Kahama VS Njombe/Mafinga

Mkoa wa njombe unamikakati mizigo ya kutengeneza eneo la kibiashashara tayar kwenye upande wa usafiri wameanzisha daladala rasmi kipande Cha makambako njombe ambapo hii miji kwa Sasa ukitoka makambako hadi mtwango yametawala makazi ko hadi njombe unatenganisha msitu wa tanwat wameweka ruti ya daladala ya igwachanya To makambako ,ilembula to makambako na kitandililo to makambako hko tayari makazi yanatawala na kuwekwa mikanda rasmi
 

Attachments

  • 1709535567363.jpg
    123.2 KB · Views: 1
Anzisha uzi wa mbeya city photo gallery mkuu.
 
Kanda ya Ziwa mlishapoteana baada ya kukosa Cha ku post umebakia kuwa mpenzi mtazamaji na mchonganishaji πŸ˜‚πŸ˜‚

Wapi Kahama?
Siwachonganishi na huyo jamaa yako wa makambako, yeye anapost slum na uchafu wote wa mbeya bila kufichaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Naona mahostel ya chuo na mwaka huu utapost adi madarasa ya chekechea.
Vyuo ni sehemu ya fahari ya Jiji la Mbeya.
Pamoja na kwamba Mbeya Bado kulinganisha na Majiji mengine ila Mji unakua Kwa Kasi nzuri sana Kwa Sasa tofauti na Miaka iliyopita.
 
Gulio la kahama kama kahama lilipoishinda dampo la mbeyaπŸ‘‡πŸ‘‡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…