Kajala hii sio namna ya uvaaji katika runinga

Kajala hii sio namna ya uvaaji katika runinga

Duh
Umevuta nini ruba wewe?

Naona unaniota.. hadi unatamani nifanye unayonisingizia.. nifungue ID kukuomba jitu kama wewe namba kisa? Kwanza hata sijawahi kutaka kukujua.. kabisaaaa.. mimi nimekuwa mshabiki wake humu.. wewe au yeye wote siwajuo na hamnijui..

Jione ulivyo eti nisake limamba lako uchwara na ID mpya kama vile nina faida nitapata kutoka kwako mtukanaji.. Kwenda huko umeniboaaaaa koma kunitag or quote. Jiongo likubwa nikusumbue una nini haswa.. kumbe umepotezewa na rafiki unadandia kunitukana.. kwenda huko hata now piga block... janaume bomu bomu bomu..jipige vibao vya usoni ulie kabisa



Ha ha ha natoa nguo nifue mbona povu hivyoo wewe ajuza haiitaji hasira kurwa mpole

Ukinyolewa yapaswa utulivu tena na iloo wigi tulia kabsaa.

Vipi lakini kodi ulifanikiwa kulipa?? Nimekushaur ujenge ata room tatu then umalizie mdgo mdgo lakini hutaki inaelekea unapenda kuish kwenye nyumba za watu
 
Ha ha ha natoa nguo nifue mbona povu hivyoo wewe ajuza haiitaji hasira kurwa mpole

Ukinyolewa yapaswa utulivu tena na iloo wigi tulia kabsaa.

Vipi lakini kodi ulifanikiwa kulipa?? Nimekushaur ujenge ata room tatu then umalizie mdgo mdgo lakini hutaki inaelekea unapenda kuish kwenye nyumba za watu

Eeeeeeh
Andika yoyote ukichoka utaacha

Una maneno utafikiri tunashare bwana shaaaa.. nikaribishe kwako basi nijiwekeze hadi nitimize malengo unayotaka nifikie. Ila fahamu kuwa nitahakikisha hata furaha huna nikukomoe mzee wewe.. nakuonea huruma kuwa unanijibu huku ukitetemeka hata now nakuona hapo nijasho imeshaanza kukunukisha kama hujaoga sekunde 600 zilizopita.. pita hukoooo.. acha kumuonea wivu mate wako.. nikome kabisa.. kumbe umekaa miezi yote unawashwa washwa.. natamani nikuone ulivyo na lisura libaya hata panya kwako anaogopa kuingia kula mchwa waliojazana humo.

Halafu mie sivai mawigi bali naweka nywele zangu kibantu na kiutamaduni wa muafrika.
 
Eeeeeeh
Andika yoyote ukichoka utaacha

Una maneno utafikiri tunashare bwana shaaaa.. nikaribishe kwako basi nijiwekeze hadi nitimize malengo unayotaka nifikie. Ila fahamu kuwa nitahakikisha hata furaha huna nikukomoe mzee wewe.. nakuonea huruma kuwa unanijibu huku ukitetemeka hata now nakuona hapo nijasho imeshaanza kukunukisha kama hujaoga sekunde 600 zilizopita.. pita hukoooo.. acha kumuonea wivu mate wako.. nikome kabisa.. kumbe umekaa miezi yote unawashwa washwa.. natamani nikuone ulivyo na lisura libaya hata panya kwako anaogopa kuingia kula mchwa waliojazana humo.

Halafu mie sivai mawigi bali naweka nywele zangu kibantu na kiutamaduni wa muafrika.



Nshakutana na comedian ila wewe unachekesha bila ata kujijua.

Endelea kujua nasura mbaya.
Endelea kujua Mimi ni mzee.

Kuonana na Mimi mpaka ukue kiakili napenda watoto ila sipendi utoto hasa wako
 
Nshakutana na comedian ila wewe unachekesha bila ata kujijua.

Endelea kujua nasura mbaya.
Endelea kujua Mimi ni mzee.

Kuonana na Mimi mpaka ukue kiakili napenda watoto ila sipendi utoto hasa wako

Eeeeeeeeh
Haya weee mimi mtoto sawa babu..

Yes lazima unapenda sana kujionyesha una ukubwa.. unapenda kuabudiwa wewe.. kwangu kimi mtoto mie sahau..

Ila unajua nimekuzidi sana inabidi uanze kunipa na salamu ya kuniamkia.

Ooh kumbe nikifikiri utaandika hutaki kuniona milele. Wow am Cocochanel the Coco

Acha kujisikia na akujiona upo juu kuringa ringa kwako tho unajificha ila nimeshakusoma..

Ukikosa ya kuandika tena karibu basi huku kijijini nilipo uje upate raha ya huku wewe mtoto wa mjini. Mwaka mpya huo unakuja sherehe za huku huwezi kuzipata kwenye maviwanja yenu ya huko sijui Havoc sijui Eleme.. n.k.
 
