Mpaka sasa ruti ya dar Mwanza inaongoza Kwa wingi wa mabus .. uzuri wa mabasi na gharama
Baada ya kuwa Kikongwe ndio unajifanya unasali.View attachment 2858340
Ndio nimemaliza Ibada
Mimi nataka nyumba zenu vijijini...maana maisha ni nyumba siku zote...mnajisifia mna hela lakin matumizi yake hatuyaoni...Mambo YanaZidi kuwa matamu mkoa wa njombe Kaz ya uchImbaji madini inaendelea ili kuendana na rasilimali hii adim ndo maana mkoa umeamua kutumia fursa hii makambako uwe mji wa viwanda View attachment 2857932 katika mkoa ndo unamiundombinu yote ya reli ,Barabara ,umeme mkubwa na ni rahisi kuyafikia masoko yote ya SADC,EAC nk pia ni eneo lililoplaniwa na mkoa kujengwa bandari kavu ndo maana tayar makampuni makubwa yameanza kuwekeza viwanda vya chuma nk View attachment 2857931 View attachment 2857930
😂😂😂😂 Labda ela ni za majini yanawakataza kujenga nyumba nzuri za kuishi, au ukijenga kijijini wachawi wanapita na wewe si unajua wenzetu hawa vijijini wanaishi kizamani sana.Mimi nataka nyumba zenu vijijini...maana maisha ni nyumba siku zote...mnajisifia mna hela lakin matumizi yake hatuyaoni...
Huku ni muleba..Wilaya katika mkoa maskini Kagera 😂
View: https://www.instagram.com/p/C1hwdOeMYId/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
View: https://www.instagram.com/p/C1hwMgKsriz/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
Naona mnafarijiana endeleeni kufarijiana umasikin ndo unawamaliza Uwekezaji unadhihirisha pesa hawategemei mashirika😂😂😂😂 Labda ela ni za majini yanawakataza kujenga nyumba nzuri za kuishi, au ukijenga kijijini wachawi wanapita na wewe si unajua wenzetu hawa vijijini wanaishi kizamani sana.
Waache na takwimu zao za kupika za serikali..nani hajui Tz hii hatuko serious na takwimu...😂😂😂😂 Labda ela ni za majini yanawakataza kujenga nyumba nzuri za kuishi, au ukijenga kijijini wachawi wanapita na wewe si unajua wenzetu hawa vijijini wanaishi kizamani sana.
Waache na takwimu zao za kupika za serikali..nani hajui Tz hii hatuko serious na takwimu...😂😂😂😂 Labda ela ni za majini yanawakataza kujenga nyumba nzuri za kuishi, au ukijenga kijijini wachawi wanapita na wewe si unajua wenzetu hawa vijijini wanaishi kizamani sana.
Nani kakwambia mji hawajengi maghorofa? Wew unafikiri maghorofa 700 yanatoka wap Bukoba?Naona mnafarijiana endeleeni kufarijiana umasikin ndo unawamaliza Uwekezaji unadhihirisha pesa hawategemei mashirikaView attachment 2859145View attachment 2859147
Stendi ya daladala mjini kati Bukoba uko Kasi sana...mwezi wa nne stendi hii inabidi iwe imeisha
Stendi ya daladala mjini kati Bukoba uko Kasi sana...mwezi wa nne stendi hii inabidi iwe imeisha
TUNAWAMBIA SAIzi kuhusu nyumba za vijiji kwa mkoa wa wa njombe uko vizur mno sio ajenda ya kutuletea humu saiz tunacho angalia miradi mikubwa inayo leta tija plaza hiyo maketeStendi ya daladala mjini kati Bukoba uko Kasi sana...mwezi wa nne stendi hii inabidi iwe imeisha
Miji inakaa hiv...A town should have proper city centre and downtown...sio unafika mji flani hujui hata mjini ni wap...TUNAWAMBIA SAIzi kuhusu nyumba za vijiji kwa mkoa wa wa njombe uko vizur mno sio ajenda ya kutuletea humu saiz tunacho angalia miradi mikubwa inayo leta tija plaza hiyo makete View attachment 2859216
Miji inakaa hiv...A town should have proper city centre and downtown...sio unafika mji flani hujui hata mjini ni wap...TUNAWAMBIA SAIzi kuhusu nyumba za vijiji kwa mkoa wa wa njombe uko vizur mno sio ajenda ya kutuletea humu saiz tunacho angalia miradi mikubwa inayo leta tija plaza hiyo makete View attachment 2859216
KAMA UMESOMEA mIPAngo miji si lazima miji yote ifanane inategemeana na future ya mji Kuna miji ya utawala , Kuna miji ya biashara na uwekezaji usilazimishe miji yote ya tanzania ifanane na bukoba MFANO HIYO NI MAKAMBako saiz wanajenga parking kubwa mbili za Maroli hiikwasababu mji wao wameTARGET KUWA WA VIWANDAMiji inakaa hiv...A town should have proper city centre and downtown...sio unafika mji flani hujui hata mjini ni wap...
Na hapa hawajetengeza Barabara za mjini kati ambazo nazo zinatengenezwa mwakani..
Kwa Tanzania miji ya zamani ndo Iko hiv na ina mionekano ya Mji kwa sabahu ilipangwa..
Hapo mjini Kuna mfumo wa majitaka,majisafi na mji unatakiwa kuwa na public park..ambayo Bukoba inazo mbili
Mji sio kuongoza mapato na kujusanya Mabillion mji ni kufata urban planning
Bukoba downtown...
Kuchaguliana rangi kama uniform ni upuuziMafinga nao ndo hao kila mji una future yake usilazimishe mamboView attachment 2859314
HATA HIVYO RAIA WAMEPUUZIAKuchaguliana rangi kama uniform ni upuuzi