Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mambo YanaZidi kuwa matamu mkoa wa njombe Kaz ya uchImbaji madini inaendelea ili kuendana na rasilimali hii adim ndo maana mkoa umeamua kutumia fursa hii makambako uwe mji wa viwanda
IMG-20231124-WA0128.jpg
katika mkoa ndo unamiundombinu yote ya reli ,Barabara ,umeme mkubwa na ni rahisi kuyafikia masoko yote ya SADC,EAC nk pia ni eneo lililoplaniwa na mkoa kujengwa bandari kavu ndo maana tayar makampuni makubwa yameanza kuwekeza viwanda vya chuma nk
1702914137702.jpg
1703987665072.jpg
 
Mambo YanaZidi kuwa matamu mkoa wa njombe Kaz ya uchImbaji madini inaendelea ili kuendana na rasilimali hii adim ndo maana mkoa umeamua kutumia fursa hii makambako uwe mji wa viwanda View attachment 2857932 katika mkoa ndo unamiundombinu yote ya reli ,Barabara ,umeme mkubwa na ni rahisi kuyafikia masoko yote ya SADC,EAC nk pia ni eneo lililoplaniwa na mkoa kujengwa bandari kavu ndo maana tayar makampuni makubwa yameanza kuwekeza viwanda vya chuma nk View attachment 2857931 View attachment 2857930
Mimi nataka nyumba zenu vijijini...maana maisha ni nyumba siku zote...mnajisifia mna hela lakin matumizi yake hatuyaoni...

Huku ni muleba..Wilaya katika mkoa maskini Kagera 😂

View: https://www.instagram.com/p/C1hwdOeMYId/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==


View: https://www.instagram.com/p/C1hwMgKsriz/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
 
Mimi nataka nyumba zenu vijijini...maana maisha ni nyumba siku zote...mnajisifia mna hela lakin matumizi yake hatuyaoni...

Huku ni muleba..Wilaya katika mkoa maskini Kagera 😂

View: https://www.instagram.com/p/C1hwdOeMYId/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==


View: https://www.instagram.com/p/C1hwMgKsriz/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==

😂😂😂😂 Labda ela ni za majini yanawakataza kujenga nyumba nzuri za kuishi, au ukijenga kijijini wachawi wanapita na wewe si unajua wenzetu hawa vijijini wanaishi kizamani sana.
 
😂😂😂😂 Labda ela ni za majini yanawakataza kujenga nyumba nzuri za kuishi, au ukijenga kijijini wachawi wanapita na wewe si unajua wenzetu hawa vijijini wanaishi kizamani sana.
Naona mnafarijiana endeleeni kufarijiana umasikin ndo unawamaliza Uwekezaji unadhihirisha pesa hawategemei mashirika
IMG_20231227_145135_021~2.jpg
IMG_20231229_072514_045~2.jpg
 

😂😂😂😂 Labda ela ni za majini yanawakataza kujenga nyumba nzuri za kuishi, au ukijenga kijijini wachawi wanapita na wewe si unajua wenzetu hawa vijijini wanaishi kizamani sana.
Waache na takwimu zao za kupika za serikali..nani hajui Tz hii hatuko serious na takwimu...

Kwa ground ni different
Huko Bukoba watu wanajenga majumba Kila kukicha
Wao wanadai Wana hela lakin hatuoni expenditure zao....
 

Attachments

  • dji_mimo_20231230_183402_0_1703952342240_photo.jpg
    dji_mimo_20231230_183402_0_1703952342240_photo.jpg
    4.1 MB · Views: 4
  • dji_mimo_20231229_125054_0_1703868265607_photo.jpg
    dji_mimo_20231229_125054_0_1703868265607_photo.jpg
    8.4 MB · Views: 4

😂😂😂😂 Labda ela ni za majini yanawakataza kujenga nyumba nzuri za kuishi, au ukijenga kijijini wachawi wanapita na wewe si unajua wenzetu hawa vijijini wanaishi kizamani sana.
Waache na takwimu zao za kupika za serikali..nani hajui Tz hii hatuko serious na takwimu...

Kwa ground ni different
Huko Bukoba watu wanajenga majumba Kila kukicha
Wao wanadai Wana hela lakin hatuoni expenditure zao
Naona mnafarijiana endeleeni kufarijiana umasikin ndo unawamaliza Uwekezaji unadhihirisha pesa hawategemei mashirikaView attachment 2859145View attachment 2859147
Nani kakwambia mji hawajengi maghorofa? Wew unafikiri maghorofa 700 yanatoka wap Bukoba?

