julius nashon
Member
- Mar 1, 2020
- 10
- 3
Halmashauri ya mji wa Kahama na TRA, fanyeni tathmin ambazo Haziwezi kuwa mzigo Kwa wafanyabiashara, haiwezekani mtu anajipeleka kukadiriwa halafu mnaweka kodi pasipo maridhiano mazuri wakati kumfanya Makadirio, mtu anaenda kulipa lakini Moyo wake haujapendezwa na kodi
Ya makadirio aliyofanyiwa, hii haipendezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya makadirio aliyofanyiwa, hii haipendezi.
Sent using Jamii Forums mobile app