Kahama wanavuna mpunga mwezi gani?

Bei ya kahama Sasa hivi nimepiga simu mashineni Ni kuanzia 1300 kg 1 mpaka super ule unaitwa belenge( sijui jina kama nimepatia) 2400 wewe Sasa.
Hivo Kuna wa ,1300,1400,1500,1600,1700,1800,2000,2400 bei tofauti kutokana na mchele ulivotoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…