Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,000
- 4,589
Nikupe 2/10 kwa kuandika kiswahili, lakini umeshindwa kujieleza huo upuzi ni upi.upuuzi huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikupe 2/10 kwa kuandika kiswahili, lakini umeshindwa kujieleza huo upuzi ni upi.upuuzi huu
SOLANGE KNOWLES
Nyani Ngabu, Tanzanian coffee ipo Marekani hata Europe hata Japan. Haziuzwi Walmart bali kupitia makampuni za ununuaji kahawa. Online zipo nyingi tuu na zina nembo ya Tanzania. Sio coffee tuu, hata chocolate zilizotokana na cocoa ya Mbeya zipo. Ingia Amazon utazipata.
The biggest coffee company in the world LAVAZZA (Italian) they sale Tanzania coffee. Tena mwaka huu is one of there top product because they've blended Tanzania coffee with Columbian.I have seen those too even at Starbucks there is Tanzanian Coffee/Tea.
![]()
Jana nikiwa nimeenda Wal-Mart kununua vitu kadhaa ghafla nikakutana na kahawa itokayo Kenya kwenye moja ya shelves.
Ilibidi niangalie mara mbilimbili ili kuhakikisha kama macho yangu yalikuwa hayanidanganyi.
Nilivyoiona hiyo kahawa nikazidi kuangaza macho kuona kama nitaiona Africafe kutoka Tanzania lakini wapi!
View attachment 511273
name of the fish? kwa nini inakaa warthog?tz kuna haka kasamaki ka mwendo kasi kamekatwa apo ruvuView attachment 512255
Cmon dude....name of the fish? kwa nini inakaa warthog?
Nchi yenye Binadamu zaidi ya Milioni 40 haijawekewa sanctions na nchi yoyote ile, kwa maana ya kwamba tunaweza ku-trade freely na kila mtu Dunia nzima sasa kuuza sachets za Kahawa na kujivunia ni aibu kubwa, mambo mengine wala hatupaswi kuyasema hadharani na usikute hapo hata ni special treatment ndiyo hizo sachets zimeweza kufika hapo lkn siyo kwa kucompete na on fair grounds na products ktk nchi nyingine!
Afrika sisi bado sana, mbilikimo hapa Duniani!
nice packaging
Yeah impressivenice packaging