ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #17,801
Umeiona Kagera lakini?Wingi wa jero jero ndio utakusaidia nini Sasa kwenye GDP?
Sisi tunataka value kubwa,Wingi bakieni nao nyie harafu tukutane kwenye GDP
Nakuongezea na picha moja ya mfano kali balaa ya jiji letu pendwa la Mbeyaππππ
Sijawahi kuona CBD ni slum kama hii duniani, mpkaCBD ni mwendo wa slum barabara katikati ya mji zipo kama nyoka anapitaπππππNakuongezea na picha moja ya mfano kali balaa ya jiji letu pendwa la Mbeyaππππ
View attachment 2824229
Sijawahi kuona CBD ni slum kama hii duniani, mpkaCBD ni mwendo wa slum barabara katikati ya mji zipo kama nyoka anapitaπππππ
Una post na kujikoti mwenyewe π€£π€£π€£Nakuongezea na picha moja ya mfano kali balaa ya jiji letu pendwa la Mbeyaππππ
View attachment 2824229
Sijawahi kuona CBD ni slum kama hii duniani, mpkaCBD ni mwendo wa slum barabara katikati ya mji zipo kama nyoka anapitaπππππ
Una post na kujikoti mwenyewe π€£π€£π€£Nakuongezea na picha moja ya mfano kali balaa ya jiji letu pendwa la Mbeyaππππ
View attachment 2824229
Sehemu gani ambayo haitandikwi lami? Fumueni ilo jiji lenu mlijenge upya jiji linatia aibu taifaπππUna post na kujikoti mwenyewe π€£π€£π€£
Wakati unaendelea kukaza ujinga kichwani mwako,Mbeya & Songwe fursa Zinazidi kufunguliwa Kwa kutandika lami Kila Wilaya Hadi Wilaya,mpaka Hadi mpaka
View: https://www.instagram.com/p/C0DwoMctaY-/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Hayo ma picha yako ya instagram mara Twitter yametuchosha.Una post na kujikoti mwenyewe π€£π€£π€£
Wakati unaendelea kukaza ujinga kichwani mwako,Mbeya & Songwe fursa Zinazidi kufunguliwa Kwa kutandika lami Kila Wilaya Hadi Wilaya,mpaka Hadi mpaka
View: https://www.instagram.com/p/C0DwoMctaY-/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Hayo ma picha yako ya instagram mara Twitter yametuchosha.
Bado hujasema Hadi useme πππSehemu gani ambayo haitandikwi lami? Fumueni ilo jiji lenu mlijenge upya jiji linatia aibu taifaπππ
218 km hii ni ndoto na wajinga peke yao ndio wataamini, hii nchi itumie 1.2T kwaajili ya barabara ya mkoa wa Songwe mbona kichekesho cha Mwaka, na kama ikianza kujengwa itakamilika 2100.Bado hujasema Hadi useme πππ
JPM Bridge inaingia mara ngapi hapa? π
View: https://www.instagram.com/p/C0CaqpntjC6/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Hizi ahadi hata Mwanza imepewa sana lakni utekelezaji ni sifuri hakuna kitu.
Acha kulinganisha maneno na vitendo, mradi yBado hujasema Hadi useme πππ
JPM Bridge inaingia mara ngapi hapa? π
View: https://www.instagram.com/p/C0CaqpntjC6/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Mradi hewa ndio Ukoje wakati kazi imeanza Kwa kujenga Camps?Acha kulinganisha maneno na vitendo, mradi y
Wa JPM bridge huwezi kulinganisha na mradi hewa hata siku moja tumia akili hata mara moja moja.
Mtaishia kupewa 23km hizo zinawatoshaDeadline yake ni 2028 inajengwa Kwa miezi 66 so ikichelewa sana ni 2030.
Harafu Km 218*2=km 436 tuu sawa na Barabara zinazojengwa Kila mwaka na Serikali Sasa sembuse hiyo kujengwa miaka 4?
Najua unaumia sana ila Vumiloa hivyo hivyo ,huku Yanga kule Simba kote vichomi ππ
View: https://www.instagram.com/p/C0EJDw_I5_l/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Faraja ππππMtaishia kupewa 23km hizo zinawatosha
Hata mwanza walishaaidiwa kujengewa kiwanda cha simu mpka leo hata cha kuzalisha mifuniko ya simu hamna, unafurahia utafikiri huijui nchi yako.Faraja ππππ
Bado hujasema Hadi useme
View: https://www.instagram.com/p/C0GWBvDITHx/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Serikali haijengi viwanda Bali inajenga public goods ,kiwanda sio public goodHata mwanza walishaaidiwa kujengewa kiwanda cha simu mpka leo hata cha kuzalisha mifuniko ya simu hamna, unafurahia utafikiri huijui nchi yako.