Huku mambo ni fire🤭🤭🤭🤭🤭🥺 Sio kwa uchafu huo wa miji ya njombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku mambo ni fire🤭🤭🤭🤭🤭🥺 Sio kwa uchafu huo wa miji ya njombe
Hii picha umepiga kijiji gani?Karibuni kwenye mada.
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.
Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Njombe View attachment 2674915
Kahama View attachment 2674916
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣unajua namna ya upatikanaji wa hizo data?Kwa umaskini uliootopea zaidi yaZungu kufaaidi nyie mnaachiwa mashimo na vumbi uchumi upo njombe Mzee acha kujifariji View attachment 3136444
Weka na reality on the ground 😂😂😂😂👇👇 KATORO hiyo ebu weka makazi ya matajiri wa njombe 🤣🤣🤣🤣Kwa umaskini uliootopea zaidi yaZungu kufaaidi nyie mnaachiwa mashimo na vumbi uchumi upo njombe Mzee acha kujifariji View attachment 3136444
Acha kuhangaika na mapaa ya Kijiji CHAKO hicho huo ni ushamba tulilisha kwambia bati hizo zipo Kila Kona Tanzania saiz kinachoangaliwa ni mji wenye future sio mapaa yanakuchanganya mabati Huku hivyo viwanda vya kutengeneza hayo vipo kitambo sanaWeka na reality on the ground 😂😂😂😂👇👇 KATORO hiyo ebu weka makazi ya matajiri wa njombe 🤣🤣🤣🤣View attachment 3136713View attachment 3136714View attachment 3136715
Dunia ipo kwenye mapinduzi ya nne ya viwanda ambavyo ndo kichocheo kikubwa Cha ukuaji wa miji ulimwenguni na ndo maana wenzenu wameamua kuibuka na wazo la kuwa na mji mkubwa wa viwanda na biashara na hili lipo wazi viwanda na biashara ndio vinavyokuza haraka majiji mfano dsm inakuwa kwa haraka inachochewa na ujenzi wa viwanda kuzunguka jiji HASA mkoa wa pwani haya ukitembelea majirani zetu Lusaka Zambia , johnsburgs south Africa ,Nairobi Kenya, nao ni hivo hivo na hii Ina chochea kuwa na metropolitan city kubwa Sasa hili wazo la kuufanya makambako ya viwanda hawaja kurupuka Kuna vigezo vimeangaliwa ko Kaa kwa kutulia kongani za viwanda ziendelee kujengwa baada ya Muda tuta kuuliza na katoro yako mmeishia wapi maana nyie ni mabingwa wa kujisifia mkija kutembelea njombe mnavoona uhalisia mnakimbia kwenye Uzi walikuepo na wenzio ni takriban miaka kadhaa walisha kimbia huu Uzi mkoa wa njombe wamejipanga ndo maana hata uwanja wa ndege unajengwa wa kimataifa njombe Ina rasilimali nyingi mno ni mkoa tajiri ule haya deposit ya chuma hii hapa kwanini wasitengeneze jiji la viwanda na biashara miaka zaid ya hamsini uzalishaji utaendeleaShida hamchakati vizuri ubongo wenu, haya hivyo viwanda wanufaikaji wakubwa ni akina nani? unazani kiwanda kitamlipa mtu mshahara atajirike?
