ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #19,341
Mzee Kaa Kwa kutulia,Mkoa wa Njombe na Mji wa Makambako ni case nyingine ππππππππHizi ndoto za kuota mchana ni mbaya sana, kwanza kwenye miji ya kuvutia unaweza kuitaja Lusaka kweli!π€
Jambo group pekee wanamiliki viwanda vya bidhaa tofauti zaidi ya 12,hapo bado kom group, fresho, gaki&East African spirits nawengineo kina dahong. Kumbuka nafasi ya viwanda kanda ya ziwa baada ya mwanza sasa vinaamia mkoa wa Shinyanga,ndipo viwanda vingi kwa kanda ya ziwa sasa vinawekwa.Ebu weka orodha yote ya viwanda vilivyopo Njombe+Makambako tuone kama vinafika hata nusu ya viwanda vilivyopo Shinyanga
Weka list ya viwanda acha taarabu π€π€Mzee Kaa Kwa kutulia,Mkoa wa Njombe na Mji wa Makambako ni case nyingine ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DAyqY04tSnR/?igsh=MTFhamIxdXFua210dg==
Watu wa Njombe ni kama wakenya sijui nani aliwadanganya kuwa wao ni matajiri sana π€£π€£π€£Jambo group pekee wanamiliki viwanda vya bidhaa tofauti zaidi ya 12,hapo bado kom group, fresho, gaki&East African spirits nawengineo kina dahong. Kumbuka nafasi ya viwanda kanda ya ziwa baada ya mwanza sasa vinaamia mkoa wa Shinyanga,ndipo viwanda vingi kwa kanda ya ziwa sasa vinawekwa.
Bado hujasema Hadi useme π€£π€£π€£Weka list ya viwanda acha taarabu π€π€
Shida hata mkoa wa njombe haujui nilimwambia mkoa wa njombe akili ni nyingi kutenga mji wa viwanda na biashara si plan ndogo ni mkoa wenye utajili wa rasilimaliMzee Kaa Kwa kutulia,Mkoa wa Njombe na Mji wa Makambako ni case nyingine ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DAyqY04tSnR/?igsh=MTFhamIxdXFua210dg==
Kitambo Sana njombe ilishatoka huko ww vp sio hoja ya kujisifia tena Kaa kimYaani nyie watu wa Njombe aliyewaaminisha kuwa nyie ni matajiri mbinguni atapaskia tuπ€£ππ€£
Kabla ya kuja kutembea tembea ndani ya mkoa wa Geita, nilikuwa na akili na imani kama za watu wa Njombe π€£π€π€ kuwa Geita ni mkoa maskini.
Nilienda wilaya ya Geita vijijini mpaka Nkome huko nikashangaa kuona watu wamejenga nyumba za heshima tu hakuna kijiji hata kimoja kilicho kaa kizembe watu wameweka misauzi ya adabu π₯
Three weeks ago nilienda pia kutembea maeneo ya machimbo ya dhahabu nyaruyeye, nilikuta miji mikubwa sana watu wanapesa haihitaji usubiri data za selikari kutambua hilo yaani maeneo ya SEGESE, NYARUGUSU, KAKOLA ( siwezi kuita vijiji wakati vinazidi karibia wilaya zote zilizoko njiani from Singida to Morogoro ukitoa Singida mjini na Dodoma City.
Hahaha wenzenu wametenga mji nyie mnatuchanganyia mara vya kahama sijui shinyanga ,geita ,mwanza , mara kwa taarifa yako mikoa inayokuja kufanya mageuzi ya viwanda tanzania ni 1 pwani 2 njombe 3 dodoma 4 shinyanga ila huko geita endeleeni kufukua mashimo na pwani iki Kaa vibaya inafunikwa na njombe njombe imejipanga wawekezaji wamemwagika kumbuka msingi wa kiwanda ni chuma na chuma Sasa ni njombe makambako mji wa viwanda na biasharaJambo group pekee wanamiliki viwanda vya bidhaa tofauti zaidi ya 12,hapo bado kom group, fresho, gaki&East African spirits nawengineo kina dahong. Kumbuka nafasi ya viwanda kanda ya ziwa baada ya mwanza sasa vinaamia mkoa wa Shinyanga,ndipo viwanda vingi kwa kanda ya ziwa sasa vinawekwa.
Mwanza hakuna Viwanda vingi Kwa Sasa,imepigwa BAO na Shinyanga Kwa sababu za Shy Ardhi tambarare inapatikana kirahisi tofauti na Mwanza.Jambo group pekee wanamiliki viwanda vya bidhaa tofauti zaidi ya 12,hapo bado kom group, fresho, gaki&East African spirits nawengineo kina dahong. Kumbuka nafasi ya viwanda kanda ya ziwa baada ya mwanza sasa vinaamia mkoa wa Shinyanga,ndipo viwanda vingi kwa kanda ya ziwa sasa vinawekwa.
Outdated data, current data hizi hapa ππKitambo Sana njombe ilishatoka huko ww vp sio hoja ya kujisifia tena Kaa kimView attachment 3117297ya hata takwimu zinaongea
Ni takwimu zitakuwa zilitudanganya πππππWatu wa Njombe ni kama wakenya sijui nani aliwadanganya kuwa wao ni matajiri sana π€£π€£π€£
Kwani kahama iko mkoa upi ?Haiko Shinyanga π€£π€£π€£π€£ mbona tukiweka Shinyanga mnaanza kuogopa ππtupate wazamini kwanza, maana nyie hamuwezi kupost picha za hivi ili kuficha kutu na uozoHahaha wenzenu wametenga mji nyie mnatuchanganyia mara vya kahama sijui shinyanga ,geita ,mwanza , mara kwa taarifa yako mikoa inayokuja kufanya mageuzi ya viwanda tanzania ni 1 pwani 2 njombe 3 dodoma 4 shinyanga ila huko geita endeleeni kufukua mashimo na pwani iki Kaa vibaya inafunikwa na njombe njombe imejipanga wawekezaji wamemwagika kumbuka msingi wa kiwanda ni chuma na chuma Sasa ni njombe makambako mji wa viwanda na biashara
Kitambo Sana njombe ilishatoka huko ww vp sio hoja ya kujisifia tena Kaa kimView attachment 3117297ya hata takwimu zinaongea
Ni takwimu zitakuwa zilitudanganya πππππ
View attachment 3117306
View attachment 3117329
[/QUOTE
Hizo takwimu zako ni za mchongo ,msema kweli ni NBS/BoT hizo zako umezitoa wapi? Mwanza fm au? πππππ
Kati ya huu uzushi na NBS/BoT tumuamini nani? πππππ
Hahaha aliye iogopa shinyanga nanKwani kahama iko mkoa upi ?Haiko Shinyanga π€£π€£π€£π€£ mbona tukiweka Shinyanga mnaanza kuogopa ππtupate wazamini kwanza, maana nyie hamuwezi kupost picha za hivi ili kuficha kutu na uozo View attachment 3117324View attachment 3117325
Kinachoogopesha hapo Shinyanga na Kahama ni kipi labda?Kwani kahama iko mkoa upi ?Haiko Shinyanga π€£π€£π€£π€£ mbona tukiweka Shinyanga mnaanza kuogopa ππtupate wazamini kwanza, maana nyie hamuwezi kupost picha za hivi ili kuficha kutu na uozo View attachment 3117324View attachment 3117325
Hauoni kama kuna moja tukiiweka ni uozo CBD ya Shinyanga na Njombe ππ€£π€£π€£Kinachoogopesha hapo Shinyanga na Kahama ni kipi labda?