Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam hawaonesh???Leo saa nne kamili mbivu na mbichi kujulikana....
ZBC2
Mwarabu anakaa leo. Kaizerchiefs wanaua
Al Ahly wana uzoefu mkubwa wa Final za CAF champions league na kuchanganya na mpinzani anaukutana nae, hii itakuwa moja ya fainali nyepesi kuwahi kutokea
Leo saa nne kamili mbivu na mbichi kujulikana....
Kwahiyo simba wangeingia final kama Wangemlamba kaizer
Simba wa kitabuni labdaKwahiyo simba wangeingia final kama Wangemlamba kaizer
Wangeingia fainali ya wapi bhana! Kikosi kipana mwisho wake ni robo fainali.Kwahiyo simba wangeingia final kama Wangemlamba kaizer
Are you mad or somethingMwarabu anakaa leo. Kaizerchiefs wanaua
Angekutana na Wydad hapo katikati.Kwahiyo simba wangeingia final kama Wangemlamba kaizer
Haupo tena.Bado ule upumbavu wa two legs hadi fainali unaendelea?
TungewezanaAngekutana na Wydad hapo katikati.
Kaizer sio wa kumchukulia poaAl Ahly wana uzoefu mkubwa wa Final za CAF champions league na kuchanganya na mpinzani anaukutana nae, hii itakuwa moja ya fainali nyepesi kuwahi kutokea