bobby_Barbosa_9
JF-Expert Member
- Jul 29, 2019
- 631
- 1,268
Tuna muangalia tu huyu... anaejitia mwelevuHalafu sijui kwanini tu, Watu ambao unakuta elimu awana ndo uwa wanakimbilia kujitia wana elimu... Iko hivi fatilia uelewa kama mufindi imekuwa ya pili chini ya ilala kwa mara moja, Nakujuza hiyo Kahama inapishana na Ilala kwa miaka mingi tu, yani mufindi iliyo wahi kuwa ya pili Kahama ishakuwa ya pili kitaifa kwa muda tu
Kwanza kama haujui... mikoa mingi inayozunguka kahama watoto wengi wanaenda kusoma kahama, coz kuna shule nzuri sana pale tena zenye kufaulisha zaidiMufindi ina shule za sekondari 40 plus, nimeweka hapo reply No 1087, Kahama zipo ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeleweka mkuu... labda walipanga kuto kuelewa na hawataelewaTuna muangalia tu huyu... anaejitia mwelevu
Kahama nimeanza kuiskia kitambo sana, tena nishaenda kwenye kufatilia statistcs kwenye taasis flan nikakuta kahama ipo,
Then baada ya kwenda kutembelea kahama nikaelewa kwann huwa inasifika.
...
Wee ni kiazi...njoo madhahabuni upewe nyama unyamaze... una unachokijua weweWewe hapo umeimba pambio sio? Halafu stupid sio tusi, no mtu mjinga, kwa Lugha rahisi ni mtu asiye na maarifa.
Unapokutana na mtu ignorant kama wewe lazima utukane ili akili zake zijikusanye
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wao katika wale wanaiponda Kahama, hawapajui wanaichukulia as wilaya ya shinyanga tuu, kumbe Kahama inajibeba kwa mambo mengine mengi ya kutoshaKwanza kama haujui... mikoa mingi inayozunguka kahama watoto wengi wanaenda kusoma kahama, coz kuna shule nzuri sana pale tena zenye kufaulisha zaidi
Ingia mwenyew uangalie hzo shule sio mpk nikuwekee hapa,
Mjinga ambae hujui vitu, ila unaona wenzako hawajui
...
Halafu sijui kwanini tu, Watu ambao unakuta elimu awana ndo uwa wanakimbilia kujitia wana elimu... Iko hivi fatilia uelewa kama mufindi imekuwa ya pili chini ya ilala kwa mara moja, Nakujuza hiyo Kahama inapishana na Ilala kwa miaka mingi tu, yani mufindi iliyo wahi kuwa ya pili Kahama ishakuwa ya pili kitaifa kwa muda tu
Kwanza kama haujui... mikoa mingi inayozunguka kahama watoto wengi wanaenda kusoma kahama, coz kuna shule nzuri sana pale tena zenye kufaulisha zaidi
Ingia mwenyew uangalie hzo shule sio mpk nikuwekee hapa,
Mjinga ambae hujui vitu, ila unaona wenzako hawajui
...
Wee ni kiazi...njoo madhahabuni upewe nyama unyamaze... una unachokijua wewe
Tuliza kichwa chako kwanza, ayupo aliyeandika madhabahu... then usirudie kulinganisha kahama na huo utumbo, huku gram ya dhahabu pure inaenda hadi k120, wee unatuletea wanaume story za kulima chai hapa... huko serious kweli?
Takwimu zako zinaonesha mufindi imeizidi kahama kwamba iko chini ya ilala siku zote... sasa nazitaka hzo takwimu ili nami nikupe zanguWapi Takwamu? Nipe namba mbona mimi nimekupa? Na sina hakika kama kanda hiyo huwa mnaenda shule. Sina hakika kama mtu ataacha kupeleka mtoto Mbeya au Kilimanjaro au Kagera kusoma akampeleka Kahama, never heard of it.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili yako ndio imeishia hapa,Wapi Takwamu? Nipe namba mbona mimi nimekupa? Na sina hakika kama kanda hiyo huwa mnaenda shule. Sina hakika kama mtu ataacha kupeleka mtoto Mbeya au Kilimanjaro au Kagera kusoma akampeleka Kahama, never heard of it.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njia yako ya kulinganisha miji inachekesha sana...unaweka picha za features zilizokuwepo toka enzi za adam...Weka picha za cbd yenu na kahama waweke yao tulinganishe... wewe unasema mlinganishe umeme na barabara sasa hapo mnalinganisha vipi..mkienda kimahaba sioni maana ya huu mjadala...
Tuliza kichwa chako kwanza, ayupo aliyeandika madhabahu... then usirudie kulinganisha kahama na huo utumbo, huku gram ya dhahabu pure inaenda hadi k120, wee unatuletea wanaume story za kulima chai hapa... huko serious kweli?
Mii naijua na nilipo ndo dhahabu inapatikana, wee huijui! na ata fedha ya madini uijui wewe... Maana uwezi ukanletea habari za chai na uhandaaji wa mashamba... Ikiwa watu wanapiga mamilioni ya pesa kwa shift isiyochukua ata masaa kumi,Dhahabu unaijua au unagugo tu bei mzee, usiongee vitu vilivyo nje ya uelewa wako,
Halafu fyi, Chai imefanya watu wa Mafinga wameendelea kuliko huko mashimoni, mavumbi tupu mnaishi kama wanyama. Umeona hizo picha lakini nimetuma?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa unachekesha sana tuletee hizo takwimu zinazoonyesha mufindi ilikuwa ya pili baada ya IlalaMufindi ni kati ya Halmashauri kumi kitaifa zinazochangia pato la taifa,
Ndio maana nimesema hamuijui nchi yenu.
Mifindi imeshakuwa ya pili mara kadhaa baada ya Ilala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njia yako ya kulinganisha miji inachekesha sana...unaweka picha za features zilizokuwepo toka enzi za adam...Weka picha za cbd yenu na kahama waweke yao tulinganishe... wewe unasema mlinganishe umeme na barabara sasa hapo mnalinganisha vipi..mkienda kimahaba sioni maana ya huu mjadala...
Mii naijua na nilipo ndo dhahabu inapatikana, wee huijui! na ata fedha ya madini uijui wewe... Maana uwezi ukanletea habari za chai na uhandaaji wa mashamba... Ikiwa watu wanapiga mamilioni ya pesa kwa shift isiyochukua ata masaa kumi,
wanapembua wanafanya yao... na kingine Madini yanahitaji uwe mwanaume kweli kweli, Sio rahisi kushuka chini ya ardhi kama una uanaume thabiti, na ndio maana sishangai nyie wengine kuamua kulima chai
Na ni vyema ukiendelea kujichekelezesha ivyo ivyo... maana umeshindwa kujibu hoja yamebaki matambo tu mara kwa level zangu siingii shimoni, ukitaka mjadala jibu ni lini Mufindi imemzidi Kahama kwa mapato na mzunguko wa pesa tutaendelea.Hahahah, unajuaje kama siijui mzee, chai nalima na pesa ya dhahabu pia napiga kama kawaida, nankwa level yangu shimoni siingii, wewe endelea kuning'inia kwenye kamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa unachekesha sana tuletee hizo takwimu zinazoonyesha mufindi ilikuwa ya pili baada ya Ilala
Basi tuachane na Ilala maana umeshindwa kuleta takwimu .......