Wewe huelewi watu wanaongelea niniDuuuh Kahama hata barabara za mitaa shida. Ukianzia Iringa hadi unaingia Mbeya ni ulaya Africa ile.
Yaani unaongelea Kasulu?? [emoji23][emoji23][emoji1787] we jamaa sijui wa wapiNjombe,Kasulu,Ifakara,Mbinga,Tunduma,Mafinga nk yote hiyo ni zaidi au sawa na Kahama
Yaani hii na Katoro ..sijui Ifakara yalinisikitisha sana... Kweli kahama ni yakulinganishwa na NJOMBE na inabidi itetewe kabisaYaani unaongelea Kasulu?? [emoji23][emoji23][emoji1787] we jamaa sijui wa wapi
Majengo pekee hayafanyi Sekou Toure hospital iwe na hadhi sawa na Hospital ya Kanda ya kibingwa.😛😛😛😛Southern highland mmekumbukwa sasa, inachofanya serikali ni kuhakikisha kuna kuwa na huduma Bora za Kikanda Lake zone tupo kitambo na Bugando yetu, Eastern Coastal wana Muhimbili na Mloganzila , Kaskazini wana KCMC. Huku Lake zone wanaongeza Bonus Hospital ya kanda CHATO. Ukija Kimkoa tu, Hospital ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure ina hadhi kama referral Hospital ya huko Southern
Hospital ya Mkoa Mwanza Sekou Toure
View attachment 1690691
Referral Hospital Weill Bugando (vitanda 900)
View attachment 1690692View attachment 1690693
Proposed (Taasisi ya Moyo) Bugando 15 flats with helipad
View attachment 1690695
Chato
View attachment 1690699
Kahama Municipal (Construction on progress
View attachment 1690701
Simiyu Regional referral Hospital
View attachment 1690702
Mara regional referral hospital
View attachment 1690703
Sekou Toure haiwezi pewa hazi sawa na Weil Bugando ambazo ni 8Km apart. Hizo huduma zinazopatikana Muhimbili 90% zipo hapo Weil Bugando.Majengo pekee hayafanyi Sekou Toure hospital iwe na hadhi sawa na Hospital ya Kanda ya kibingwa.
Nadhani umemsikia DM wa afya hapo kwamba wanataka huduma za zinazotolewa Muhimbili au Mlonganzila ziweze kupatikana Mbeya.
Ukiacha hilo Hospital ya Kanda ya Rufaa Mbeya ni Mbeya College of Allied Sciences ya UDSM na pika kuna research centre ya NIMR hapo na Chuo cha Tiba za kibingwa za Kinywa na Meno
Kana kwamba haitoshi Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya iko njema kuliko hata hiyo Sekou Toure na bado ziko regional hospital mpya za Songwe na Njombe.
Ndio maana nilikuwa nakushangaa kusema eti Sekou Toure hospital iwe sawa na hospital ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya.Kitu ambacho hujui ni kwamba Mkoa wa Mbeya una hospital ya Rufaa ya Mbeya iko Forest area hiyo hapo inaitwa Hospital ya Rufaa ya Kanda-Mbeya au Mbeya Consulting Referral Hospital ni tofauti na Mbeya Region Referral HospitalSekou Toure haiwezi pewa hazi sawa na Weil Bugando ambazo ni 8Km apart. Hizo huduma zinazopatikana Muhimbili 90% zipo hapo Weil Bugando.
Njombe napafahamu hata july nilikua huko kwa kazi flani ya serikali nilikaa wiki mbili huko napajua vzuriUnasema ulikuwa Kahama januari hii,ukaielewa Kahama na ndipo unaitetea sana lakini hujasema umewahi kufika Njombe,kwa hiyo cha maana katika arguments zako.Wewe ni sawa na vipofu waliomgusa tembo,aliyegusa sikio alisema tembo mkubwa kama beseni,aliyegusa mkia alisema tembo mkubwa kama fimbo,Wewe umetoka Tanga ukaona Kahama basi mji mkubwa kuliko mji wowote,du wabongo pata exposure kidogo.
Hiyo miradi ya njombe ni nguvu ya serikali kuuK
Lakini njombe nayo inakua kwa kasi kwa wale tulio wahi kufika hivi karibuni angalia hata stend soko kuu sio pakubeza kahama soko la hovyo stend ya hovyo.
Na hapo ndipo watu wanashindwa kutofautisha... Kahama ni self made.. ha wengine ni miradi ya serikali kuu.Hiyo miradi ya njombe ni nguvu ya serikali kuu
Kwa iyo maendeleo yanarudi nyuma auWanajipigia debe sana,,kahama ilukua zamani,sio sasa...
Hahaa korogwe bado sana kwa kahamaUsiisahau Masasi mdau, Korogwe na Katoro.
Nimefika njombe hamna kitu paleUngefika kote kwanza ndio ungepata ulinganisho ulio fair but hiyo Kahama bila shaka imeendelea kushinda huko lalago ,Hungumalwa au mwigumbi ulipotoka [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hata hivyo tunalinganisha Njombe Mji na Kahama Mji (Manispaa uchwara) na sio Mkoa wa Njombe as a whole
Karibu Sana Njombe hutojuta hii ni nchi ya ahadi iliko bustani ya Mungu
Wakati Masasi ikiwa na watu 100000, korogwe 60000 na NJOMBE 120000, tunduma 150000 ...kahama ilikuwa na watu 240000... Na hiyo ni almost miaka 10 iliyopita imagine... Ukuaji wa khm ya these past 10 years ...Hahaa korogwe bado sana kwa kahama
Wakati Masasi ikiwa na watu 100000, korogwe 60000 na NJOMBE 120000, tunduma 150000 ...kahama ilikuwa na watu 240000... Na hiyo ni almost miaka 10 iliyopita imagine... Ukuaji wa khm ya these past 10 years ...