ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #17,801
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeiona Kagera lakini?Wingi wa jero jero ndio utakusaidia nini Sasa kwenye GDP?
Sisi tunataka value kubwa,Wingi bakieni nao nyie harafu tukutane kwenye GDP
Sijawahi kuona CBD ni slum kama hii duniani, mpkaCBD ni mwendo wa slum barabara katikati ya mji zipo kama nyoka anapita😂😂😂😂😂Nakuongezea na picha moja ya mfano kali balaa ya jiji letu pendwa la Mbeya😍😍👇👇
View attachment 2824229
Sijawahi kuona CBD ni slum kama hii duniani, mpkaCBD ni mwendo wa slum barabara katikati ya mji zipo kama nyoka anapita😂😂😂😂😂
Una post na kujikoti mwenyewe 🤣🤣🤣Nakuongezea na picha moja ya mfano kali balaa ya jiji letu pendwa la Mbeya😍😍👇👇
View attachment 2824229
Sijawahi kuona CBD ni slum kama hii duniani, mpkaCBD ni mwendo wa slum barabara katikati ya mji zipo kama nyoka anapita😂😂😂😂😂
Una post na kujikoti mwenyewe 🤣🤣🤣Nakuongezea na picha moja ya mfano kali balaa ya jiji letu pendwa la Mbeya😍😍👇👇
View attachment 2824229
Una post na kujikoti mwenyewe 🤣🤣🤣
Wakati unaendelea kukaza ujinga kichwani mwako,Mbeya & Songwe fursa Zinazidi kufunguliwa Kwa kutandika lami Kila Wilaya Hadi Wilaya,mpaka Hadi mpaka
View: https://www.instagram.com/p/C0DwoMctaY-/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Una post na kujikoti mwenyewe 🤣🤣🤣
Wakati unaendelea kukaza ujinga kichwani mwako,Mbeya & Songwe fursa Zinazidi kufunguliwa Kwa kutandika lami Kila Wilaya Hadi Wilaya,mpaka Hadi mpaka
View: https://www.instagram.com/p/C0DwoMctaY-/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Hayo ma picha yako ya instagram mara Twitter yametuchosha.
Bado hujasema Hadi useme 😁😁😁Sehemu gani ambayo haitandikwi lami? Fumueni ilo jiji lenu mlijenge upya jiji linatia aibu taifa😝😝😝
Bado hujasema Hadi useme 😁😁😁
JPM Bridge inaingia mara ngapi hapa? 👇
View: https://www.instagram.com/p/C0CaqpntjC6/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Bado hujasema Hadi useme 😁😁😁
JPM Bridge inaingia mara ngapi hapa? 👇
View: https://www.instagram.com/p/C0CaqpntjC6/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Mradi hewa ndio Ukoje wakati kazi imeanza Kwa kujenga Camps?Acha kulinganisha maneno na vitendo, mradi y
Wa JPM bridge huwezi kulinganisha na mradi hewa hata siku moja tumia akili hata mara moja moja.
Deadline yake ni 2028 inajengwa Kwa miezi 66 so ikichelewa sana ni 2030.
Harafu Km 218*2=km 436 tuu sawa na Barabara zinazojengwa Kila mwaka na Serikali Sasa sembuse hiyo kujengwa miaka 4?
Najua unaumia sana ila Vumiloa hivyo hivyo ,huku Yanga kule Simba kote vichomi 😁😁
View: https://www.instagram.com/p/C0EJDw_I5_l/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Faraja 😁😁😁😁Mtaishia kupewa 23km hizo zinawatosha
Faraja 😁😁😁😁
Bado hujasema Hadi useme
View: https://www.instagram.com/p/C0GWBvDITHx/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Serikali haijengi viwanda Bali inajenga public goods ,kiwanda sio public goodHata mwanza walishaaidiwa kujengewa kiwanda cha simu mpka leo hata cha kuzalisha mifuniko ya simu hamna, unafurahia utafikiri huijui nchi yako.