Kwa kanda ya huku migodi ya dhahabu kila siku inatoa mamillionea (wachimbaji wadogo wadogo)
Na walioajiriwa kwenye migodi mikubwa kama GGM mishahara yao sio level ya nchi hii
Migodi midogo midogo huku ni mingi almost mkoa mzima wa Geita na nusu ya Mkoa wa Shinyanga ni dhahabu tupu,
Wait after 10yrs utaona utajiri wa kanda ya ziwa ukoje
Dunia ipo kwenye mapinduzi ya nne ya viwanda ambavyo ndo kichocheo kikubwa Cha ukuaji wa miji ulimwenguni na ndo maana wenzenu wameamua kuibuka na wazo la kuwa na mji mkubwa wa viwanda na biashara na hili lipo wazi viwanda na biashara ndio vinavyokuza haraka majiji mfano dsm inakuwa kwa haraka inachochewa na ujenzi wa viwanda kuzunguka jiji HASA mkoa wa pwani haya ukitembelea majirani zetu Lusaka Zambia , johnsburgs south Africa nao ni hivo hivo na hii Ina chochea kuwa na metropolitan city kubwa Sasa hili wazo la kuufanya makambako ya viwanda hawaja kurupuka Kuna vigezo vimeangaliwa ko Kaa kwa kutulia kongani za viwanda ziendelee kujengwa baada ya Muda tuta kuuliza na katoro yako mmeoshia wapi haya deposit ya chuma hii hapa kwanini wasitengeneze jiji la viwanda na biashara miaka zaid ya hamsini uzalishaji utaendeleaView attachment 3136854Shida hamchakati vizuri ubongo wenu, haya hivyo viwanda wanufaikaji wakubwa ni akina nani? unazani kiwanda kitamlipa mtu mshahara atajirike?
Kwa kanda ya huku migodi ya dhahabu kila siku inatoa mamillionea (wachimbaji wadogo wadogo)
Na walioajiriwa kwenye migodi mikubwa kama GGM mishahara yao sio level ya nchi hii
Migodi midogo midogo huku ni mingi almost mkoa mzima wa Geita na nusu ya Mkoa wa Shinyanga ni dhahabu tupu,
Wait after 10yrs utaona utajiri wa kanda ya ziwa ukoje
Kwani uchimbaji wa madini Kanda ya ziwa ndo imeanza Leo Mzee miaka mingi madini Wanachimba wanufaika ni wazungu mnaishia kushinda mashimo I kama fuko now ulimwengu upo kwenye mageuzi ya nne ya viwanda miji ya viwanda ndo Ina matter nchi za SADC NDO UTAJUA NJOMBE AKILI KUBWA 👇👇👇👇 Wiki ya Uendelezaji wa Viwanda ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imeanza Jumapili mjini Harare, nchini Zimbabwe, kwa wito wa kuharakisha ukuaji wa viwanda katika kanda hiyo.Shida hamchakati vizuri ubongo wenu, haya hivyo viwanda wanufaikaji wakubwa ni akina nani? unazani kiwanda kitamlipa mtu mshahara atajirike?
Kwa kanda ya huku migodi ya dhahabu kila siku inatoa mamillionea (wachimbaji wadogo wadogo)
Na walioajiriwa kwenye migodi mikubwa kama GGM mishahara yao sio level ya nchi hii
Migodi midogo midogo huku ni mingi almost mkoa mzima wa Geita na nusu ya Mkoa wa Shinyanga ni dhahabu tupu,
Wait after 10yrs utaona utajiri wa kanda ya ziwa ukoje
Weka na reality on the ground 😂😂😂😂👇👇 KATORO hiyo ebu weka makazi ya matajiri wa njombe 🤣🤣🤣🤣View attachment 3136713View attachment 3136714View attachment 3136715
Njombe hii hapa 👇👇Weka na reality on the ground 😂😂😂😂👇👇 KATORO hiyo ebu weka makazi ya matajiri wa njombe 🤣🤣🤣🤣View attachment 3136713View attachment 3136714View attachment 3136715
Maneno ya kwenye kanga 😂😂😂😂😂Acha kuhangaika na mapaa ya Kijiji CHAKO hicho huo ni ushamba tulilisha kwambia bati hizo zipo Kila Kona Tanzania saiz kinachoangaliwa ni mji wenye future sio mapaa yanakuchanganya mabati Huku hivyo viwanda vya kutengeneza hayo vipo kitambo sanaView attachment 3136849
