Mti wenye matunda matamu ndio hupigwa mawe especially kile kipindi matunda hayajaiva vzr.Sio tuu Good guy Alhaji Mussa Salum alikuwa very humble Busara hana Papara!
hata akiongea utamuelewa tuu
ndio hivyo tena![emoji30]
Cc: johnthebaptist
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mti wenye matunda matamu ndio hupigwa mawe especially kile kipindi matunda hayajaiva vzr.Sio tuu Good guy Alhaji Mussa Salum alikuwa very humble Busara hana Papara!
hata akiongea utamuelewa tuu
ndio hivyo tena![emoji30]
Cc: johnthebaptist
cdm ni chama cha siasa tatizo bakwata ajiweki wazi inajificha kwenye diniChadema ilianzishwa na Watu wangapi?
cdm hapa inaingiaje?Jikite kwenye mada
Zile propaganda miaka ming kuhusu bakwata now naanza kuamini, kua ni matawi!!Kaimu Shehe wa mkoa wa Dar es Salaam Walid Alhad ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Malezi ya Jumuiya ya Wazazi CCM mkoa wa Dar es Salaam.
Source: Jambo TV
Mlale unono!
===
Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Walid Alhad ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Malezi kwenye Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam.
Kamati hiyo inajumuisha viongozi wa kiroho akiwemo Sheikh huyo wa Mkoa pamoja na mchungaji, huku ikielezwa kuwa ni katika kusimamia malezi ya kiimani kwenye malezi ya wananchi.
Sheikh huyo ni mwenyeki wa kamati hiyo kati ya kamati sita ndogo ndogo za Jumuiya hiyo zilizoundwa kuhakikisha zinasaidia kusukuma malengo ya kusimamia suala la malezi ya vijana mkoani hapo.
Akizungumza wakati akitangaza kamati hizo pamoja na viongozi wake Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo mkoani, Khadija Ally Said amesema kamati hizo zitakuwa zinaisaidia kamati ya uendeshaji kutekeleza majukumu yake.
"Kamati hizi ndogo ndogo tumezigawa katika maeneo sita, ikiwemo kamati ya uchumi na maendeleo, hapa jumuiya itakuwa inabuni miradi kwa hiyo wanakamati watakuwa wanasimamia kuleta mageuzi tunayosudia," amesema.
Khadija amesema kamati ya elimu afya na malezi ambayo ni ajenda yao kitaifa kutokana na uzito huo inaundwa na wataalamu na wamekuja na kaulimbiu ya ‘Malezi bora kwa mtoto faraja ijayo kwa mzazi na Taifa’.
"Kamati hii inaundwa na wataalamu ambao wataenda kutoa mafunzo elekezi kwa viongozi wa ngazi ya kata na mitaa. Kuna walimu waliopo mashuleni muda wote ambako wanasimamia malezi na maadili," amesema.
"Kusimamia malezi kwa vijana kuhakikisha wanazingatia malezi yanayoendana na utamaduni wa kitanzania,"amesema.
Amesema kamati nyingine ni ya utamaduni michezo na mazingira na ikiwa na malengo ya kujenga mahusiano mazuri kati ya chama na wanachama wake.
"Tutakuwa na timu za wazazi katika Kata zetu na mashindano mbalimbali kwa ngazi za wilaya hadi mkoa na tunategemea tukifanya vizuri tutaenda hadi nje ya nchi," amesema.
Baada ya uteuzi huo, Sheikh huyo amesema ameupokea uteuzi huo na kwamba eneo alilopewa anauzoefu nalo na kwamba ni ndoto yake ya muda mrefu hivyo atakuwa anasimamia.
"Nitakuwa nashughulikia elimu afya na malezi ni jambo nzuri na katika fikra zangu nilikuwa na ndoto nalo kwa wakati wote kulifanya namshukuru uteuzi,"amesema.
Sheikh huyo ambaye ni Imamu Mkuu wa Msikiti wa Kichangani Magomeni amesema Watanzania wote ni mashahidi mmomonyoko wa maadili na malezi ni wimbo wa Taifa kwa sasa.
"Hakuna mji wala nyumba, mkoa au nchi iliyosalimika na malezi Kila siku tunaona vitu vipya vinakuja na kwa masikitiko juhudi zinachukuliwa lakini hazijafika panapokusudiwa," amesema.
Amesema anamuomba Mungu katika kamati aliyochaguliwa apewe nguvu ya kulisimamia kwa kina suala la malezi na ukizingatia nafasi yangu ni sheikh ni kuwakataza watu mambo mabaya na kufuata mazuri.
