Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Yani hi miji usipoitembelea ukaijua vizuri ukaishia kusoma komet una fail sana mfano mji wa njombe Ni very narrow mwembamba umefuata barabara kulingana na jiografia yake mafinga imejengeka upande mmoja kuelekea isalavanu na ukitoka changalawe Hadi makwawa Ni km 15 tu ndo pamejengeka alafu nashangaa makambako na tunduma et wanasema miji ya wachuuzi hahaha Yani kwa sasa makambako kila Kona inajengeka toka idofi Hadi ikelu kunajengwa tu km 30 na tunduma nayo inaungana na ihanda mlowo na vwawa alafu et mafinga na njombe ndo panajengeka danganyeni wasio kujua alafu picha sio za mafinga mjini Ni za mufindi dc afu mapato toeni ya mafinga tc yenye kata 9 sio kuchanganya na dc alafu unakuja kulinganisha na miji ya kibiashara mnafeli na hoteli mafinga Ni Merlin zingine ovyo ko na walivyo Jenga gorofa la cf plaza basi mafinga mnaona Kama mmeizidi miji mingine kumbe bdo mnasafari ndefu na mf kuna shell 13 wakati makambako shell zpo 15 Hadi zinazojengwa kwa sasa njombe zipo shell 11 na bank mafinga 4crdb nmb muccoba na tpb wakati makambako kuna nmb crdb nbc benk ya wanawake letshego bank tpb bank nk ko usipo tembelea kwa makini hi miji ukawasikiliza watu wanapotosha ukweli hata mizigo ya madukan wengi mafinga na njombe wanachukulia makambako na tunduma alafu et miji ya wchuuzi
Hili gazeti limejaa mahaba zaidi kuliko uhalisia,Kama miji hiyo Ina sifa unazozitaja kwa nini hakuna hotel kali na nyingi si unadai Kuna pesa huko?

Mkuu hiyo miji umeitaja ndio sampuli ya Kahama yaani imejaa wachuuzi Kama gulioni,mambo ya idadi ya sheli sijui nini sio kigezo,,kwa mfano tufanye Makambako ina vituo vingi vya mafuta(sheli) kuliko Sumbawanga sasa nijibu je Makambako au Tunduma inaizidi Sumbawanga kwa kipi? Usilinganishe miji ya Njombe na Mafinga yenye Uchumi stable na ya wastaarabu Kama hayo magulio yakiongizwa na Kahama

Miji inajengwa kulingana na jiografia ya mji ulipo kwa mfano Mafinga inaambaa kulingana na barabara kuu,Njombe inajengwa kufuata barabara kubwa zote Ila huoni kwa sababu jiografia yake ni mabonde na milima na iko covered na uoto wa miti tofauti na Makambako ambayo ni tambarare na imejaa kipara,typical uchuuzi towns
 
Mafinga nimekaa ukiondoa mbao hakuna kitu ni hovyo mji wa hovyo.
Hovyo kwa lipi na kulinganisha na wapi? Kwamba hakuna biashara nyingine Ila ni miti na mazao ya miti tuu? Pole Sana kila mji una sekta ambayo ndio kuu au kiongozi
 
Alafu mafinga yenyewe imeanza kutwa halmashauri ya mji mwaka 2015 wakati kahama makambako na tunduma zilianza mwaka2012 mafinga Ina kata 9 tano zpo mjini na 4 Ni bush na njombe Ina kata 13 kata 3 zipo mjini na 10 vijijin wakati miji ya kibiashara Kama tunduma Ina kata 15 zote mjini makambako 12 mbili ndo zipo vijiji na kahama hiyo inakupa picha jinsi gani tunavo sema mafinga na njombe bado mnasafari ndefu ya kubadilisha hivyo vijiji vya pembeni ndo muanze kujiringanisha na centre za biashara
Acha uongo wewe hujui kitu,hapo umeongea kinyume chake
 
Unajua mtu Hadi unashanga ulinganisho unaotumika mafinga sehemu iliyochangamka Ni kutoka jam bek had nmb bank Kama km 1 kwisha alafu njombe Ni kutoka masasi Hadi kanisa la Roma km 1 na nusu Keisha kwingine kumepoa sasa anagalia miji ya tunduma makambako na kahama mitaan full mishe bajaji za kutosha wakati mafinga bajaji zipo 300 na njombe 200 wakati tunduma zpo zaidi ya 1000 na makambako hvo2 kwa Nini hii miji isi kue zaidi
Tofautisha Miji ya kichuuzi na Miji ya wastaarabu iliyoendelea kwenye sekta zote kuanzia za kiuchumi Hadi huduma.Ukitaka ukweli angalia huduma za jamii baina ya hiyo Miji ndio utajua mji gani umeendelea na mji gani ni gulio sijui kuchangamka ndio kitu gani
 
