Kaini ni mtoto wa Adamu, je alimpata wapi mkewe ikiwa binadamu wa mwanzo walikua wawili?

Kaini ni mtoto wa Adamu, je alimpata wapi mkewe ikiwa binadamu wa mwanzo walikua wawili?

Kwa mjibu wa vitabu ambavyo havikuwekwa kwenye biblia kain alimuoa dada ake.

Pili biblia imeandikwa na watu ambao kwa mila zao mtoto wa kike alikuwa hahesabiki katika uzao wao. Kwaiyo wenda adam na hawa walikuwa na watoto wengne wa kike ambao hawakuhesabiwa kwenye uzao wao ambamo humo humo Kaini alijitwalia mke.
Ni kweli, Adam na Hawa walizaa watoto wengine wa kike na kiume,Mwanzo 5:4.Inasema, "Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake."
 
zamani waliokuwa wanahesabika ni wanaume tu, mwanamke aliyehesabika awali sana ni hawa/eva tu. wanawake walikuwa wanapigwa chini kama vile hawapo. bila shaka, walizaliana wao kwa wao, jua kuwa Adam alizaa watoto wengine kama kina Seti etc, baada ya Kaini Kumuua Abel, Seti alizaliwa kama replacement ya habil, na watoto wengine walizaliwa.hivyo walizaana wao kwa wao. manake hapakuwa na wanadamu wengine na Mungu hakuumba wengine. baadayeee ndio Mungu aliweka hizi sheria za kutooa dadako nafikiri.
 
Ni hivi.

Adam na Eva si watu wa kwanza.

Ni watu wa kwanza katika historia ya mapokeo ya jamii ya Wayahudi.

Na Wayahudi zamani hawakuhesabu watu wa makabila mengine kuwa ni watu.

Kihistoria watu walit9kea Afrika, hao Wayahudi historia yao iliyoandikwa imeandikwa kuanzia takriban miaka 6,000 tu.

Huku Afrika kulikuwa na watu miaka mingi sana kabla ya hiyo.

Kwa hiyo.

1. Adam na Hawa si watu wa kwanza.
2. Adam na Hawa ni watu wa kwanza katika historia za mapokeo ya Wayahudi.
3. Wayahudi wa zamani, kama makabila mengine mengi, hawakuhesabu watu wa makabila mengine kuwa ni watu.
4. Kuna watu tofauti ya Wayahudi walikuwa wanaishi pembeni ya sehemu waliyoishi Wayahudi.
5. Habari ya Adam na Eva si habari ya watu wa kwanxa, ni habari ya jamii iliyobadilika kutoka hunters and gatherers kwenda kilimo na ufugaji.

Kwa habari zaidi, tafuta kitabu " How To Read The Bible: A Guide To Scipture Now And Then" cha Dr. James Kugel.
Pamoja na kwamba sikubaliani na ulichokiandika, Ila mtoa mada bado hujamjibu swali.
Tu assume Kama Adam na Hawa sio wa Kwanza Kama ulivyoelezea. Ila ukaeleza kulikuwa na viumbe wengine duniani kabla ya Adam na Hawa, sasa swali ni Hao wamezaliwaje? Wame oanaje?
 
Haya mambo ndugu yangu tulishayajadiri sana humu. Na hayakupata mwafaka. Kwanza adam na hawa siyo binadamu wa kwanza kuwepo duniani bali niwakwanza kuumbwa kiroho na mungu jehova. Ukumbuke mamungu wapo kibao ila huyu yehova baba wa yesu naona kwa sasa ndo maarufu sana kutokana na kuwaongeza maujanja wafuasi wake wakatunza maandishi
Sasa hao wengine umepata wapi taarifa zao kama hawakutunza kumbukumbu?
 
