Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Watu wanafanya vitu, but kwa nini upost picha moja moja 🀣 🀣 🀣 πŸ‘‡ View attachment 3115178View attachment 3115179View attachment 3115180View attachment 3115181
Mnaomba ligi wakati uwezo hamna umebaki unasifia mapaa tu tafuta vijiji vyenzake ndo uwe unashindanisha sio makambako ipo full Kila idara kuanzia hotel hadi makanisa
MAKAMBAKO-MPYA(0).jpg
1727833049329.jpg
1709302308778.jpg
1708603121710.jpg
IMG_20240523_125502_343.jpg
maxresdefault.jpg

M
IMG_20231018_104228_760.jpg
FB_IMG_16679690953607052.jpg
1713093926415.jpg
 
TAZARA makambako
FB_IMG_16689875994803583.jpg
tansania_130_tazara_train_zug_daressalam_kapiri_mposhi.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_16689875994803583.jpg
    FB_IMG_16689875994803583.jpg
    101 KB · Views: 1
Leta viwanda kama hivi Mzee ndo miji ya viwanda na biashara inavoenda duniani Cha kwanza miundombinu
1697948049588.jpg
FB_IMG_16755159171042109.jpg
 
Mji una Kila miundombinu dry port ambapo wanampango kujenga kubwa zaidi
1711451397331.jpg
1711451404588.jpg
page_35.jpg
IMG-20240520-WA0027.jpg
 
Viwanda vyetu ni migodini, 🀣🀣 nyie wasipo wawekea viwanda mtakuwa jobless
Acha kujitetea tunavo kwambia mkoa wa njombe una fursa za kuzidi Mzee mtu hawez kosa Kaz uwe unaelewa ndo maana Kuna KAULI inasema njombe hata ukipanda kidole CHAKO kinaota madini yapo ya kutosha chuma , makaa ya mawe titanium, vanadium,ulanga ,Shaba nk huu Uzi ulipalamia kumbe hata mkoa wa njombe huu jui vizuri wenzio walisha nyosha mikono
FB_IMG_16766971456201279.jpg
Liganga-Iron-Ore-1024x768.jpg
Huo ni mlima wa chuma mzee
 

Attachments

  • FB_IMG_16766972201171737.jpg
    FB_IMG_16766972201171737.jpg
    282.4 KB · Views: 1
Acha kujitetea tunavo kwambia mkoa wa njombe una fursa za kuzidi Mzee mtu hawez kosa Kaz uwe unaelewa ndo maana Kuna KAULI inasema njombe hata ukipanda kidole CHAKO kinaota madini yapo ya kutosha chuma , makaa ya mawe titanium, vanadium,ulanga ,Shaba nk huu Uzi ulipalamia kumbe hata mkoa wa njombe huu jui vizuri wenzio walisha nyosha mikonoView attachment 3115638View attachment 3115639Huo ni mlima wa chuma mzee
Unaijua dhahabu wewe, unafahamu inaajiri watu kiasi gani πŸ₯Ί yaani tuna dhahabu, tuna ziwa lenye samaki wengi, tuna ardhi inayoivisha mpunga (hatuna njaa) pia nisisahau Ng'ombe tunao wa kutosha piaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.kiwanda kimoja kina ajiri watu wangapi, Geita pekee ina watu zaidi ya 3millon na hakuna migration ya watu kukimbilia kwenda Dar unazani ni kwa nini, fungua huo ubongo wako 🀭🀭🀭🀭
 
Acha kujitetea tunavo kwambia mkoa wa njombe una fursa za kuzidi Mzee mtu hawez kosa Kaz uwe unaelewa ndo maana Kuna KAULI inasema njombe hata ukipanda kidole CHAKO kinaota madini yapo ya kutosha chuma , makaa ya mawe titanium, vanadium,ulanga ,Shaba nk huu Uzi ulipalamia kumbe hata mkoa wa njombe huu jui vizuri wenzio walisha nyosha mikonoView attachment 3115638View attachment 3115639Huo ni mlima wa chuma mzee
Hivi vitu huwezi kuvikuta huko πŸ‘‡
IMG-20241005-WA0002.jpg
IMG-20241005-WA0003.jpg
 
