Kahama VS Njombe/Mafinga

Mambo ni moto πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ huu mradi utahudumia kuanzia UBARUKU ,wangingombe na makambako moja ya miradi mikubwa nyanda za juu kUsini ukiongozwa na wa kiwira πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri akikagua maenndeleo ya Mradi wa maji wa miji 28 katika mji wa Makambako, eneo la ujenzi wa tanki kubwa la kuhifadhi maji yatakayowahudumia wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…