Ukweli upo hivi Adam na Hawa walikuwa si Binadamu wa Kwanza. Adam na Hawa walikuwa ni Hudi na Mkewe Jemi ambao walijulikana kama Adam (hudi) na Hawaii (jemi) ambaye ndie Hawa

Hudi alikimbia Kutoka lagahindi (India [emoji1128]) akakimbilia Huba ya Waajemi na Mkewe Jemi. Baada ya mkewe Jemi kupata Shida katika Uzazi Hudi Alimuona Sharka kama Mkewe wa Pili na Akazaa Watoto 12.Kama Vile
Adinai..alheri..Jehovam..Akwar..Tagra..Mathoni..Owarios..Gingua..Janaa..Atitanamus..Gabros..Zariatinatimike walizaliwa Daburi Ambayo sasa ni Israel.
Mnaskiaga fahari gani, mki danganya lakini???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Mujibu Mleta Mada Ukweli ulio nao
Kaka we Ni mwongo mkubwa Sana ndani ya taifa duhhhh[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Sikufikiriaga Kama naweza kumpata mwongo Kama wewe uku jf dahhh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Hapana hapana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Uruma kidogo jamani[emoji120][emoji120][emoji120][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya mambo ndugu yangu tulishayajadiri sana humu. Na hayakupata mwafaka. Kwanza adam na hawa siyo binadamu wa kwanza kuwepo duniani bali niwakwanza kuumbwa kiroho na mungu jehova. Ukumbuke mamungu wapo kibao ila huyu yehova baba wa yesu naona kwa sasa ndo maarufu sana kutokana na kuwaongeza maujanja wafuasi wake wakatunza maandishi
Eti kuwaongeza maujanja? 🤣🤣🤣🤣
 
Habari wana JF, Kuna kitu kinanichanganya hapa;
Nikiangalia Mwanzo palikua na wanadamu wawili tu(Yaani Adam na Eva) na nnachojua Dunia haikua na binadamu mwingine yeyote alieumbwa zaidi yao hao wawili. Sasa najiuliza je, mtiririko wa Manabii na Vizazi vyote Walizaliana kindugu yaani kaka na dada? Au kuna watu wengine waliumbwa hawajatajwa kwenye biblia ndio hao wakawa wanaoana na hawa waliozaliwa na Adam & Eva. Je biblia inaruhusu kuoana ndugu? Kama hairuhusu, Je vizazi toka Kuumbwa kwa Adamu walizaliana kwa mfumo upi ikiwa hakukuwa na watu wengine zaidi ya hao wawili?

PITIA;
MWANZO 4:17 "Kaini akamjua mkewe, Naye akapata mimba, akamzaa Henoko; Akajenga mji akauita Henoko, Kwa jina la mwanawe"

Tuanzie hapo Kaini ni mtoto wa Adamu, je alimpata wapi huyo mkewe ikiwa binadamu wa mwanzo walikua wawili?View attachment 2138134
Samahani kama nitakuwa ninakosea ni ktk kujifunza:Katika vitabu vya agano la kale na hasa Mwanzo mwanamke alikuwa hatajwi kamwe,na katika hesabu zilizokuwa zikifanyika walikuwa wakitajwa wanaume tu;
Hivyo katika uzao wa Adamu na Hawa pia kuna watoto wa kike waliozaliwa pamoja na Kaini na Abel.Means,baada ya Kaini kumuua Abel alimchukua dadae na kuamia sehemu ya mbali na kuoana na kutengeneza uzao/kuendeleza kizazi na kizazi hadi hii.
Pia itakuwa Adam na Hawa waliendelea kuzaa watoto wengine wake kwa waume ambao nao waliendelea kuooana na kuzaliana zaidi,biblia haijaandika mambo yote but la Kaini kuambatana na dadae na kuoana lipo wazi
 
Haya mambo ndugu yangu tulishayajadiri sana humu. Na hayakupata mwafaka. Kwanza adam na hawa siyo binadamu wa kwanza kuwepo duniani bali niwakwanza kuumbwa kiroho na mungu jehova. Ukumbuke mamungu wapo kibao ila huyu yehova baba wa yesu naona kwa sasa ndo maarufu sana kutokana na kuwaongeza maujanja wafuasi wake wakatunza maandishi
😂😂🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom