ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya Mpya inakuja,Mahoteli,Kumbi za mikutano na uwekezaji mwingine unakuja 👇👇![]()
View: https://youtu.be/GK5KeilL-DY?si=phfjBcY1bx1rbOPv
Waliopita walisema watasaini mikataba ya kulitia taifa kwenye unyonyaji ?Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, serikali haitakubali kuchimba madini kabla ya kupata mikataba iliyobora itakayonufaisha taifa.
Ita boost kidogo GDP ya Mkoa 👇👇
View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1819820274172522650?t=xE5ETUfAcinuV8i1cUiQUw&s=09
hv sasa nmefika Njombe na Kahama , kahama bado sana , mwanzoni nlikuwa sijafika Njombe nkawa na picha kichwan ila nmepaona Njombe , kwasasa unaizidi kahama hata hiyo Shinyanga makao makuu ya mkoa , Kahama inapewa kiki tangu zamani ila sehem ya kawaida sana kimiundo mbinu ila kifursa pia wako vzr kwa kulinganisha na maeneo ya kanda moja , kahama ipo ndani ndani tofautina Njombe ipo Main road , Kahama wapo juu kwenye kilimo na madini kuliko Njombe ila watu wa Njombe wameuwekea mkoa wao mazingira ya kupiga hatua kwa kasi kwa kutumia kile kile kidog walichonacho kusonga mbeleBattle ya Njombe iwekwe na wilaya za Kasulu, Masasi, Mafinga, Mbinga, Igunga, Geita- Katoro, Ifakara lakini sio Kahama
Na bado ndo kunaenda kucha zaidi maana huu mradi wa chuma unaenda kuvuta watu wengi na uwekezaji unaenda kuongezeka zaidi ndo watajua kWanini TULIWAMBIA mkoa wa njombe umejipambanua vizuri na upo Kasi na toka Hawa wawekezaji walivoanza program ya ujenzi wa viwanda vya chuma uwekezaji unazidi kukua Sana hasa ujenzi wa mahotel ,viwanda na visima vya mafuta kampuni mbalimbali zinajenga visimahv sasa nmefika Njombe na Kahama , kahama bado sana , mwanzoni nlikuwa sijafika Njombe nkawa na picha kichwan ila nmepaona Njombe , kwasasa unaizidi kahama hata hiyo Shinyanga makao makuu ya mkoa , Kahama inapewa kiki tangu zamani ila sehem ya kawaida sana kimiundo mbinu ila kifursa pia wako vzr kwa kulinganisha na maeneo ya kanda moja , kahama ipo ndani ndani tofautina Njombe ipo Main road , Kahama wapo juu kwenye kilimo na madini kuliko Njombe ila watu wa Njombe wameuwekea mkoa wao mazingira ya kupiga hatua kwa kasi kwa kutumia kile kile kidog walichonacho kusonga mbele