Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
Habari wana JF, Kuna kitu kinanichanganya hapa;
Nikiangalia Mwanzo palikua na wanadamu wawili tu(Yaani Adam na Eva) na nnachojua Dunia haikua na binadamu mwingine yeyote alieumbwa zaidi yao hao wawili. Sasa najiuliza je, mtiririko wa Manabii na Vizazi vyote Walizaliana kindugu yaani kaka na dada? Au kuna watu wengine waliumbwa hawajatajwa kwenye biblia ndio hao wakawa wanaoana na hawa waliozaliwa na Adam & Eva. Je biblia inaruhusu kuoana ndugu? Kama hairuhusu, Je vizazi toka Kuumbwa kwa Adamu walizaliana kwa mfumo upi ikiwa hakukuwa na watu wengine zaidi ya hao wawili?
PITIA;
MWANZO 4:17 "Kaini akamjua mkewe, Naye akapata mimba, akamzaa Henoko; Akajenga mji akauita Henoko, Kwa jina la mwanawe"
Tuanzie hapo Kaini ni mtoto wa Adamu, je alimpata wapi huyo mkewe ikiwa binadamu wa mwanzo walikua wawili?
Nikiangalia Mwanzo palikua na wanadamu wawili tu(Yaani Adam na Eva) na nnachojua Dunia haikua na binadamu mwingine yeyote alieumbwa zaidi yao hao wawili. Sasa najiuliza je, mtiririko wa Manabii na Vizazi vyote Walizaliana kindugu yaani kaka na dada? Au kuna watu wengine waliumbwa hawajatajwa kwenye biblia ndio hao wakawa wanaoana na hawa waliozaliwa na Adam & Eva. Je biblia inaruhusu kuoana ndugu? Kama hairuhusu, Je vizazi toka Kuumbwa kwa Adamu walizaliana kwa mfumo upi ikiwa hakukuwa na watu wengine zaidi ya hao wawili?
PITIA;
MWANZO 4:17 "Kaini akamjua mkewe, Naye akapata mimba, akamzaa Henoko; Akajenga mji akauita Henoko, Kwa jina la mwanawe"
Tuanzie hapo Kaini ni mtoto wa Adamu, je alimpata wapi huyo mkewe ikiwa binadamu wa mwanzo walikua wawili?