Kajunjumelle
JF-Expert Member
- Aug 13, 2024
- 220
- 239
Sasa mbona hao Wazambia kutwa wanazurula kariakoo?Sisi tunajifunza Huku sio kwenye vichaka vya wafugaji kwa Sababu hata Hali ya hewa tunaendana na kazi imeanza wawekezaji wanaangalia fursa MAKAMBAKO πππ View attachment 3119581View attachment 3119582lusaka Zambia wachina wanazidi fanya uwekezaji πππView attachment 3119583View attachment 3119576View attachment 3119577View attachment 3119578View attachment 3119579View attachment 3119580
Yaani mtu anasema wanajifunza kutoka zambia tena roll modal wa miji yao ni Lusaka πππ€ ukiangalia Lusaka yenyewe sasa haina mvuto wowote ule π€π€ bila kubadilika hawa jamaa tusitegemee kupata mji wa kuvutia kutoka nyanda za juu kusini utakaotufanya tujimwambafyπ€ hata kwenye threads zingineSasa mbona hao Wazambia kutwa wanazurula kariakoo?
Endelea kuongea afu mwisho wa siku utavotoka kwenye vijiji vyako hivyo ndo utaelewaYaani mtu anasema wanajifunza kutoka zambia tena roll modal wa mijiyao ni Lusaka πππ€ ukiangalia Lusaka yenyewe sasa haina mvuto wowote ule π€π€ bila kubadilika hawa jamaa tusitegemee kupata mji wa kuvutia kutoka nyanda za juu kusini utakaotufanya tujimwambafyπ€ hata kwenye threads zingine
ILe ni landlock ko Kuna mizigo inapita pale ko ulitaka wasiendeSasa mbona hao Wazambia kutwa wanazurula kariakoo?
""TUTAENDELEA KUWEKEZA TANZANIA"BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA APOKELEWA NA RC MTAKA AMPOKEA - YouTube"Yaani mtu anasema wanajifunza kutoka zambia tena roll modal wa miji yao ni Lusaka πππ€ ukiangalia Lusaka yenyewe sasa haina mvuto wowote ule π€π€ bila kubadilika hawa jamaa tusitegemee kupata mji wa kuvutia kutoka nyanda za juu kusini utakaotufanya tujimwambafyπ€ hata kwenye threads zingine
Tunavo kwambia mpango wa mkoa wa njombe kuhusu makambako ni mkubwa Sana na wamejipanga na utambue kwa plan hii Mzee wa mapaa utatumia bidhaa kutoka kwenye mji huu wa makambako maana tayari viwanda vinaenda kusheheniππππππππiYaani mtu anasema wanajifunza kutoka zambia tena roll modal wa miji yao ni Lusaka πππ€ ukiangalia Lusaka yenyewe sasa haina mvuto wowote ule π€π€ bila kubadilika hawa jamaa tusitegemee kupata mji wa kuvutia kutoka nyanda za juu kusini utakaotufanya tujimwambafyπ€ hata kwenye threads zingine
Wamesha ku Pididy wewe si ulikiwaga unalingia kuwa mweupe πππ?WEEEEEE KIAZI CHA makete
Wenzenu wanaenda level za miji mikubwa duniani inafanya nini we endelea kusifia mapaa MAKAMBAKO STEEL INDUSTRIAL PARK KAZI INAENDELEAπππYaani mtu anasema wanajifunza kutoka zambia tena roll modal wa miji yao ni Lusaka πππ€ ukiangalia Lusaka yenyewe sasa haina mvuto wowote ule π€π€ bila kubadilika hawa jamaa tusitegemee kupata mji wa kuvutia kutoka nyanda za juu kusini utakaotufanya tujimwambafyπ€ hata kwenye threads zingine