Kaizer chiefs vs Al Ahly

Kaizer chiefs vs Al Ahly

Bado ule upumbavu wa two legs hadi fainali unaendelea?
 
Al ahly awe makini,,,,Kaizer chiefs wana game plan hazieleweki eleweki,,, hajafika fainali kwa mualiko ama upendeleo wa kupewa pewa penalty. safari ya kaizer kufika fainali ina jasho kubwa.. na wana mzungu wao yule mshambuliaji hapotezi nafasi akiipata hata moja tu. Inamtosha kuweka wavuni

Kaizer amewatoa mabingwa wa Cameroon

Kaizer amewatoa mabingwa wa Angola

Kaizer amewatoa mabingwa wa Guinea

Kaizer amewatoa mabingwa wa Tanzania

Kaizer amewatoa mabingwa wa Morrocco

Na kuna mabingwa wengine nimewasahau amewafunga kwenye group stage..

Hao mabingwa wote Kaizer kawamudu na kufika fainali..

Al Ahly wawe makini sana. Wasiingie na matokeo mfukoni
 
Back
Top Bottom