Bado sana 🤭🤭 nyumba zinahesabika
Wewe ndio huelewi 🤭 sijakataa mambo ya viwanda, tatizo mna overate hivyo vimiji vyenu, nawaonyesha tu kuwa vinazidiwa na vijiji vya huku mtoe hayo matongotongoHaya Sasa tunavo kwambia njombe ni mkoa uliojipambanua huelewi na ndo maana Wanaendelea na ujenzi wa mji wa viwanda na biashara kumbuka hata nchi Hilo inalijua ndo maana imejenga kongani ya viwanda vya MSD makambako kwaajili ya nchi za SADC na hili eneo linaenda kusheheni viwanda Muda unaongea 👇👇👇👇👇👇👇NCHI ZA SADC ZAWEKA MIKAKATI YA KUJIKWAMUA KIUCHUMI
20 Mar 2023 - News and Events - 430
Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umehitimishwa jijini Kinshasa tarehe 19 Machi 2023, huku agenda za kujikwamua kiuchumi katika kanda hiyo ya Kusini mwa Afrika zikipewa kipaumbele
Ujumbe wa Tanzania katika mkutano huo uliotathmini utekelezaji wa mipango ya Mwaka wa Fedha 2022/2023 na kuweka mikakati ya utekelezaji wa mipango ya Mwaka wa Fedha 2023/2024, umeongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb) akisaidiana na Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Anthony Mavunde (Mb).
Maeneo ambayo Mhe. Waziri Tax alichangia wakati taarifa za utekelezaji zilipokuwa zinawasilishwa ni pamoja na hatua iliyofikiwa kuhusu tafsiri ya nyaraka muhimu za SADC katika lugha ya Kiswahili, ujenzi wa Sanamu la Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere na Mpango wa Kanda wa ununuzi wa pamoja wa vifaa vya afya unaoratibiwa na Bohari Kuu ya Dawa (MSD).
Mhe. Waziri Tax alisisitiza umuhimu wa kuongeza kasi katika utekelezaji wa maeneo hayo, kufuatia maelezo kuwa utekelezaji wa tafsiri ya nyaraka muhimu za SADC katika lugha ya Kiswahili upo katika hatua za kumpata mzabuni wa kufanya kazi hiyo na ujenzi wa Sanamu la Baba wa Taifa unaendelea, na kazi hiyo inatakiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka 2023. Kuhusu Mpango wa Kanda wa ununuzi wa pamoja wa vifaa vya afya, Dkt. Tax alisema MSD inaendelea na jukumu hilo na kutoa wito kwa nchi wanachama kuongeza kasi ya kuitumia bohari hiyo ya dawa kwa kuwa manufaa yake ni makubwa hususan katika kupunguza gharama za ununuzi wa dawa na vifaa tiba.
Awali, wakati wa hafla ya ufunguzi, hotuba za viongozi ikiwa ni pamoja na; Waziri Mkuu wa DRC, Mhe. Jean-Michel Nyenge; Waziri wa Mtangamano wa Kikanda wa DRC na Mwenyekiti wa Mkutano huo, Mhe. Didier Mazenga Mukanzu na Katibu Mtendaji wa SADC, Mhe. Elias Magosi ziliainisha maeneo muhimu ya kuwekewa mkazo ili kupanua wigo wa mtangamano na kuongeza kasi ya maendeleo baina ya nchi wanachama.
Maeneo hayo ni pamoja ujenzi wa miundombinu, ujenzi wa viwanda vya kuongeza thamani ya bidhaa za madini, ngozi na kilimo, kuwa na nishati ya umeme ya uhakika, usawa wa kijinsia katika siasa na zaidi ya yote ni umuhimu wa kuimarisha amani na usalama katika kanda.
Ilielezwa kuwa maeneo hayo yameainishwa vyema katika Mpango Mkakati wa Maendeleo wa Kanda (2020-2030) ambapo Sekretarieti ya SADC imeahidi kuendelea kuratibu na kuhamasisha utekelezaji wake.
Kwa upande wa Tanzania, miradi 11 imeingia katika mpango huo ambayo inahusu uendelezaji wa sekta ya maji katika mto Songwe, usindikaji wa ngozi, uzalishaji wa mbolea, uchumi wa buluu, nishati, utafiti, elimu na utengenezaji wa dawa za binadamu na wanyama.
