio maendeleo kingine hata hivyo vibanda mlivyonavyo bado hamfikii hata robo kingine mi sio msukuma lakini msukuma au ngoshha m1 uncle magu Tanzania hapa anaipeleka mbio hii amewashika pabaya
tupe vigezo kahama ya ngapi kwenye list nbsNarudia kukwambia maghorofa sio maendeleo kingine hata hivyo vibanda mlivyonavyo bado hamfikii hata robo kingine mi sio msukuma lakini msukuma au ngoshha m1 uncle magu Tanzania hapa anaipeleka mbio hii amewashika pabaya
nishawah kupiga vyombo nikaondka saa 12 asubuh pale ni kama jehanamu