Ni mzuri muache,maadili kuna sehemu zingine tuyawke pembeni
 
Eeeeeeeeh
Haya weee mimi mtoto sawa babu..

Yes lazima unapenda sana kujionyesha una ukubwa.. unapenda kuabudiwa wewe.. kwangu kimi mtoto mie sahau..

Ila unajua nimekuzidi sana inabidi uanze kunipa na salamu ya kuniamkia.

Ooh kumbe nikifikiri utaandika hutaki kuniona milele. Wow am Cocochanel the Coco

Acha kujisikia na akujiona upo juu kuringa ringa kwako tho unajificha ila nimeshakusoma..

Ukikosa ya kuandika tena karibu basi huku kijijini nilipo uje upate raha ya huku wewe mtoto wa mjini. Mwaka mpya huo unakuja sherehe za huku huwezi kuzipata kwenye maviwanja yenu ya huko sijui Havoc sijui Eleme.. n.k.



Ha Ha ha wewe kuzitumia wenzako hatufungi jicho January uanze kuzungusha kibobo kukopa na jinsi hulipagi.

Kula ccm kulala chadema hela za mtelezo zitakucost.

Njoo kwenye biashara utoke jasho na ule jasho lako.
 
Eeeeeeeeh
Haya weee mimi mtoto sawa babu..

Yes lazima unapenda sana kujionyesha una ukubwa.. unapenda kuabudiwa wewe.. kwangu kimi mtoto mie sahau..

Ila unajua nimekuzidi sana inabidi uanze kunipa na salamu ya kuniamkia.

Ooh kumbe nikifikiri utaandika hutaki kuniona milele. Wow am Cocochanel the Coco

Acha kujisikia na akujiona upo juu kuringa ringa kwako tho unajificha ila nimeshakusoma..

Ukikosa ya kuandika tena karibu basi huku kijijini nilipo uje upate raha ya huku wewe mtoto wa mjini. Mwaka mpya huo unakuja sherehe za huku huwezi kuzipata kwenye maviwanja yenu ya huko sijui Havoc sijui Eleme.. n.k.



Ha Ha ha wewe kuzitumia wenzako hatufungi jicho January uanze kuzungusha kibobo kukopa na jinsi hulipagi.

Kula ccm kulala chadema hela za mtelezo zitakucost.

Njoo kwenye biashara utoke jasho na ule jasho lako.
 
Ha Ha ha wewe kuzitumia wenzako hatufungi jicho January uanze kuzungusha kibobo kukopa na jinsi hulipagi.

Kula ccm kulala chadema hela za mtelezo zitakucost.

Njoo kwenye biashara utoke jasho na ule jasho lako.

Aiseeeee
Aiseeeee kwanini unapenda sana kuongelea juu ya kopa kopa.. ndivyo utakuwa unaishi na kutamani niwe kama wewe.

Na huko CCM lini ulinichukulia kadi au kunipatia uanachama?
 
Aiseeeee
Aiseeeee kwanini unapenda sana kuongelea juu ya kopa kopa.. ndivyo utakuwa unaishi na kutamani niwe kama wewe.

Na huko CCM lini ulinichukulia kadi au kunipatia uanachama?



Mbona unapaniki sababu za kutoa povu ata sijui.

Tutakutana mwakani kwenye vikoment vyako ucharwa.
 
Ha Ha ha wewe kuzitumia wenzako hatufungi jicho January uanze kuzungusha kibobo kukopa na jinsi hulipagi.

Kula ccm kulala chadema hela za mtelezo zitakucost.

Njoo kwenye biashara utoke jasho na ule jasho lako.

Ha Ha ha wewe kuzitumia wenzako hatufungi jicho January uanze kuzungusha kibobo kukopa na jinsi hulipagi.

Kula ccm kulala chadema hela za mtelezo zitakucost.

Njoo kwenye biashara utoke jasho na ule jasho lako.

Jiongeze basi hata kama ni kuwa ulivyo basi jipende uachane na 2G jamani.. kujidai kote unasukuma posts 10 kwa mpigo inayohusu kunijibu shaaaa

Wee endelea kupenda watoto na uwalee vyema.. siku moja utaniambia umebarikiwa wangapi.. ila uache ubairi hata wa kopa kopa unayopata jipende kwanza.. uishi kwa raha tunaishi mara moja kumbuka.. sawa baba roho mbaya unayenichukia kama vile sijui nini
 
Mbona unapaniki sababu za kutoa povu ata sijui.

Tutakutana mwakani kwenye vikoment vyako ucharwa.

Mwakani tena

Mbona mimi ndio nafikiria kuchukua likizo..
Sina kinachonichangamsha ubongo humu kwa sasa.. mengi ni udaku udaku kuanzia huku hadi kule..

Si umesema nikajiongeze basi ndivyo naenda kufanya.. ID yangu maamuzi yangu hadi raha..

Labda mwakani ukinivutia na posts zako nitakupigia debe ushinde kitu.. nitonye tu unajua ninaweza Mr. Adui Kubwa
 
Back
Top Bottom