Tanzania imejipanga kutekeleza miradi hiyo hasa ya nishati na uzalishaji wa mbolea ili iweze kuuza katika nchi wanachama ambazo nyingi zinakabiliwa na uhaba wa nishati ya umeme na mbolea. MSD industrial park makambakoView attachment 3136856
Angalia at the background kwenye milima utaona mgodi wa dhahabu, hivyo ndivyo viwanda vyetu huku hela ya maana itoka maeneo hayo 💥👇Haya Sasa tunavo kwambia njombe ni mkoa uliojipambanua huelewi na ndo maana Wanaendelea na ujenzi wa mji wa viwanda na biashara kumbuka hata nchi Hilo inalijua ndo maana imejenga kongani ya viwanda vya MSD makambako kwaajili ya nchi za SADC na hili eneo linaenda kusheheni viwanda Muda unaongea 👇👇👇👇👇👇👇NCHI ZA SADC ZAWEKA MIKAKATI YA KUJIKWAMUA KIUCHUMI
20 Mar 2023 - News and Events - 430
Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umehitimishwa jijini Kinshasa tarehe 19 Machi 2023, huku agenda za kujikwamua kiuchumi katika kanda hiyo ya Kusini mwa Afrika zikipewa kipaumbele
Ujumbe wa Tanzania katika mkutano huo uliotathmini utekelezaji wa mipango ya Mwaka wa Fedha 2022/2023 na kuweka mikakati ya utekelezaji wa mipango ya Mwaka wa Fedha 2023/2024, umeongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb) akisaidiana na Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Anthony Mavunde (Mb).
Maeneo ambayo Mhe. Waziri Tax alichangia wakati taarifa za utekelezaji zilipokuwa zinawasilishwa ni pamoja na hatua iliyofikiwa kuhusu tafsiri ya nyaraka muhimu za SADC katika lugha ya Kiswahili, ujenzi wa Sanamu la Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere na Mpango wa Kanda wa ununuzi wa pamoja wa vifaa vya afya unaoratibiwa na Bohari Kuu ya Dawa (MSD).
Mhe. Waziri Tax alisisitiza umuhimu wa kuongeza kasi katika utekelezaji wa maeneo hayo, kufuatia maelezo kuwa utekelezaji wa tafsiri ya nyaraka muhimu za SADC katika lugha ya Kiswahili upo katika hatua za kumpata mzabuni wa kufanya kazi hiyo na ujenzi wa Sanamu la Baba wa Taifa unaendelea, na kazi hiyo inatakiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka 2023. Kuhusu Mpango wa Kanda wa ununuzi wa pamoja wa vifaa vya afya, Dkt. Tax alisema MSD inaendelea na jukumu hilo na kutoa wito kwa nchi wanachama kuongeza kasi ya kuitumia bohari hiyo ya dawa kwa kuwa manufaa yake ni makubwa hususan katika kupunguza gharama za ununuzi wa dawa na vifaa tiba.
Awali, wakati wa hafla ya ufunguzi, hotuba za viongozi ikiwa ni pamoja na; Waziri Mkuu wa DRC, Mhe. Jean-Michel Nyenge; Waziri wa Mtangamano wa Kikanda wa DRC na Mwenyekiti wa Mkutano huo, Mhe. Didier Mazenga Mukanzu na Katibu Mtendaji wa SADC, Mhe. Elias Magosi ziliainisha maeneo muhimu ya kuwekewa mkazo ili kupanua wigo wa mtangamano na kuongeza kasi ya maendeleo baina ya nchi wanachama.
Maeneo hayo ni pamoja ujenzi wa miundombinu, ujenzi wa viwanda vya kuongeza thamani ya bidhaa za madini, ngozi na kilimo, kuwa na nishati ya umeme ya uhakika, usawa wa kijinsia katika siasa na zaidi ya yote ni umuhimu wa kuimarisha amani na usalama katika kanda.