Acha kujitetea tunavo kwambia mkoa wa njombe una fursa za kuzidi Mzee mtu hawez kosa Kaz uwe unaelewa ndo maana Kuna KAULI inasema njombe hata ukipanda kidole CHAKO kinaota madini yapo ya kutosha chuma , makaa ya mawe titanium, vanadium,ulanga ,Shaba nk huu Uzi ulipalamia kumbe hata mkoa wa njombe huu jui vizuri wenzio walisha nyosha mikonoView attachment 3115638View attachment 3115639Huo ni mlima wa chuma mzee
Au unamaanisha Geita hakuna fursa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€— na kama kuna fursa huko mbona daily vijana wanakimbilia Dar? That's why government inaanza kuwaletea viwanda mpate ajira huko huko njombe mpunguze kuhama kwenda Dar πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huku kijana ukimuambia habari za kwenda Dar swali la kwanza atakalokuuliza ni " NiKAFANYE NINI" na sizani kama utaweza kulijibu πŸ€—πŸ€—
 
Acha kujitetea tunavo kwambia mkoa wa njombe una fursa za kuzidi Mzee mtu hawez kosa Kaz uwe unaelewa ndo maana Kuna KAULI inasema njombe hata ukipanda kidole CHAKO kinaota madini yapo ya kutosha chuma , makaa ya mawe titanium, vanadium,ulanga ,Shaba nk huu Uzi ulipalamia kumbe hata mkoa wa njombe huu jui vizuri wenzio walisha nyosha mikonoView attachment 3115638View attachment 3115639Huo ni mlima wa chuma mzee
Unauliza viwanda, hivi apo viwanda vyetu huku πŸ‘‡πŸ‘‡
Screenshot_20241005-132357.png
Screenshot_20241005-132404.png
 
Haw
Au unamaanisha Geita hakuna fursa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€— na kama kuna fursa huko mbona daily vijana wanakimbilia Dar? That's why government inaanza kuwaletea viwanda mpate ajira huko huko njombe mpunguze kuhama kwenda Dar πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huku kijana ukimuambia habari za kwenda Dar swali la kwanza atakalokuuliza ni " NiKAFANYE NINI" na sizani kama utaweza kulijibu πŸ€—πŸ€—
Au unamaanisha Geita hakuna fursa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€— na kama kuna fursa huko mbona daily vijana wanakimbilia Dar? That's why government inaanza kuwaletea viwanda mpate ajira huko huko njombe mpunguze kuhama kwenda Dar πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huku kijana ukimuambia habari za kwenda Dar swali la kwanza atakalokuuliza ni " NiKAFANYE NINI" na sizani kama utaweza kulijibu πŸ€—πŸ€—
Hahahaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ usijitete madini yenu wanafaidi wazungu mnaachiwa mashimo na vumbi
 
Unaijua dhahabu wewe, unafahamu inaajiri watu kiasi gani πŸ₯Ί yaani tuna dhahabu, tuna ziwa lenye samaki wengi, tuna ardhi inayoivisha mpunga (hatuna njaa) pia nisisahau Ng'ombe tunao wa kutosha piaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.kiwanda kimoja kina ajiri watu wangapi, Geita pekee ina watu zaidi ya 3millon na hakuna migration ya watu kukimbilia kwenda Dar unazani ni kwa nini, fungua huo ubongo wako 🀭🀭🀭🀭
Endelea kujifariji Huku watu wanaonesha kuwa pesa Iko Wanaendelea kushusha mahotel makambako sio kutegemea migodi anayofaidi mzungu
IMG_20241005_162922_347.jpg
 

Attachments

  • IMG_20241005_162922_347.jpg
    IMG_20241005_162922_347.jpg
    660.2 KB · Views: 1
Nimetoka kahama jana, ukiondoa mji kuchangamka kwa biashara ya kila namna ila miundombinu hasa barabara badooooo sana, afadhari shinyanga mjini pale mji ni msafi na barabara zake nzuri mno
 
Back
Top Bottom