Uwekezaji wa mashirika ya kidini hospital kubwa tatu zimejengwa eneo hili ambalo limelengwa kuwa mji wa viwanda na biashara nje ya hospital za Serikali na za kampuni binafsiKigoma hakuna kutu View attachment 3153921
Sisi hatuhangaiki kuposti mapaa Mzee nilisha kwambia saiz mapaa ya mfumo huo yapo hadi vijijini hebu uwe unatofautisha kati ya vijiji na mjini basi nyumba ZAKO unazoposti ni zavijijini angalia CBD za miji yote duniani wanajenga nini huko tulishatoka Mzee saiz ni mwendo wa kubomoa na kujenga gorofa project zinaendelea makambako again na eneo hili ni mwendo wa kuvunja mijengo na kujenga gorofaMbona unapost kijengo kimoja πππππpost kama ambavyo huwa nafanya tuone vituko,
Lengo langu nikukuonyesha tu kuwa hiyo kanda yenu ndio The less developed region ππ yaani developed on paper written documents. Hata ile kigoma ambayo huwa mnazani pabovu bado hamjaifikia sembuse Geita
Chunya HiYo katoro haigusi https://www.facebook.com/Mbona unapost kijengo kimoja πππππpost kama ambavyo huwa nafanya tuone vituko,
Lengo langu nikukuonyesha tu kuwa hiyo kanda yenu ndio The less developed region ππ yaani developed on paper written documents. Hata ile kigoma ambayo huwa mnazani pabovu bado hamjaifikia sembuse Geita
Weka picha za maana sio kuokoteza vi slums kisa vibati vya msauzi ππMbona unapost kijengo kimoja πππππpost kama ambavyo huwa nafanya tuone vituko,
Lengo langu nikukuonyesha tu kuwa hiyo kanda yenu ndio The less developed region ππ yaani developed on paper written documents. Hata ile kigoma ambayo huwa mnazani pabovu bado hamjaifikia sembuse Geita
Acha ujinga Hapo sio Kigoma ππππKigoma hakuna kutu View attachment 3153921
Uzuri wa kitu gani? Umesoma mada ukaelewa?Nadhani Kahama ndio Mji mzuri zaid
Picha zitaongea, Katoro π πChunya HiYo katoro yakoHata hapa haitoboiView attachment 3155024View attachment 3155026View attachment 3155027
Acha ujinga Hapo sio Kigoma ππππ
TUNAVOSEMA NJOMBE INATENGENEZA MJI MKUBWA WA VIWANDA NA BIASHARA TUNAMAANISHA MOJA YA KAZI ZINAZOFANYIKA WANGINGOMBEPicha zitaongea, Katoro π π View attachment 3156213View attachment 3156214View attachment 3156215
Population ya kahama ni mji wa 6 baada ya Dar, Mwanza, Mbeya,Tanga na Arusha vilevile ni Economical Hub kwa mwingiliano wa nchi jirani za Rwanda na Burundi.. msifananishe Kahama na huko kwa wagema ulasi..Uzuri wa kitu gani? Umesoma mada ukaelewa?
Kuwa na population kubwa ndio uzuri?Population ya kahama ni mji wa 6 baada ya Dar, Mwanza, Mbeya,Tanga na Arusha vilevile ni Economical Hub kwa mwingiliano wa nchi jirani za Rwanda na Burundi.. msifananishe Kahama na huko kwa wagema ulasi..
Sasa bila watu utafanya biashara na wanyama ?Kuwa na population kubwa ndio uzuri?