The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #161
Unaongea mambo usiyoyajua..Tatizo la mnaoleta hizi Mada wengi Mnasimuliwa Kuhusu sehemu flani halaf unaleta uzi.
Kwa Mimi niwe Mkweli sijawahi fika Tunduma ila kwa mnavyovisema kua vipo Tunduma kahama vipo Vingi tu na tushasahau.
Mtu anasema kahama Hakuna Malori anajivunia Tunduma ni Border kitu watu wengi hawajui Parking kubwa ya Magari yote ya Mizigo Hayo Malori yaendaΓ½o Burundi,Rwanda,Uganda Ipo Kahama parking ambayo ni kubwa na ya kisasa ipo maeneo ya Viwanda vya Ndegesela.
Mtu anasema kahama Hotel za Gorofa muangalie sana hajielewi.
Zile Submarine Hotel,Gaprena,Mongo Hotel ni Vyoo??
Mtu akisema Sehemu za Burudani kahama ndio usiseme kuna
Magic101
Chillax na zingine wataalamu wa haya mambo wanajua.
Kahama kuna Lodge kama Maparachichi Mbeya ukivuka hatua 10 Lodge sio Viguest vya Kunguni ni Lodges za Maana.
Kahama kuna SuperMarket na Min SuperMarkets nzuri na Nyingi
Niseme hivi watu wa kusini wengi hua wanaijua zaidi Shinyanga na ukiwaambia KAHAMA ni kubwa na ina mzunguko Mkubwa wa Pesa zaidi ya Shinyanga hua hawakubali hata uwaue,Mi kuna Rafiki angu alikua anatoka Njombe nilikua na Mwambia Daily ukifika kahama hutoamini anakataa Now mwaka huu amefika Kahama amesema hatamani Kurud kwao Njombe.
Jamaaa Ndezi sana kweli wewe umeelewa Point Yangu?Unaongea mambo usiyoyajua..
Nenda Tunduma hata sasa kaone mziki wa malori ndio utajua..π
Tunduma πJamaaa Ndezi sana kweli wewe umeelewa Point Yangu?
Nimesema hivi Kahama Sio Border pale lakini Parking kubwa Yote ya Magari yaendayo Mikoa ya Uganda,Rwanda,Burundi ipo Pale ni Parking Kubwa As If pale kahama ni Border.
Ushafika Kahama au unasimuliwa Mkuu?
Wewe umepata halmashauri ya mji 2010 kahama amepata halmashauri ya mji 2012 kumbe kahama ndio inakimbia na 2021 imekuwa manispaa aise kutangulia sio kufika pole kahama ni levels zingine wewe jilinganishe na chato hata hivyo huiwezi sanasana pambana na nzegaHayo unayoyasema kama ni mambo hakuna unatakiwa ujue kuna improvement kubwa Sana,ungekuwepo kabala ya 2015 ndio ungejua kwamba kuna improvement kubwa..
Hiyo barabara ya Malawi unayosema sio muhimu kibiashara hiyo ni shida yako binafsi maana Mji unakua zaidi njia ya Ileje na Sumbawanga..
Kuhusu maji hata hayo unayiosema ni ya kisima ni ushukuru kuna hata visima kwa sasa ila zamani tulikuwa tunafuata Chimbuya huko,Mjini kule kuna mradi wa maji ya Bomba japo mradi mkubwa wa uhakika mtapata kutoka Ileje..
Barabara za lami za mitaani walau zipo za kutafutiza miaka hii,hiyo Tunduma unayoiona hata mitaa ilikuwa haipo vyote hivyo vimefangika Kati ya 2010 hadi sasa,kwa kuwa TARURA sasa ipo mtapata hizo barabara maana ilibidi makazi yavunjwe Ili kupata mitaa kutokana na ujenzi holela..
Mambo ya Elimu kwa sasa Tunduma inajitahidi hasa kwenye elimu ya msingi na Sekondari,Mambo ya Vyuo bado ila huo mpango wa Veta upo maana hata Mkoa wa Rukwa hakuna Veta ya Serikali na haki iko hivyo Kwa maeneo mengi ya Nchi..
Mambo ya biashara ndio mahali pake na hizo vituo vya mafuta ni ishara kwamba kuna biashara kubwa sio tuu hiyo bali hata maduka ni mengi Mji mzima ni biashara..
Mwisho unatakiwa kujua.kwamba Halmashauri ya Mji wa Tunduma imeundwa mwaka 2010 kwa hiyo kwa yaliyofanyika so far naona wamejitahidi Sana maana ndani ya miaka 12 tayari kuna hospital Kubwa ya Mji,stand nzuri ya mpemba,mashule kibao zikiemo English medium za serikali,wanapima viwanja na kupanga Mji,mitaa inaanza kuwekwa na pia kitu kikubwa ni kwamba hapo kuna wageni wengi tofauti na unavyosema maana huo Mji ni WA wahamiaji zaidi..
Sio kweli Kahama ni Kongwe kuliko Tunduma,Kahama imekuwa hivyo kabla ya 2012 acha mzaha Mzee.Wewe umepata halmashauri ya mji 2010 kahama amepata halmashauri ya mji 2012 kumbe kahama ndio inakimbia na 2021 imekuwa manispaa aise kutangulia sio kufika pole kahama ni levels zingine wewe jilinganishe na chato hata hivyo huiwezi sanasana pambana na nzega
Nimeajiriwa kahama 2008 nimekuta wanaitwa halmashari ya wilaya mkurugenzi ni mmoja anahudumia halmashauri zote 3 za kahama mwaka 2009 wakaingia mamlaka ya mji mdogo na 2012 wakaingia halmashari ya mji na zikazaliwa halmashauri 2 za ushetu na msalala labda kama unazungumzia kuhusu wilaya ni wilaya kongwe ila kwa hadhi ya miji wameanza 2012Sio kweli Kahama ni Kongwe kuliko Njombe,Kahama imekuwa hivyo kabla ya 2012 acha mzaha Mzee.
Sio kweli uliza wenyeji mgodi ulishafungwa toka 2021 sema siku machimbo madogo yakiisha ndio itakuwa shida na kama ni kigezo buzwagi tarime kuna mgodi north mara mbona hamfanyi nao battle jibu hawana kila kitu kahama imekuwa ikishaini kwa mapato toka miaka ya 1999 lakini buzwagi imeanza 2007 ikafungwa 2021 kipindi cha sakata la makinikia sasa hivi walishauza mitambo yote wanafukia mashimo na kupanda miti ya machungwa nenda Google habari ya kufungwa utaikutaKahama. Siku wakifunga ule mgodi was buzwagi Hakuna rangi wataacha kuonaa