MWANANCHI
Hii siyo habari, Bakwata ni jumuiya ya Ccm, Sasa ajabu iko wapi hapo?Kaimu Shehe wa mkoa wa Dar es Salaam Walid Alhad ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Malezi ya Jumuiya ya Wazazi CCM mkoa wa Dar es Salaam.
Source: Jambo TV
Mlale unono!
===
Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Walid Alhad ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Malezi kwenye Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam.
Kamati hiyo inajumuisha viongozi wa kiroho akiwemo Sheikh huyo wa Mkoa pamoja na mchungaji, huku ikielezwa kuwa ni katika kusimamia malezi ya kiimani kwenye malezi ya wananchi.
Sheikh huyo ni mwenyeki wa kamati hiyo kati ya kamati sita ndogo ndogo za Jumuiya hiyo zilizoundwa kuhakikisha zinasaidia kusukuma malengo ya kusimamia suala la malezi ya vijana mkoani hapo.
Akizungumza wakati akitangaza kamati hizo pamoja na viongozi wake Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo mkoani, Khadija Ally Said amesema kamati hizo zitakuwa zinaisaidia kamati ya uendeshaji kutekeleza majukumu yake.
"Kamati hizi ndogo ndogo tumezigawa katika maeneo sita, ikiwemo kamati ya uchumi na maendeleo, hapa jumuiya itakuwa inabuni miradi kwa hiyo wanakamati watakuwa wanasimamia kuleta mageuzi tunayosudia," amesema.
Khadija amesema kamati ya elimu afya na malezi ambayo ni ajenda yao kitaifa kutokana na uzito huo inaundwa na wataalamu na wamekuja na kaulimbiu ya ‘Malezi bora kwa mtoto faraja ijayo kwa mzazi na Taifa’.
"Kamati hii inaundwa na wataalamu ambao wataenda kutoa mafunzo elekezi kwa viongozi wa ngazi ya kata na mitaa. Kuna walimu waliopo mashuleni muda wote ambako wanasimamia malezi na maadili," amesema.
"Kusimamia malezi kwa vijana kuhakikisha wanazingatia malezi yanayoendana na utamaduni wa kitanzania,"amesema.
Amesema kamati nyingine ni ya utamaduni michezo na mazingira na ikiwa na malengo ya kujenga mahusiano mazuri kati ya chama na wanachama wake.
"Tutakuwa na timu za wazazi katika Kata zetu na mashindano mbalimbali kwa ngazi za wilaya hadi mkoa na tunategemea tukifanya vizuri tutaenda hadi nje ya nchi," amesema.
Baada ya uteuzi huo, Sheikh huyo amesema ameupokea uteuzi huo na kwamba eneo alilopewa anauzoefu nalo na kwamba ni ndoto yake ya muda mrefu hivyo atakuwa anasimamia.
"Nitakuwa nashughulikia elimu afya na malezi ni jambo nzuri na katika fikra zangu nilikuwa na ndoto nalo kwa wakati wote kulifanya namshukuru uteuzi,"amesema.
Sheikh huyo ambaye ni Imamu Mkuu wa Msikiti wa Kichangani Magomeni amesema Watanzania wote ni mashahidi mmomonyoko wa maadili na malezi ni wimbo wa Taifa kwa sasa.
"Hakuna mji wala nyumba, mkoa au nchi iliyosalimika na malezi Kila siku tunaona vitu vipya vinakuja na kwa masikitiko juhudi zinachukuliwa lakini hazijafika panapokusudiwa," amesema.
Amesema anamuomba Mungu katika kamati aliyochaguliwa apewe nguvu ya kulisimamia kwa kina suala la malezi na ukizingatia nafasi yangu ni sheikh ni kuwakataza watu mambo mabaya na kufuata mazuri.
MWANANCHI
Malasusa anaweza kukubali, walichoshindwa Ccm kwenye dini ya Ukristo ni kulinunuwa baraza zima, ila wamefanikiwa kuwa na maaskofu wao kama huyo Malasusa, Pengo na wahuni kama Gwajima.BAKWATA ni tawi la CCM.
Hivi tujiulize tu ktk hali ya kawaida hvi unaweza kumteua nafasi kama hyo Malasusa au askofu wa Katoliki wa jimbo la Dar es salaam au hata Jackson wa kanisa Anglikana akakubali huo uteuzi? 😀😀
Yani ujue maji na mafuta huanza kujitenga mapema sana basi tu wenzetu ni wabishi
Hata TEC na CCT ni Jumuiya za CCMHii siyo habari, Bakwata ni jumuiya ya Ccm, Sasa ajabu iko wapi hapo?
mbona sijawahi kusikia padre wa anglikama.Kanisa katoliki au lutheran kateuliwa huko?Kaimu Shehe wa mkoa wa Dar es Salaam Walid Alhad ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Malezi ya Jumuiya ya Wazazi CCM mkoa wa Dar es Salaam.
