njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Hii ni sawa wajameni? si alitakiwa aapishwe bungeni kuwa mbunge kwanza ndipo aape kuwa waziri/ au kuna shortcut?
Yaani kwa wenzetu kenya hata mawaziri, IGP etc wakichaguliwa na RAIS wanatakiwa wapitishwe na bunge ila hapa kwetu mambo ni zigzag tukubali tu TZ kwa sasa imekuwa comedy sana
Yaani kwa wenzetu kenya hata mawaziri, IGP etc wakichaguliwa na RAIS wanatakiwa wapitishwe na bunge ila hapa kwetu mambo ni zigzag tukubali tu TZ kwa sasa imekuwa comedy sana