Mambo ya kawaida hayo na Wala sio vitu vya kupost...tunataka vijijini
 

Attachments

  • DJI_20231228190846_0179_D.JPG
    DJI_20231228190846_0179_D.JPG
    6.2 MB · Views: 3
  • DJI_20231228190800_0174_D.JPG
    DJI_20231228190800_0174_D.JPG
    5.5 MB · Views: 4
  • DJI_20231228190809_0176_D.JPG
    DJI_20231228190809_0176_D.JPG
    5.7 MB · Views: 5
Stendi ya daladala mjini kati Bukoba uko Kasi sana...mwezi wa nne stendi hii inabidi iwe imeisha
TUNAWAMBIA SAIzi kuhusu nyumba za vijiji kwa mkoa wa wa njombe uko vizur mno sio ajenda ya kutuletea humu saiz tunacho angalia miradi mikubwa inayo leta tija plaza hiyo makete
FB_IMG_16768237648533578.jpg
 
TUNAWAMBIA SAIzi kuhusu nyumba za vijiji kwa mkoa wa wa njombe uko vizur mno sio ajenda ya kutuletea humu saiz tunacho angalia miradi mikubwa inayo leta tija plaza hiyo makete View attachment 2859216
Miji inakaa hiv...A town should have proper city centre and downtown...sio unafika mji flani hujui hata mjini ni wap...
Na hapa hawajetengeza Barabara za mjini kati ambazo nazo zinatengenezwa mwakani..
Kwa Tanzania miji ya zamani ndo Iko hiv na ina mionekano ya Mji kwa sabahu ilipangwa..
Hapo mjini Kuna mfumo wa majitaka,majisafi na mji unatakiwa kuwa na public park..ambayo Bukoba inazo mbili sasa
Bukoba downtown...
 

Attachments

  • dji_mimo_20240101_004024_0_1704091241490_photo.jpg
    dji_mimo_20240101_004024_0_1704091241490_photo.jpg
    6.2 MB · Views: 4
  • dji_mimo_20240101_004202_0_1704091225124_photo.jpg
    dji_mimo_20240101_004202_0_1704091225124_photo.jpg
    5.5 MB · Views: 2
  • dji_mimo_20240101_004146_0_1704091233023_photo.jpg
    dji_mimo_20240101_004146_0_1704091233023_photo.jpg
    3.5 MB · Views: 3
TUNAWAMBIA SAIzi kuhusu nyumba za vijiji kwa mkoa wa wa njombe uko vizur mno sio ajenda ya kutuletea humu saiz tunacho angalia miradi mikubwa inayo leta tija plaza hiyo makete View attachment 2859216
Miji inakaa hiv...A town should have proper city centre and downtown...sio unafika mji flani hujui hata mjini ni wap...
Na hapa hawajetengeza Barabara za mjini kati ambazo nazo zinatengenezwa mwakani..
Kwa Tanzania miji ya zamani ndo Iko hiv na ina mionekano ya Mji kwa sabahu ilipangwa..
Hapo mjini Kuna mfumo wa majitaka,majisafi na mji unatakiwa kuwa na public park..ambayo Bukoba inazo mbili

Mji sio kuongoza mapato na kujusanya Mabillion mji ni kufata urban planning
Bukoba downtown...
 
Miji inakaa hiv...A town should have proper city centre and downtown...sio unafika mji flani hujui hata mjini ni wap...
Na hapa hawajetengeza Barabara za mjini kati ambazo nazo zinatengenezwa mwakani..
Kwa Tanzania miji ya zamani ndo Iko hiv na ina mionekano ya Mji kwa sabahu ilipangwa..
Hapo mjini Kuna mfumo wa majitaka,majisafi na mji unatakiwa kuwa na public park..ambayo Bukoba inazo mbili

Mji sio kuongoza mapato na kujusanya Mabillion mji ni kufata urban planning
Bukoba downtown...
KAMA UMESOMEA mIPAngo miji si lazima miji yote ifanane inategemeana na future ya mji Kuna miji ya utawala , Kuna miji ya biashara na uwekezaji usilazimishe miji yote ya tanzania ifanane na bukoba MFANO HIYO NI MAKAMBako saiz wanajenga parking kubwa mbili za Maroli hiikwasababu mji wao wameTARGET KUWA WA VIWANDA
FB_IMG_16811889713114200.jpg
1703037483324.jpg
IMG_20231229_163643_018~2.jpg
1701961844311.jpg
 
Mafinga nao ndo hao kila mji una future yake usilazimishe mambo
1697948114690.jpg
1703570922380.jpg
1703466525903.jpg
 
Iringa mc wanaenda kiutalIi zaidi maeneo ya WAMEPIMA KWAAJILI YA UWEKEzaji wa hoteli na vituo vya kitalii ndo future ya mji kuwa wakitalii
1704041488078.jpg
 
Back
Top Bottom