Hakuna cha juu zaid,i kupita na kukuta watu wanakimbizana tu barbarani kama gulioni ndio hicho tuu kinafanya watu waone kahama iko vizuri,mara utasikia usiku kama mchana na blaa blaa kibao za hivyo lakini kwenye kila aspect Kahama ni hovyo sana kulinganisha na Njombe
Miji sampuli ya Kahama ni Tunduma,Masasi,Ifakara,Mbinga,Makambako,Kibaigwa nk Mafina itoe hapo.Miji hiyo nimetaja .iko busy kama uko gulioni au mnadani ,no order lakini ni hovyo kabisa kwenye kila nyanja ipo kwa ajili ya kuchuma pesa tuu,but Njombe imejengeka na imesambaa sana..Ni makao makuu ya dayosisi 3 za makanisa wa RC,KKKT,Sabato na Taasisi mengine kibao..Ndio maana ukichukua hata aerial view ya Njombe ni nzuri kuliko Kahama.Kila mara nauliza kama Njombe haipiti Kahama kwa nini kuwe na mahotel na magorofa makubwa makubwa kuliko Kahama?