ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko mvua Bado mbona kukame hivyo?Makambako eneo la biashara na viwanda
View attachment 2832403View attachment 2832406View attachment 2832409View attachment 2832411View attachment 2832404View attachment 2832413
Huko mvua Bado mbona kukame hivyo?
Madhara ya umaskini ni uchafu
View: https://www.instagram.com/p/C0b0Y9dozfT/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Madhara ya umaskini ni uchafu
View: https://www.instagram.com/p/C0b0Y9dozfT/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Tafuteni pesa mpunguze uchafu ,nyie sio nguruwe ni binadamu mnaaibisha Nchi.Maskini wa Njombe kazi kupigana miti ukimwi utawamaliza, nilikuwa najiuliza kwa nini population ya kusini hasa njombe haiongezeki kumbe ukimwi unawafyeka kama sisimizi
Una akili timamu? Uliwahi ona wenye ukimwi wanawekwa karantini? Ukimwi unajua kama kipindupindu?Bora kipindupindu kuliko ukimwi asee 😂😂😂
Punguza jazba kijana mtamalizwa na ukimwi, kipindupindu ni kwa muda huu mfupi wa EL nino tu lakini huko ukimwi mnao miaka yote mnaongozaUna akili timamu? Uliwahi ona wenye ukimwi wanawekwa karantini? Ukimwi unajua kama kipindupindu?
Kipindupindu Kwa wanaojiita Wasomi ni fedheha.Ugonjwa wa Maskini na uchafu.
Mbeya-DarPunguza jazba kijana mtamalizwa na ukimwi, kipindupindu ni kwa muda huu mfupi wa EL nino tu lakini huko ukimwi mnao miaka yote mnaongoza