Kahama VS Tunduma: Wapi kuna Michongo ya Pesa na Fursa zaidi?

Kahama VS Tunduma: Wapi kuna Michongo ya Pesa na Fursa zaidi?

Hii ndio maana Halisi ya Tunduma kuwa Halmashauri ya Mji inayoingiza mapato mengi Tanzania nzima..👇
 

Attachments

  • IMG_20221015_081450_452.jpg
    IMG_20221015_081450_452.jpg
    1.2 MB · Views: 17
  • IMG_20221015_081421_862.jpg
    IMG_20221015_081421_862.jpg
    1.2 MB · Views: 15
  • IMG_20221015_081450_452.jpg
    IMG_20221015_081450_452.jpg
    1.2 MB · Views: 18
  • IMG_20221015_073825_016.jpg
    IMG_20221015_073825_016.jpg
    809.4 KB · Views: 16
  • IMG_20221015_073811_766.jpg
    IMG_20221015_073811_766.jpg
    783.6 KB · Views: 17
  • IMG_20221015_073451_925.jpg
    IMG_20221015_073451_925.jpg
    778.9 KB · Views: 17
  • IMG_20221015_073416_209.jpg
    IMG_20221015_073416_209.jpg
    1,001 KB · Views: 19
  • IMG_20221015_171442_294.jpg
    IMG_20221015_171442_294.jpg
    1.4 MB · Views: 16
Hakuna siku itakuja kutokea kwa Kahama kuipita Tunduma..

Tunduma lango kuu la SADC 👇
 

Attachments

  • IMG_20221015_083448_845.jpg
    IMG_20221015_083448_845.jpg
    1.1 MB · Views: 18
  • IMG_20221015_083339_149.jpg
    IMG_20221015_083339_149.jpg
    949.1 KB · Views: 15
  • IMG_20221015_082953_049.jpg
    IMG_20221015_082953_049.jpg
    1.1 MB · Views: 15
  • IMG_20221015_082934_183.jpg
    IMG_20221015_082934_183.jpg
    1 MB · Views: 15
  • IMG_20221015_080850_259.jpg
    IMG_20221015_080850_259.jpg
    979.7 KB · Views: 15
  • IMG_20221015_080744_745.jpg
    IMG_20221015_080744_745.jpg
    750.6 KB · Views: 16
  • IMG_20221015_081730_244.jpg
    IMG_20221015_081730_244.jpg
    1,007.7 KB · Views: 16
Tatizo la mnaoleta hizi Mada wengi Mnasimuliwa Kuhusu sehemu flani halaf unaleta uzi.
Kwa Mimi niwe Mkweli sijawahi fika Tunduma ila kwa mnavyovisema kua vipo Tunduma kahama vipo Vingi tu na tushasahau.
Mtu anasema kahama Hakuna Malori anajivunia Tunduma ni Border kitu watu wengi hawajui Parking kubwa ya Magari yote ya Mizigo Hayo Malori yaendaýo Burundi,Rwanda,Uganda Ipo Kahama parking ambayo ni kubwa na ya kisasa ipo maeneo ya Viwanda vya Ndegesela.
Mtu anasema kahama Hotel za Gorofa muangalie sana hajielewi.
Zile Submarine Hotel,Gaprena,Mongo Hotel ni Vyoo??
Mtu akisema Sehemu za Burudani kahama ndio usiseme kuna
Magic101
Chillax na zingine wataalamu wa haya mambo wanajua.

Kahama kuna Lodge kama Maparachichi Mbeya ukivuka hatua 10 Lodge sio Viguest vya Kunguni ni Lodges za Maana.

Kahama kuna SuperMarket na Min SuperMarkets nzuri na Nyingi

Niseme hivi watu wa kusini wengi hua wanaijua zaidi Shinyanga na ukiwaambia KAHAMA ni kubwa na ina mzunguko Mkubwa wa Pesa zaidi ya Shinyanga hua hawakubali hata uwaue,Mi kuna Rafiki angu alikua anatoka Njombe nilikua na Mwambia Daily ukifika kahama hutoamini anakataa Now mwaka huu amefika Kahama amesema hatamani Kurud kwao Njombe.
 
