Kahama VS Njombe/Mafinga

Nimeona KCU Bukoba wamefungua Ukumbi mzr mkubwa wa kisasa Bukoba... Bukoba inaonekana inajoga siku hiz
Huwa namshangaa jamaa anatoa wapi ujasiri wa kulinganisha bk na vijiji kama sumbawanga
 

Attachments

  • Namshukuru_Mungu_ukumbi_wetu_wa_KCU_CONFERENCE_CENTRE_ulioko_Bukoba_mjini_umeanza_kutumika_ras...mp4
    3 MB
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka amesema uongozi wa mkoa huo umekusudia kuufanya Mji wa Makambako kuwa eneo la viwanda ili kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi wa mkoa huo.

Mtaka amesema hayo wakati akisikiliza na kutatua kero za wananchi wa Makambako ambapo amesema wapo katika hatua za mwisho kuanzisha kiwanda cha gloves na kiwanda cha parachichi.

Aidha Mtaka amesema hakuna kiongozi yeyote atakayewazuia wananchi kufanya biashara halali kwa saa 24.

Ameongeza kuwa kuelekea mwisho wa mwaka kila mzazi ajipange kupeleka mtoto wake shule bila ya kisingizio chochote.

"Naomba nisistize ndugu wazazi wenzangu, mwezi Januari kila mzazi asiwe na kisingizio chochote cha kufanya mtoto asiende shule."

Mtaka ameandaa mkutano huo wa kusikiliza kero za wananchi akiwahusisha wataalamu wa idara mbalimbali za wilaya hiyo ili kutafuta ufumbuzi wa changamoto za wananchi.
 
Soma Taratibu na maji ya kunywa yawe pembeni

View: https://www.instagram.com/p/C1ACJPEKNbD/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Mwamba anapiga kazi na viwanda vinazidi kujengwa na wawekezaji wanamiminika kutoka sehemu mbalimbali wanatumia fursa ya position ya mji ukiwa na kiwanda makambako una uhakika wa kusupply bidhaa sehemu nyingi na mji upo ndani ya mikoa yenye raw material za kutosha hii imepelekea wachina kuanza ujenZi kiwanda kikubwa Cha nondo na bidhaa zingine za chuma Africa mashariki na kati kitakacho ajiri watu zaidi ya 1500 hii ni kutokana na madini ya chuma mchuchuma ludewa na kama mkoa umeamua makambako ndo viwanda vya bidhaa tofauti zinazopatikana mkoa wa njombe zichakatwe hapo viwanda vya bidhaa ya chuma navyo vitajengwa vya kutosha na mji tayar wamesha pima maeneo ya kujenga viwanda
 
Viwanda haviletwi na Mwamba,ni nature ya sehemu tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…