Njombe nayo hakuna kitu mji umefuata barabara kama ilivyo mafinga(nimekaa changarawe yaani nikisema ngoja nikatembee mjini ndo pale standna kwenye lile ghorofa hakuna jipya,Ukitoka ilipo COTC mpaka hapa chini inapoanzia kinyanambo kuvuka CRDB umemaliza mji ni kama 2M na point)..makambako pamechangamka kwanza mji umechukua sehemu kubwa
Ukubwa ni takwimu za idadi ya watu,kata na mapato sio hadithi Wala macho yako yanavyoona,unaweza kuwa una makengeza
 
tafsiri yako ya mji iko narrow sana,Njombe inakaribia kua Manispaa Makambako bado hajafikia huko,unapozungumzia mji usiangalie CBD tu tazama kote urban na peri Urban Njombe iko na Kibena,Ramadhani,Mji kati,Chaugingi,Kambarage,Mji mwema,Nundu,achilia mbali vitogoji vyake vyoteee vinavyounda Mji wa Njombe na hata kata uulizosema ni vijijini bado zinatengeneza muunganiko mzuri na kwa mgeni akitoka Njombe Mjini had Kitulira Mpakani mwa Ludewa na NJOMBE anauona mji,Makambako ukitoka round about just kilomita chache mji umeisha iwe kuelekea mbeya,DAR au Njombe
Wanaelewa nini hao utopolo,yaani hapa utajichosha..wanachotakiwa kufahamu Njombe ni TC kitambo Sana na sasa itakuwa Manispaa any time t wakati hizo uchuuzi towns zitabaki hivyo kwa miaka mingi Sana ijayo maana hazina hadhi Wala miundombinu ya hiyo status
Saizi tunasubilia Tactic iongezee mtandao wa lami na tunasubilia kukamilika kwa uwanja wa ndege, road za Njombe-Ifakara,Njombe-Makete-mbeya,Njombe-Ludewa-mbamba Bay na ukarabati wa barabara ya Makambako-Njombe-Songea zitatoa facelift mpya kabisa ya Njombe town
 
Kwenda mbeya unaenda km 5 uelekeo wa dar km 10 kwenda njombe km 20 kote kunajengeka toka round about ko sio tunaongea vitu bila kufika eneo husika alafu unavosema makambako haijafikia kuwa manispaa kigezo kipi imekosa maana hata mtu ukimtoa njombe umlete makambako atakwambia tu makambako Ni kubwa kuliko njombe
Unachekesha yaani kamji kamejaa vimaduka ndio kawe Manispaa? Kahama pamoja na kuwa na idadi kubwa ya watu bado haina hadhi ya Manispaa Kama ilivyo Shinyanga sababu ni uchuuzi town
 
ukifika Luponde,matola kunajengeka nako Kilo mita zaidi ya 40 toka njombe CBD,Ukitoka mji mwema ukielekea magoda,utalingolo nako kunajengeka more than 20 km,ukitoka njia panda ya Kibena kuelekea Lupembe nako kunajengeka,in short Makambako haiwezi kuifikia Njombe japo wote ni watoto wa mama mmoja.Turudi kwenye Njombe v Kahama
Hao jamaa hawafikirii,yaani wakiona kamakambako kamejaa kipara Basi wanajua eti ni kubwa,Mji wa Njombe una jiografia ya mabonde na milima na umepambwa na misitu kila kona sio rahisi kuona ni mpaka uanze kuuzunguka ni Kama Arusha ukifuata road tu utasema mji mdogo kumbe umefunikwa na miti na vilima.
 
Mabonde mengi hayana nyumba useless alafu tofauti na makambako ndo maana ukiangalia hata takwimu za kimkoa makambako ndo inaoongoza kuwa na makazi mengi kimkoa ko ndo maana nasema makambako imejegeka maana huwezi linganisha mji wa milimani na tambalale kuna utofaut mkubwa mno kwa mfn ukiwa makambako kila unako anga Lia yanaonekana makazi tu yanaendelea kujengwa tofaut na njombe misitu na mabonde mengi mno alafu kumbuka njombe inaanzia lihogosa kwahiyo kutoka kibena Hadi hagafilo Ni km 15 na njombe itulike km 12 wende km10 umemaliza na CBD ya makambako saizi yote wanaimalizia lami imetoka mizani Hadi kivavi zimepigwa lami barabara za kutosha ko wana mikakati mikubwa sana alafu njombe mtu huwezi tambua CBD Ni wap maana mji umenyoka barabaran tu ko jiografia imewabana sana wakat makambako CBD yao imekaa poa Sana kwa kutawanyika
Unastahili pole,high population density sio afya kwa mji inaonyesha uswahili mtupu na sio kigezo Cha ukubwa au maendeleo.Kilele unapiga Sana weka takwimu za idadi ya watu hapa.Kimapato tu Makambako imepigwa mbali licha ya kelele zako Mkuu.
Mwisho unanichafulia uzi na kuwapa kajambaa town nafuu ya kupumua maana watoto wa mama mmja wanaparurana
 
