Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mkoa wa njombe unamikakati mizigo ya kutengeneza eneo la kibiashashara tayar kwenye upande wa usafiri wameanzisha daladala rasmi kipande Cha makambako njombe ambapo hii miji kwa Sasa ukitoka makambako hadi mtwango yametawala makazi ko hadi njombe unatenganisha msitu wa tanwat wameweka ruti ya daladala ya igwachanya To makambako ,ilembula to makambako na kitandililo to makambako hko tayari makazi yanatawala na kuwekwa mikanda rasmi
1709535567363.jpg
1709317693943.jpg
1709114059423.jpg
1709302228115.jpg
 

Attachments

  • 1709535567363.jpg
    1709535567363.jpg
    123.2 KB · Views: 1
Walioko site watuletee picha za current maana hizo za mitandaoni nyingi ziko out of date..

Jiji la Mbeya Kwa Sasa ni Construction site everywhere ,Baadhi ya picha nilizi spot siku za karibuni,Majengo yanaendelea Kusimama👇👇
View attachment 2918695View attachment 2918696View attachment 2918697View attachment 2918698View attachment 2918699View attachment 2918700View attachment 2918701View attachment 2918702View attachment 2918703

Hizo picha nilipiga kati ya Mwanjelwa-Nanenane ila ukienda kule Esso,Magorofani,Mafiati na Uyole kote huko Magorofa yanazidi kupanda hewani.

Saizi Mbeya imeanza kuwa na sura ya Jiji tofauti na zamani.
Anzisha uzi wa mbeya city photo gallery mkuu.
 
Naona mahostel ya chuo na mwaka huu utapost adi madarasa ya chekechea.
Vyuo ni sehemu ya fahari ya Jiji la Mbeya.
Pamoja na kwamba Mbeya Bado kulinganisha na Majiji mengine ila Mji unakua Kwa Kasi nzuri sana Kwa Sasa tofauti na Miaka iliyopita.
 
Back
Top Bottom