Kaini ni mtoto wa Adamu, je alimpata wapi mkewe ikiwa binadamu wa mwanzo walikua wawili?

Iko hivi. Adamu na hawa walikiwa wakizaa watoto mapacha mapacha, mwanaume na mwanamke baada ya hapo pacha wa kike wa upande mmoja aataolewa na pacha wa kiume wa upande wa pili. Mfano pacha wa kike wa Abeli aolewe na Kain na pacha wa kike wa Kain aolewe na Abel. Kwa mfumo huu ndipo dunia ikajazwa. Shida iliibuka pale mmoja alipopata wivu na kutaka kumwoa pacha wake yeye mwenyewe. Ikapelekea chuki na hatimaye kuuana
 
Adam na Eva hawakuwa watu halisi, ni characters katika hadithi ya kutungwa ya Wayahudi.

Ukielewa hili, hayo maswali mengine yote yanaondoka.
 
Asee 🤔.. Huu mwaka nilistruggle sana na ishue za faith. A lot has taught me
 
Hii mpya 😂
 
Adam na Eva hawakuwa watu halisi, ni characters katika hadithi ya kutungwa ya Wayahudi.

Ukielewa hili, hayo maswali mengine yote yanaondoka.
Well said mkuu .. Naamini hivyo kwa sasa
 

Nakuelew nakuelewa
 
Kiranga kumbe maneno mengi ,ana kiboko yake humu ya maneno.
Sijawahi kushindana katika ujinga.

Kuna wajinga wengi tu nimewaweka ignore list, kwa sababu sipendi zogo nao.

A wise man once told me, don't argue with a fool. Cause people from a distance, can't tell who is who.

That is my right, and no amount of psychological trick is going to change that.

I choose who to engage. I don't just engage every dumb fuckery throwing yokel out there.

That's the difference between Kiranga and most of you.
 
Biblia haielezi kwa kina juu ya mke wa kaini kama alikuwa nani. Jibu linalotarajiwa ni kwamba mke wa kaini alikuwa dadake. Biblia haielezi umri wa Kaini wakati alipomuua ndugu yake Habili (Mwanzo 4:8). Kwa kuwa wote walikuwa wakulima, lazima wawe walikuwa watu wazima, hata pengine na jamii zao. Adam na Hawa walikuwa wamepata watoto wengine mbali na Kaini na Habili wakati Habili alipouawa. Walipata wengi wengine baadaye (mwanzo 5:4). Ile hali ya Kaini kuhofu sana juu ya usalama wake baada ya kumuua Habili (mwanzo 4:14) inathibitisha kulikuwako na watoto wengi wengine pia na wajukuu na hata vilembwe wa Adamu na Hawa.

Kwa kuwa Adamu na Hawa walikuwa wanadamu wa kwanza duniani, watoto wao hawakuwa na lengine ila kuoana. Mungu hakukataza kuoana kwa jinsi hii mapema mpaka dunia ilipokuwa na watu wakutisha ndipo akakataza aina hii ya kuoana (mambo ya walawi 18:6-18). Sababu ya madhara ya ndoa za kaka na dada ni kwamba kama kila mmoja wao alikuwa na hali Fulani ya kilema ndani yaoya kurithi basi atakayezaliwa atakuwa mwenye kurithi kutoka kwa wote wazazi wawili, hivyo basi kuwa hali mbaya zaidi kuliko waliomzaa. Kadri dunia inavyoendelea, vilema hivi vinaendelea kuzidi. Lakini Adamu na Hawa hawakuwa na kilema chochote ndani yao na ika sababisha jamii zao kuwa na afya njema sana kuliko yetu hivi sasa. Haifurahishi kuona ya kwamba mke wa Kaini alikuwa dadake. Kwa kuwa Mungu alianza na mke mmoja na mme mmoja, waliofuata hawakuwa na lengine ila kuoa dada zao.
 
Common sense
 
Guys mm ni mkristo, ila bibilia ni kitabu cha historia ya mambi ya kale kilichotungwa na binadamu, bibilia si kitabu cha mungu, yes sijakosea sio cha mungu, mungu hajaandika kitabu chochote, dini pia ndio uongo mkubwa kabisa uliowahi kufanywa na binadamu na watu wengi wameanguka humo mungu hana dini
adam sio binadam wa kwanza kuumbwa, ni kuwa tu aliyeandika hicho kitabu alimjua adam kabla ya jamii ingine, nna usingizi ngoja niishie hapa
 
Well said SweetyCandy .. Kama kweli ni "Ke" Hakika mmeo amepata/atapata mke Mwema.

God Bless you.
 
Polepole mkuu... Yo're not alone. Life has taught me alot.
 
Huna uhakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…