ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #17,941
Wee jamaa wana kanda ya ziwa walikufanya nini ππBK zinajengwa sababu ya jina Manispaa ila Haina vigezo.Wakati mnajenga km 5 wenzio wakijenga zaidi ya km 10 ikiwemo dual Carriage road.
Kumbe unakiri kwamba Swax is bigger 3 times your fishing Village of Bukoba? So we deserves more than that.
Bado hujasema Hadi useme π₯π₯Wee jamaa wana kanda ya ziwa walikufanya nini ππ
Una chuki iliyokomaa ππππΎ
Naona Kagera wanazidi kuambiwa UkweliView attachment 2850616
Mkuu Tanzania nzima yote yangu ππ, hiyo njombe na kusini nimeishi pia kwa hiyo ikifanikiwa na mimi nitafaidika. No hard feelings kabsaaBado hujasema Hadi useme π₯π₯
View: https://www.instagram.com/reel/C1M4zL-shvP/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Bukoba ni construction site siku hiz...Tazama ile shopping mall yetu..
ππ We babu una vituko, yaani construction site Kwa ka mall kamoja ambako hakaishagi? ππBukoba ni construction site siku hiz...Tazama ile shopping mall yetu..
Skyline ya bukoba inaizidi mbeya...
Na hapo hospital ya mkoa ghorofa jipya, soko kuu ghorofa jipya...kamera hajaielekeza kashura kule ni mitaa ya mipya ya washua Bukoba
View: https://youtu.be/2-tPq-WdYW4?si=6dZ0etbRyAfNRjlI
Ujenzi umeanza mwaka huu mwezi wa nne na unaisha june mwakaniππ We babu una vituko, yaani construction site Kwa ka mall kamoja ambako hakaishagi? ππ
Swax ni kiboko ya Bukoba fishing village.Apart from Tactic normal construction of Municipal roads are going on View attachment 2851616View attachment 2851617
ulianzaga lini kusema habari za mall?Ujenzi umeanza mwaka huu mwezi wa nne na unaisha june mwakani
Tatizo hutaki kusikia huu mradi ndo maana unaona nimeongelea huu mradi zamani...ulianzaga lini kusema habari za mall?