Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi umesikia wamekumbatia hao magaidi ? Au unatupa story za vijiweni tu !!
Lipi linamshinda Mungu? Au Mungu wako ni feki ashindwe jambob dogo kama hilo? Kwani nani alimpa mimba bikira Mariam hadi kumzaa Yesu? Kama hilo liliwezekana lipi limshinde Mungu? Nina mashaka na uwezo wa huyo Mungu wako unayemuabudu.Yesu anakuwaje mwana wa Mungu ?
Mungu huwa anazaa ? Au Mungu huwa anatia mtu mimba ?
Hujajibu swali lolote hapo...Lipi linamshinda Mungu? Au Mungu wako ni feki ashindwe jambob dogo kama hilo? Kwani nani alimpa mimba bikira Mariam hadi kumzaa Yesu? Kama hilo liliwezekana lipi limshinde Mungu? Nina mashaka na uwezo wa huyo Mungu wako unayemuabudu.
Wewe kweli unaongea mambo ambayo huyajui...Acha wale kichapo akili zije ili waone hasara ya kuwakumbatia HAMAS.
Mpigie simu Ayatollah (Iran) awasaidie Wapalestina.
Uwakumbatie magaidi halafu uonewe huruma? Israel inabidi isafishe pote. Hakuna kuonewa huruma mtu hapa.
Wewe kweli unaongea mambo ambayo huyajui...
Wapi umeskia Palestina wanawakumbatia hao Hamas ?
Napata mashaka sana na akili yako kama ndo imekupa mawazo haya!!Israel inatakiwa iwaue wapalestina kama kuku ili waache kushirikiana na magaidi.
Sehemu ambapo HAMAS anarusha kombora na Israel apige pale pale.
Wajinga sana hawa watu. Walipoona Israel ana mgogoro na Iran basi wakaona ndiyo fursa ya wao kumchokoza Israel wakitegemea Iran itawasaidia Wapalestina.
Iran kakaa kimya, anawacheka wanavyokula kichapo
Wewe darasa la saba umepata wapi uwezo wa kuchambua mambo namna hii? Au ni kupitia luninga ya hapo unapofanyia "u-hausi boi" wako, eeh?Huruma gani mkuu inakuingia? Hujaangalia site za wapalesitina wanavyo jimwambafai kuwa wamewagalagaza Wazayuni vibaya? Allah anawasaidia kwa mujibu wao.
Au wewe unaangalia Update kutoka kwa Wazayuni peke yao.
Mbona sijachambua chochote hapo mkuu! 😂 Mimi ni hausi boi ndiyo hujakosea 😂Wewe darasa la saba umepata wapi uwezo wa kuchambua mambo namna hii? Au ni kupitia luninga ya hapo unapofanyia "u-hausi boi" wako, eeh?
Unatoka kwenye misingi ya bibliaWanawake na Watoto wanapoteza maisha hii haikubaliki. Israel wajitahidi sana kuwa waangalifu. Tunawaunga mkono kujilinda lakini maisha ya Wanawake na Watoto wasio na hatia inatugusa sana.
Hamas hawa wakulaumiwa wasiwatumie Wanawake na Watoto kama ngao. Natoa rai pande zote mbili zikae katika meza ya mazungumzo na maelewano.
Ila tumesahau mtu mmoja tu muweza wa yote ambaye tukimuomba kwa dhati nakufuata mafundisho yake huu mzozo wa Israel na Palestina unaweza ukaisha na si Palestina na Israel bali amani kwa binadamu wote. Si mwengine ni Yesu wa Nazareti mwana Mungu.
Tatizo wengi wanampuuzia lakini ni simple tu alisema mpende jirani yako unavyojipenda na mpende Mungu kwa nguvu zote akili zote na roho yote.
Yani hivi viwili tu ni amani ya milele
Hebu nenda Gaza kisha uwaite Hamas viwete na wasioona.. wakukule tigo hapo hapo... jamaa hawajali kufa wale... walipigiwa simu waondoke kuwa eneo litalipuliwa wakasema pigeni tu we are dead people arleady.. basi ndio wakaja dedishwa au sijui walisepa kimya kimyaHivi vita ni baina ya wanamgambo na wanajeshi,wewe uliwahi kusikia nchi gani,jeshi kupigana na raia?Hapa ni sawa na mtu mwenye maguvu,kupigana na kilema,tena kipofu.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Pengine mji mzima ni Hamas maana si kwa ujinga walionao.. kule Gaza ni chama kimoja tu hakuna upinzani maana waliuteketeza kama Mzee Meko alivyowafanyia wapinzani... so wote wanaunga mkono... Israel kawaonea hisani tu... wazee wote wa Gaza walikuwa ni kundi la Hamas and sasa hivi wamezeeka ndio wanaojificha mashuleniKama wanawaficha wahalifu kwann wasiouliwe tu?
Jambazi akiiba akakimbilia kwako halafu ukampa hifadhi nawe ni moja wahalifu. Ili usionekane siyo mhalifu lazima ushirikiane na polisi kumkabidhi huyo jambazi kwa polisi. Ndicho kinachotokea kwa wapalestina.
Wanahifadhi HAMAS kwenye majumba yao halafu wao wanakaa kimya. Hamas wanashambulia Israel halafu wanakaa kwenye majumba ya wapalestina. Na wapalestina wanakaa kimya tu hawalalamiki kuhusu Hamas.
Wakipigwa wanajifanya wanaleta watoto wao wamekufa. Hakuna mtu anayetaka hasara
Kuuliwa kwa raia ni haki yao ndiyo wametaka hayo kwasbb wanashirikiana na HAMAS.
Israel inatakiwa hao raia iwaue wote ndiyo wajue hasara ya kuwakumbatia HAMAS