H

Haha sio kuvuana tunaangalia uhalisia wenyewe sio porojo ya kusema miji ya tunduma na makambako ya wachuuzi
Sio tu kwamba ni ya wachuuzi bali iko Kama magulio au mnadani yaani vurugu tupu,gests wanaita hoteli
 
Alafu mkumbuke sikuizi mtu hawezi kudanganyika kirahisi anachek tu Google map mji wote hapo ndipo utajua mji upi unakwenda Kasi sio story za vijiweni au za kuvutia nyumbani ukweli utaonekana t pia kila halmashauri Ina tovuti yenye data zote mfano ya mafinga inakwambia mji inawakazi 84000 umeanza 2015 wakati mji wa makambako inakadiliwa kuwa na wakaz zaidi 150000 na tunduma pia ko hapo mtu unajifunza Kitu sio kuleta mada za Mara makao makuu ya mkoa Mara makao makuu ya makanisa haya yanaweza kuwa sehemu yoyote ilimradi vikao husika viliamuaje pia saiz hoteli zinajengwa kila sehemu kuna miji Kama Moshi na arusha hoteli zpo Hadi vijijini kwa sababu ya utalii pia hata bank ko kila mji inatakiwa uangalie pana fursa gani je inafanyiwa kazi na zingine saiz zimesimama tofauti na nyuma mfano biashara ya mbao imesimama ndo maana utaona matajiri wengi wameelekeza pesa zao kwenye biashara zingine ko mji unaotegemea zao hili lazima urudi nyuma kidogo Ni tofaut tunavosema mji huu Ni wa biashara nachukulia mfano makambako pale mzunguko wa hela Ni mwaka mzima kwa sababu watu wengi hawategemei Kitu kimoja na watu wengi pale Ni wajasiriamali tofauti na njombe wanategemea kilimo ko ukianza msimu wamasham a watu wengi pesa wanaelekeza shambani na mafinga watu wengi wanategemea mbao ko hizi fursa ndizo zinazo ufanya mji ukue au usikue kutokana na shughuli za kila siku pia na urahisi wa maisha ikiwemo gharama za ujenzi
Kama hiyo Miji ni ya kibiashara Kama unavyosema wewe inakuaje imepitwa kimapato na Mafinga au Njombe? Inakuaje ujenzi wa mahoteli na maghorofa ni mengi Njombe na Mafinga Kuliko huto tumiji uchwara twenu? Jibu ni moja tu,hiyo ni Miji ya wachuuzi na mama ntilie
 
Ukubwa upi unaousema,weka takwimu za idadi ya watu,idadi ya kata ndio uje na porojo zako.Njombe imekuwa TC kitambo Sana sio Kama hao watoto akina Makambako,saizi iko mbioni kuwa manispaa
Njombe Ina kata 13 na mitaa 28 kata zilizopo mjini Ni ramadhani njombe mjini na mjimwema zingine 10 zipo bush ukija makambako Ina kata 12 kata 9 zipo mjini na kata 3 Ni bush mitaa 54 hapo fumbua macho kutangulia kuwa mji si kigezo Cha ukuaji hata siku moja mjini tunaangalia mitaaa sio vijiji ukiona vijiji vingi ujue mji Ni mdogo Sana ndomaana hata ukienda iringa mc haina vijiji ss njombe vijiji 44 alafu et tunatakakuwa manispaa Hadi itipula hko
 
Sio tu kwamba ni ya wachuuzi bali iko Kama magulio au mnadani yaani vurugu tupu,gests wanaita hoteli
Pole yako hujui miji ya biashara inahitaji Nini sasa bidhaa utaziuzia nyani msituni au shambani hii Ni miji ya biashara lazima ichangamke sio njombe mmekaa sehemu moja tu miaka yote Ni kutoka masasi Hadi Roman kwisha habar
 
Po
Njombe mjini Kuna mavuno gani ya msimu? Hiyo miji ni ya kichuuzi toka kitambo but haina chochote kuanzia maendeleo ya huduma Hadi kiuchumi na itabakia kuwa magulio t

