Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unafanya kazi gani?Na wewe kiingereza kinakupa shida? Au ni engineer hujui hata kidogo kuhusu uchumi?
Ligi uingereza epl ni moja kati ya ligi bora duniani lkn tm yao ya taifa ni ushuzi vp una la kuongezea??Kama ni Bora mbona national team ni choo,
Ubora huwa Sako Kwa bako hadi juu zaidi,
Fruits huonekana through national team.
Eg Nigeria SA Egypt league zao zimechangia pakubwa national team
So hiyo ndiyo hadhi ya England? Basi km ni hvyo nasi pia tumecheza afcon.Walifika semi final 2018,
Plus 16 round huwa hawakosiii
Team ya uingereza inafika hata world cup na kuzitwanga time zingine 😁 je Taifa Rats wamepigwa time zipi Afcon? 😂 Choose your next words carefully 😉Ligi uingereza epl ni moja kati ya ligi bora duniani lkn tm yao ya taifa ni ushuzi vp una la kuongezea??
Kwa hadhi ya epl unadhani kushiriki WC bila kuchukua ndo hadhi yao au co?Team ya uingereza inafika hata world cup na kuzitwanga time zingine [emoji16] je Taifa Rats wamepigwa time zipi Afcon? [emoji23] Choose your next words carefully [emoji6]
MO Dewji; Club ya Simba Sio Mali Yako Wala ya CCM
There can only be one winner but the fact of the matter is that Harambee Stars lazima ipindishe Taifa Rats mgongo upende usipende.Kwa hadhi ya epl unadhani kushiriki WC bila kuchukua ndo hadhi yao au co?
Kwn mara ya mwisho kenya kukutana na Tz nani kafungwa tuanzie hapo kwanza.There can only be one winner but the fact of the matter is that Harambee Stars lazima ipindishe Taifa Rats mgongo upende usipende.
View attachment 1545750View attachment 1545751
Unateseka? Ukiambiwa Tanzania ni nchi tajiri uwe unaelewa.Mbona hawa wachezaji wa mpira wa Kenya wameanza kuenda kuchezea nchi shit-hole?
Wewe unawashangaa wachezaji kutoka shit-hole country kama yenu, kuna mpaka wachezaji kutoka Brazil hapa.Mbona hawa wachezaji wa mpira wa Kenya wameanza kuenda kuchezea nchi shit-hole?
Kwn mara ya mwisho kenya kukutana na Tz nani kafungwa tuanzie hapo kwanza.
Mbn unajibu vitu tofauti kabisa umechanganyikiwa nn mapema hv.
Haya maneno ya kwenye khanga, sportpesa imewekeza bongo ndio sababu kama hizo ligi ya bongo ni England ya A. Mashariki na kati kwani hao wamekuja kuwekeza tayar ligi ya bongo ipo bora tu na waliaza huko kwenu wameona wanapata hasara kwakua ligi yenu haina mvuto ndio wakakimbilia bongo ukitoka hapo unajiita mwanauchumiHalafu kampuni ya Kenya ya sportpesa ndio inafadhili simba. Wachezaji ni wa Kenya, kampuni ni ya Kenya. Duh! Kweli Kenya ni baba yenu
Mimi kuwa mchumi inahusiana vipi na mada husika? Jikite kwenye mada.Haya maneno ya kwenye khanga, sportpesa imewekeza bongo ndio sababu kama hizo ligi ya bongo ni England ya A. Mashariki na kati kwani hao wamekuja kuwekeza tayar ligi ya bongo ipo bora tu na waliaza huko kwenu wameona wanapata hasara kwakua ligi yenu haina mvuto ndio wakakimbilia bongo ukitoka hapo unajiita mwanauchumi
Wanapita Kwa mbaaali shenzi
Uwanya nyomi kama mbele sio viwanja vyao vya elfu 20 na bado havijai
Unaona kama bila ya sportpesa ligi ya bongo haiendi wakati sportpesa wamejaribu huko kuwekeza kwenye mpira wameona hasara kutokana ligi yenu haina ushindani ndio wakakimbilia bongo pia sababu ya wachezaji wa Kenya wenye ubora kujaa bongo ndio asili ya soka la bongo ni ngumu mchezaji mzuri wa bongo kucheza Kenya kutokana na ligi yenu haina pesa ushindani mdogo sasa sababu ya sportpesa na wachezaji wa Kenya kukimbilia bongo ni maslai yao sio kua inasaidia soka la bongo kama unavyomaanisha wewe .TZ ukiwekeza kwenye mpira inalipa pia mishahara mikubwa hata Gormahia wenyewe wamekili wameshindwa kumzuia sababu ya kipesaMimi kuwa mchumi inahusiana vipi na mada husika? Jikite kwenye mada.
Kenya huwezi kuona kitu kama hiki ambacho ndio mtaji wa soka ili liwe na hadhi na sio kenya tu hapa A.mashariki na Kati hakuna zaidi ya Bongo tuMimi kuwa mchumi inahusiana vipi na mada husika? Jikite kwenye mada.
Huyu jamaa ukiigusa elimu yake huwa anaruka km umemgusa kalio, au ni ngumbaru huyu hajaenda shule anatupiga fix tu humu[emoji3][emoji3][emoji3]Mimi kuwa mchumi inahusiana vipi na mada husika? Jikite kwenye mada.
Wewe hujui soka. Portugal na Argentina kuna ligi gani nzuri? Best players wao wazuri wapo England,Spain,Italy.Lakini pia ligi za nyumbani ndio zilichangia wakafika iyo level,
Reason Portugal na Argentina ni top 10.
Nashuku Simba imejaa players wa nchi zingine,first 11