Kaizer Chiefs wafungwa katika mechi ya ligi kuu PSL

Kaizer Chiefs wafungwa katika mechi ya ligi kuu PSL

Wameshinda game sita kati ya 28 hata Watford alimfunga Liverpool 3-0 na liver alikua hajafungwa hata game 1 na watford alishuka daraja


Hao kaizer tunaweza wapiga nje ndani
Kwenye soka lolote linawezekana ikiwa pamoja na hao Kaizer kumpiga Simba nje ndani.
 
Hao ni dhaifu kwenye ligi sasa?
Ubora wa hizo clubs zote ni wa kiwango cha chini..!?
nimechukulia kama case study, kipindi hicho kabla ya ligi kukaribia mwishoni walikuwa hawajagain form kama waliyonayo sasa..haimaanishi wana kiwango cha chini bali kawaida
 
KUNA TIMU KWENYE LIGI NI DHOOFU ILHALI ILA KWENYE CHAMPS LEAGUE NI HATARI

LIGI YA NDANI SIO KIPIMO CHA UBOVU WA TIMU CHAMPS LEAGUE
Uto huwa mnatafuta sababu za kuhalalisha wivu na husuda zenu

Mtakufa na vijiba vya roho
 
Haya kwahiyo mambo yakiwa si mambo usiseme Kaizer Chiefs ilikuwa bora!
 
Mimi yanga... namuombea mtani njaa.. ila sioni kaizer chiefs akimtoa simba hii kwa mechi mbili home and away... sioni beki wa kumzuia miqquissone asisumbue , huku chama huku morrisson na hapo hapo sioni mshambuliaji wa kumzidi akili josh onyangoo... hao watu niliowataja ni wakubwa sana kwa kaizer chiefs..

Simba siipendi ila ina watu wawili ambao ni level ya juu sana kucheza ligi ya Tanzania . Watu hao ni luis miqquissone na josh onyango... hawa wakicheza at their best no one can stop them

Ahsante mtani
 
Back
Top Bottom