Ilielezwa kuwa maeneo hayo yameainishwa vyema katika Mpango Mkakati wa Maendeleo wa Kanda (2020-2030) ambapo Sekretarieti ya SADC imeahidi kuendelea kuratibu na kuhamasisha utekelezaji wake.
Kwa upande wa Tanzania, miradi 11 imeingia katika mpango huo ambayo inahusu uendelezaji wa sekta ya maji katika mto Songwe, usindikaji wa ngozi, uzalishaji wa mbolea, uchumi wa buluu, nishati, utafiti, elimu na utengenezaji wa dawa za binadamu na wanyama.
Tanzania imejipanga kutekeleza miradi hiyo hasa ya nishati na uzalishaji wa mbolea ili iweze kuuza katika nchi wanachama ambazo nyingi zinakabiliwa na uhaba wa nishati ya umeme na mbolea. MSD industrial park makambakoView attachment 3136856
Unadhani Njombe ni huko kwenye ma slums mnakoishi kama gulio? 🤪🤪Bado sana 🤭🤭 nyumba zinahesabika
Hiyo ni zamani kwa sasa ni tofauti, kila siku migodi inatoa millionaires. Ndio maana hizo data zenu za pato la kila mmoja ni feki hazina uhalisia 😂😂🤗Kwani uchimbaji wa madini Kanda ya ziwa ndo imeanza Leo Mzee miaka mingi madini Wanachimba wanufaika ni wazungu mnaishia kushinda mashimo I kama fuko now ulimwengu upo kwenye mageuzi ya nne ya viwanda miji ya viwanda ndo Ina matter nchi za SADC NDO UTAJUA NJOMBE AKILI KUBWA 👇👇👇👇 Wiki ya Uendelezaji wa Viwanda ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imeanza Jumapili mjini Harare, nchini Zimbabwe, kwa wito wa kuharakisha ukuaji wa viwanda katika kanda hiyo.
Wiki ya Uendelezaji wa Viwanda ya SADC ambayo inafanyika kwa mara ya saba, ni jukwaa kubwa zaidi la ushirikishwaji wa umma na binafsi lenye lengo la kuhimiza maendeleo ya viwanda na kukuza biashara na uwekezaji barani Afŕika.
Wiki hiyo imewakutanisha wadau wa sekta ya viwanda kutoka nchi 16 wanachama wa SADC, zikiwemo Angola, Botswana, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Lesotho, Malawi, Msumbiji, Namibia, Afrika Kusini, Tanzania, Zambia, na Zimbabwe.
Wiki ya viwanda ya SADC inatangulia Mkutano wa kawaida wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC uliopangwa kufanyika Agosti 17 nchini Zimbabwe.
Waziri wa Utangazaji, Habari na Huduma za Utangazaji wa Zimbabwe Bw. Jenfan Muswere, amesema wiki hii itaonesha fursa za uwekezaji katika minyororo mbalimbali ya thamani na kuwezesha mtandao miongoni mwa wadau katika sekta ya viwanda.
Unaumia ukiwa wapi unapoona huo ubao hapo chini👇💥💥👇Unadhani Njombe ni huko kwenye ma slums mnakoishi kama gulio? 🤪🤪
HAo JAMAA ni washamba sana ngoja siku atembelee ndo atakuja kufuta ujinga wake wa vipaa vya Kijiji Cha katoro
Wewe hapo unaona amepost kitu cha maana?😅😅🤗🤗 Washamba mnasupportiana 🤣🤣🤣 nyie mnatakiwa mtoe hayo matongotongo,HHu
HAo JAMAA ni washamba sana ngoja siku atembelee ndo atakuja kufuta ujinga wake wa vipaa vya Kijiji Cha katoro
Unaumia ukiwa wapi 👇💥HHu
HAo JAMAA ni washamba sana ngoja siku atembelee ndo atakuja kufuta ujinga wake wa vipaa vya Kijiji Cha katoro