Tatizo la mnaoleta hizi Mada wengi Mnasimuliwa Kuhusu sehemu flani halaf unaleta uzi.
Kwa Mimi niwe Mkweli sijawahi fika Tunduma ila kwa mnavyovisema kua vipo Tunduma kahama vipo Vingi tu na tushasahau.
Mtu anasema kahama Hakuna Malori anajivunia Tunduma ni Border kitu watu wengi hawajui Parking kubwa ya Magari yote ya Mizigo Hayo Malori yaendaýo Burundi,Rwanda,Uganda Ipo Kahama parking ambayo ni kubwa na ya kisasa ipo maeneo ya Viwanda vya Ndegesela.
Mtu anasema kahama Hotel za Gorofa muangalie sana hajielewi.
Zile Submarine Hotel,Gaprena,Mongo Hotel ni Vyoo??
Mtu akisema Sehemu za Burudani kahama ndio usiseme kuna
Magic101
Chillax na zingine wataalamu wa haya mambo wanajua.

Kahama kuna Lodge kama Maparachichi Mbeya ukivuka hatua 10 Lodge sio Viguest vya Kunguni ni Lodges za Maana.

Kahama kuna SuperMarket na Min SuperMarkets nzuri na Nyingi

Niseme hivi watu wa kusini wengi hua wanaijua zaidi Shinyanga na ukiwaambia KAHAMA ni kubwa na ina mzunguko Mkubwa wa Pesa zaidi ya Shinyanga hua hawakubali hata uwaue,Mi kuna Rafiki angu alikua anatoka Njombe nilikua na Mwambia Daily ukifika kahama hutoamini anakataa Now mwaka huu amefika Kahama amesema hatamani Kurud kwao Njombe.
Unaongea mambo usiyoyajua..

Nenda Tunduma hata sasa kaone mziki wa malori ndio utajua..👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221015-225110.png
    Screenshot_20221015-225110.png
    184.6 KB · Views: 19
  • FB_IMG_16672583793502287.jpg
    FB_IMG_16672583793502287.jpg
    35.9 KB · Views: 17
Unaongea mambo usiyoyajua..

Nenda Tunduma hata sasa kaone mziki wa malori ndio utajua..👇
Jamaaa Ndezi sana kweli wewe umeelewa Point Yangu?
Nimesema hivi Kahama Sio Border pale lakini Parking kubwa Yote ya Magari yaendayo Mikoa ya Uganda,Rwanda,Burundi ipo Pale ni Parking Kubwa As If pale kahama ni Border.

Ushafika Kahama au unasimuliwa Mkuu?
 
Jamaaa Ndezi sana kweli wewe umeelewa Point Yangu?
Nimesema hivi Kahama Sio Border pale lakini Parking kubwa Yote ya Magari yaendayo Mikoa ya Uganda,Rwanda,Burundi ipo Pale ni Parking Kubwa As If pale kahama ni Border.

Ushafika Kahama au unasimuliwa Mkuu?
Tunduma 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221018-112812.png
    Screenshot_20221018-112812.png
    116 KB · Views: 24
  • Screenshot_20221018-112723.png
    Screenshot_20221018-112723.png
    145.5 KB · Views: 22
  • Screenshot_20221018-112947.png
    Screenshot_20221018-112947.png
    194.6 KB · Views: 20
Njia 4 kujengwa Tunduma 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221103-185839.png
    Screenshot_20221103-185839.png
    170 KB · Views: 15
  • Screenshot_20221103-185856.png
    Screenshot_20221103-185856.png
    47.1 KB · Views: 12
Ujenzi wa shule ya gorofa na nyumba za walimu mbioni kukamilika Halmashauri ya Tunduma 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221103-190242.png
    Screenshot_20221103-190242.png
    127.5 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221103-185612.png
    Screenshot_20221103-185612.png
    220 KB · Views: 9
Ujenzi wa Kituo Cha Afya kata ya Mpande Tunduma TC ukiendelea kwa hisani ya mapato ya ndani.

Ieleweke hiki litakuwa ni Kituo Cha Afya cha 7 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221103-185515.png
    Screenshot_20221103-185515.png
    205 KB · Views: 9
Ujenzi wa Soko la Machinga,Machinag complex ukiendelea Mjini Tunduma,zaidi ya Bil.5 zitamwagwa hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221103-185548.png
    Screenshot_20221103-185548.png
    260.8 KB · Views: 13
Tunduma yaweka rekodi mpya kwenye ukusanyaji mapato robo ya kwanza july-Septemba yakusanya zaidi ya Bil.3.7..

Kwa sasa Ukusanyaji wa mapato ni Zaidi ya Bil.1 Kila mwezi na Kwa Mwendo huu hadi Mwezi Juni 2013, Tunduma inaweza kusanya zaidi ya Bil.12 kwa Mwaka..