Hili gazeti limejaa mahaba zaidi kuliko uhalisia,Kama miji hiyo Ina sifa unazozitaja kwa nini hakuna hotel kali na nyingi si unadai Kuna pesa huko?
Mkuu hiyo miji umeitaja ndio sampuli ya Kahama yaani imejaa wachuuzi Kama gulioni,mambo ya idadi ya sheli sijui nini sio kigezo,,kwa mfano tufanye Makambako ina vituo vingi vya mafuta(sheli) kuliko Sumbawanga sasa nijibu je Makambako au Tunduma inaizidi Sumbawanga kwa kipi? Usilinganishe miji ya Njombe na Mafinga yenye Uchumi stable na ya wastaarabu Kama hayo magulio yakiongizwa na Kahama
Miji inajengwa kulingana na jiografia ya mji ulipo kwa mfano Mafinga inaambaa kulingana na barabara kuu,Njombe inajengwa kufuata barabara kubwa zote Ila huoni kwa sababu jiografia yake ni mabonde na milima na iko covered na uoto wa miti tofauti na Makambako ambayo ni tambarare na imejaa kipara,typical uchuuzi towns
Mahaba unayo ww ambae hufanyi research ukaishia kucombent bila kufuatilia alafu unasema uchumi Ni stable Rudi darajani hakuna uchumi stable Kuna kupanda na kushuka
 
H
Kama hiyo Miji ni ya kibiashara Kama unavyosema wewe inakuaje imepitwa kimapato na Mafinga au Njombe? Inakuaje ujenzi wa mahoteli na maghorofa ni mengi Njombe na Mafinga Kuliko huto tumiji uchwara twenu? Jibu ni moja tu,hiyo ni Miji ya wachuuzi na mama ntilie
 
Haha mafinga hivi inagorofa ngap vile za kibiashara maana Kama hoteli Ni Merlin na pop corn nazo vigorofa viwili Kama nyumba za mitaan maana saiz gorofa Ni cf ndiyo inayoonekana ko angalia watu was kuwadanganya wenzio kila siku tunapita kwenye hii miji tunajua. Hata project zinavo endelea makambako na tunduma sio level ya mafinga na njombe hii miji ipo mbali kimaendeleo hata ya mtu mmoja mmoja ndo maana hata mizigo yenu ya madukan mnategemea hko nyie kazaneni kulima vipalila tu miaka yote
 
Kama hiyo Miji ni ya kibiashara Kama unavyosema wewe inakuaje imepitwa kimapato na Mafinga au Njombe? Inakuaje ujenzi wa mahoteli na maghorofa ni mengi Njombe na Mafinga Kuliko huto tumiji uchwara twenu? Jibu ni moja tu,hiyo ni Miji ya wachuuzi na mama ntilie
Alafu shida ya njombe kuwa makao makuu ya mkoa wanaona Kama ndo kukua kwa mji kumbe Ni mabadiliko ya utawala tu ko lazima miji yenye fursa ya kibiashara muendelee kuisubir maana makambako yenyewe imewapiga gap la maana Hadi ikafikia kuunganisha Tarafa mbili za imalinyi yenye watu 84000 na njombe mjini yenye watu 56000 lakini bado makambako hawajachukua Tarafa nzima mji wao ilitakiwa uanzie mtwango maana Ni kata ya Tarafa yao ya makambako na ndio maana hata viongo wanapenda kufanyia mikutano makambako Ina watu wengi bwana sio ule mji narrow
 
Ww

Umefirisika akili ww mapato sio ukuaji wa mji hata cku moja unaweza mkawa wa Kwanza ila eneo husika likawa masikini vilevile na hebu angalia miaka miwil ya nyuma mlikuwa wangapi we endelea kulima vipalila hko kitulila uje uuze viazi hapa mji wa kibiashara makambako
Unastahili pole,high population density sio afya kwa mji inaonyesha uswahili mtupu na sio kigezo Cha ukubwa au maendeleo.Kilele unapiga Sana weka takwimu za idadi ya watu hapa.Kimapato tu Makambako imepigwa mbali licha ya kelele zako Mkuu.
Mwisho unanichafulia uzi na kuwapa kajambaa town nafuu ya kupumua maana watoto wa mama mmja wanaparurana
 
Kufikia mwakani viazi mtapeleka soko la kiumba na mahindi kunasoko wanawajengea pale na parachichi mtapeleka soko la matema na nguo mtaendelea kununulia soko kuu na soko la magegere na mbao soko la mashujaa na nyanya hoho vitunguu soko la nyanya mji mwema na mafuta ya magari mnajengewa mantaki majengo pale ko mjiandae mkoa wa iringa ruvuma na njombe kuchukua a mafuta pale na dawa za binadamu mtachukulia pale idofi makontena mtachukulia mahongole halafu soko la kimataifa pale mashujaa hii ndo mipango ya mji wa kibiashara na taa za kisasa za barabarani zipo round about ipo hospital kubwa zipo mahotel ya ku relax nje ya mji yapo sio unaangalia barabaran tu reli ipo barabara za mitaa centre asilimia 80 Ni lami na makao makuu ya mji yapo Ni gorofa za maana bomba la mafuta lipo Umeme kila Kona upo grid ya taifa vihenge vya nfra vpo hii Ni faida ya kuwa mji wa kibiashara
 
Back
Top Bottom