tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Kahama inawakazi 300000 au unasema kahama ya njombeWilaya ya Kahama ina Halmashauri Tatu (Ushetu DC, Msalala DC na KMC) chini ya Mkuu wa wilaya Anamlingi Macha) Inakadiriwa wilaya ya Kahama ina Idadi ya watu 1.2 million huku Kahama Municipal Council ikiwa na idadi ya watu 320,000. Ni rahisi na mapema sana hiyo KMC kuwa Jiji kabla ya Njombe
Kahojiwa Mganga Mkuu Kahama, Kahama wilaya ina watu 1.2 m na Kahama Manispaa watu 300+KKahama inawakazi 300000 au unasema kahama ya njombe
Kwahiyo ushetu na msalala kuna watu 900,000 kwahiyo hesabu ya 1.2Kahojiwa Mganga Mkuu Kahama, Kahama wilaya ina watu 1.2 m na Kahama Manispaa watu 300+K
Hiyo hali iko maeneo mengi tu ya nchi na sio huko Iringa pekee na mtoa mada alikuwa na lake jambo
Hahaha anga lishachafukaaMapato ya Kahama mwaka wa fedha ulioishia yaani 2019/2020 hadi April yalikuwa 4.0 bln pekee which means by June walifikia around 5.1 bln pekee wakati wenzao Njombe ilivuka malengo na kufikia 4.1 bln by June 2020.Sasa ukiangalia hapo Njombe inafunga gap kwa haraka sana huku Kahama ikiwa stagnant au kupungua over years.
Hii inatranslate kwamba shughuli mpya za kiuchumi ni hamna au watu wanafunga biashara kwa hasara,angalia jedwali hili hapa chini sehemu iliyoandikwa Muhtasari wa Mapato
Yes, MkuuKwahiyo ushetu na msalala kuna watu 900,000 kwahiyo hesabu ya 1.2
Harudi tenaa[emoji13][emoji13][emoji13]Hahaha anga lishachafukaa
Ameshakufa huyo mtu mfupi wa njombeKahama ni zaidi ya Njombe/Mafinga
Kahama ni zaidi ya Njombe+Mafinga+MakambakoKahama ni zaidi ya Njombe/Mafinga
Kahama kupewa hadhi ya Manispaa kisiasa hakubadilishi chochote ,kilichopo ni kwamba Kahama unazidi Njombe kwa idadi kubwa ya maskini tuu na si vinginevyoWale wanjombe mafinga mko wapi..nadhani mmeisikilza vyema hotuba ya leo ya JPM ndani ya manispaa ya KAHAMA.
#MaendeleoHayanaChama
Manispaa ya Kahama haiondoi maskini waliotapakaa huko Njombe itabaki kuwa juu kwa kila kituWatasema nn.. wakati wanavyovisema humu ni huwa ni hadithi tupu...
Wa
Tu wanajenga na own sources, makusanyo yao nyanafanya 50% ya makusanyo ya mkoa mzima.. unakuja unasema tunalima miti na chai!?
Hizo political status hazitaweza kuwapunguzia umaskini mlio nao wala kuwaongezea chochote tangible zaidi ya proud uchwaraWilaya ya Kahama ina Halmashauri Tatu (Ushetu DC, Msalala DC na KMC) chini ya Mkuu wa wilaya Anamlingi Macha) Inakadiriwa wilaya ya Kahama ina Idadi ya watu 1.2 million huku Kahama Municipal Council ikiwa na idadi ya watu 320,000. Ni rahisi na mapema sana hiyo KMC kuwa Jiji kabla ya Njombe
Kwa idadi kubwa ya maskini mko vizuriKahojiwa Mganga Mkuu Kahama, Kahama wilaya ina watu 1.2 m na Kahama Manispaa watu 300+K
Kiwanda cha billion 159 kinajengwa na mzawa tena kwenye eneo la watu masikini eti?Hizo political status hazitaweza kuwapunguzia umaskini mlio nao wala kuwaongezea chochote tangible zaidi ya proud uchwara
Njombe itabakia kuwa juu kwenye nyanja zote za maisha au tutupie picha
Limechafukaje hapo mkuu,sie tuko on right track ,kuwa manispaa hakuongezi kipato pia ujue mada sio hiyoHahaha anga lishachafukaa
Niende wapi mkuu yaani nikimbie kinyago?Harudi tenaa[emoji13][emoji13][emoji13]
JPM kakujibu leoNiende wapi mkuu yaani nikimbie kinyago?
Umeosha matako ya vibibi unatumia bando na uhuru vibayaAmeshakufa huyo mtu mfupi wa njombe
Mafinga mkuu una fursa nyingi,Kahama imeshashikwa na wajanja, nenda Mafinga katafute mashamba huko vijijini Mufindi,panda miti ya mbao,lima mahindi na maharage. tatizo wengi tunataka kuanza biashara na kupata faida muda huo huo,wekeza kwenye miti ya mbao na milingoti,inachukua miaka kama 15- 20 ukiwa kijana huo ni uwekezaji mzuri.Karibuni kwenye mada
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga
Je ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwinzie in terms of maendeleo na ukuaji?