Kuna Halmashauri zinajiita Manispaa ila njaa kali kama Kahama 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221103-190227.png
    Screenshot_20221103-190227.png
    182.4 KB · Views: 13
  • Screenshot_20221103-190201.png
    Screenshot_20221103-190201.png
    107.5 KB · Views: 14
Stand mpya ya Tunduma yaanza kutumika 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221103-190330.png
    Screenshot_20221103-190330.png
    147.9 KB · Views: 16
  • Screenshot_20221103-190419.png
    Screenshot_20221103-190419.png
    202.1 KB · Views: 18
Hayo unayoyasema kama ni mambo hakuna unatakiwa ujue kuna improvement kubwa Sana,ungekuwepo kabala ya 2015 ndio ungejua kwamba kuna improvement kubwa..

Hiyo barabara ya Malawi unayosema sio muhimu kibiashara hiyo ni shida yako binafsi maana Mji unakua zaidi njia ya Ileje na Sumbawanga..

Kuhusu maji hata hayo unayiosema ni ya kisima ni ushukuru kuna hata visima kwa sasa ila zamani tulikuwa tunafuata Chimbuya huko,Mjini kule kuna mradi wa maji ya Bomba japo mradi mkubwa wa uhakika mtapata kutoka Ileje..

Barabara za lami za mitaani walau zipo za kutafutiza miaka hii,hiyo Tunduma unayoiona hata mitaa ilikuwa haipo vyote hivyo vimefangika Kati ya 2010 hadi sasa,kwa kuwa TARURA sasa ipo mtapata hizo barabara maana ilibidi makazi yavunjwe Ili kupata mitaa kutokana na ujenzi holela..

Mambo ya Elimu kwa sasa Tunduma inajitahidi hasa kwenye elimu ya msingi na Sekondari,Mambo ya Vyuo bado ila huo mpango wa Veta upo maana hata Mkoa wa Rukwa hakuna Veta ya Serikali na haki iko hivyo Kwa maeneo mengi ya Nchi..

Mambo ya biashara ndio mahali pake na hizo vituo vya mafuta ni ishara kwamba kuna biashara kubwa sio tuu hiyo bali hata maduka ni mengi Mji mzima ni biashara..

Mwisho unatakiwa kujua.kwamba Halmashauri ya Mji wa Tunduma imeundwa mwaka 2010 kwa hiyo kwa yaliyofanyika so far naona wamejitahidi Sana maana ndani ya miaka 12 tayari kuna hospital Kubwa ya Mji,stand nzuri ya mpemba,mashule kibao zikiemo English medium za serikali,wanapima viwanja na kupanga Mji,mitaa inaanza kuwekwa na pia kitu kikubwa ni kwamba hapo kuna wageni wengi tofauti na unavyosema maana huo Mji ni WA wahamiaji zaidi..
Wewe umepata halmashauri ya mji 2010 kahama amepata halmashauri ya mji 2012 kumbe kahama ndio inakimbia na 2021 imekuwa manispaa aise kutangulia sio kufika pole kahama ni levels zingine wewe jilinganishe na chato hata hivyo huiwezi sanasana pambana na nzega
 
Wewe umepata halmashauri ya mji 2010 kahama amepata halmashauri ya mji 2012 kumbe kahama ndio inakimbia na 2021 imekuwa manispaa aise kutangulia sio kufika pole kahama ni levels zingine wewe jilinganishe na chato hata hivyo huiwezi sanasana pambana na nzega
Sio kweli Kahama ni Kongwe kuliko Tunduma,Kahama imekuwa hivyo kabla ya 2012 acha mzaha Mzee.
 
Sio kweli Kahama ni Kongwe kuliko Njombe,Kahama imekuwa hivyo kabla ya 2012 acha mzaha Mzee.
Nimeajiriwa kahama 2008 nimekuta wanaitwa halmashari ya wilaya mkurugenzi ni mmoja anahudumia halmashauri zote 3 za kahama mwaka 2009 wakaingia mamlaka ya mji mdogo na 2012 wakaingia halmashari ya mji na zikazaliwa halmashauri 2 za ushetu na msalala labda kama unazungumzia kuhusu wilaya ni wilaya kongwe ila kwa hadhi ya miji wameanza 2012
 
Kahama. Siku wakifunga ule mgodi was buzwagi Hakuna rangi wataacha kuonaa
Sio kweli uliza wenyeji mgodi ulishafungwa toka 2021 sema siku machimbo madogo yakiisha ndio itakuwa shida na kama ni kigezo buzwagi tarime kuna mgodi north mara mbona hamfanyi nao battle jibu hawana kila kitu kahama imekuwa ikishaini kwa mapato toka miaka ya 1999 lakini buzwagi imeanza 2007 ikafungwa 2021 kipindi cha sakata la makinikia sasa hivi walishauza mitambo yote wanafukia mashimo na kupanda miti ya machungwa nenda Google habari ya kufungwa utaikuta
 
Back
Top Bottom