Source: Jambo TV
Mlale unono!
===
Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Walid Alhad ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Malezi kwenye Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam.
Kamati hiyo inajumuisha viongozi wa kiroho akiwemo Sheikh huyo wa Mkoa pamoja na mchungaji, huku ikielezwa kuwa ni katika kusimamia malezi ya kiimani kwenye malezi ya wananchi.
Sheikh huyo ni mwenyeki wa kamati hiyo kati ya kamati sita ndogo ndogo za Jumuiya hiyo zilizoundwa kuhakikisha zinasaidia kusukuma malengo ya kusimamia suala la malezi ya vijana mkoani hapo.
Akizungumza wakati akitangaza kamati hizo pamoja na viongozi wake Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo mkoani, Khadija Ally Said amesema kamati hizo zitakuwa zinaisaidia kamati ya uendeshaji kutekeleza majukumu yake.
"Kamati hizi ndogo ndogo tumezigawa katika maeneo sita, ikiwemo kamati ya uchumi na maendeleo, hapa jumuiya itakuwa inabuni miradi kwa hiyo wanakamati watakuwa wanasimamia kuleta mageuzi tunayosudia," amesema.
Khadija amesema kamati ya elimu afya na malezi ambayo ni ajenda yao kitaifa kutokana na uzito huo inaundwa na wataalamu na wamekuja na kaulimbiu ya ‘Malezi bora kwa mtoto faraja ijayo kwa mzazi na Taifa’.
"Kamati hii inaundwa na wataalamu ambao wataenda kutoa mafunzo elekezi kwa viongozi wa ngazi ya kata na mitaa. Kuna walimu waliopo mashuleni muda wote ambako wanasimamia malezi na maadili," amesema.
"Kusimamia malezi kwa vijana kuhakikisha wanazingatia malezi yanayoendana na utamaduni wa kitanzania,"amesema.
Amesema kamati nyingine ni ya utamaduni michezo na mazingira na ikiwa na malengo ya kujenga mahusiano mazuri kati ya chama na wanachama wake.
"Tutakuwa na timu za wazazi katika Kata zetu na mashindano mbalimbali kwa ngazi za wilaya hadi mkoa na tunategemea tukifanya vizuri tutaenda hadi nje ya nchi," amesema.
Baada ya uteuzi huo, Sheikh huyo amesema ameupokea uteuzi huo na kwamba eneo alilopewa anauzoefu nalo na kwamba ni ndoto yake ya muda mrefu hivyo atakuwa anasimamia.
"Nitakuwa nashughulikia elimu afya na malezi ni jambo nzuri na katika fikra zangu nilikuwa na ndoto nalo kwa wakati wote kulifanya namshukuru uteuzi,"amesema.
Sheikh huyo ambaye ni Imamu Mkuu wa Msikiti wa Kichangani Magomeni amesema Watanzania wote ni mashahidi mmomonyoko wa maadili na malezi ni wimbo wa Taifa kwa sasa.
"Hakuna mji wala nyumba, mkoa au nchi iliyosalimika na malezi Kila siku tunaona vitu vipya vinakuja na kwa masikitiko juhudi zinachukuliwa lakini hazijafika panapokusudiwa," amesema.
Amesema anamuomba Mungu katika kamati aliyochaguliwa apewe nguvu ya kulisimamia kwa kina suala la malezi na ukizingatia nafasi yangu ni sheikh ni kuwakataza watu mambo mabaya na kufuata mazuri.
MWANANCHI
Hadi wawe Wanachamambona sijawahi kusikia padre wa anglikama.Kanisa katoliki au lutheran kateuliwa huko?
Duh !! 🙄
Iko kazi !!Hadi wawe Wanachama
Duh !! Sasa mambo ndio hivyo tena !!BAKWATA ni tawi la CCM.
Hivi tujiulize tu ktk hali ya kawaida hvi unaweza kumteua nafasi kama hyo Malasusa au askofu wa Katoliki wa jimbo la Dar es salaam au hata Jackson wa kanisa Anglikana akakubali huo uteuzi? 😀😀
Yani ujue maji na mafuta huanza kujitenga mapema sana basi tu wenzetu ni wabishi
Siyo kikubwa ktk haki bali ni kikubwa ktk dhuruma, maana kama kesho akitokea Askofu Niwemugizi akakosoa ujinga huu ataambiwa anachanganya dini na siasa ila kwa ccm ni sawa. Acheni kuharibu nchi na taifa kwa ujumla iko siku ama watoto wenu au wajukuu watatamani kuwachapa bakora hata kama mtakuwa makaburini.CCM ni chama kikubwa sana