chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Jiongeze basi hata kama ni kuwa ulivyo basi jipende uachane na 2G jamani.. kujidai kote unasukuma posts 10 kwa mpigo inayohusu kunijibu shaaaa
Wee endelea kupenda watoto na uwalee vyema.. siku moja utaniambia umebarikiwa wangapi.. ila uache ubairi hata wa kopa kopa unayopata jipende kwanza.. uishi kwa raha tunaishi mara moja kumbuka.. sawa baba roho mbaya unayenichukia kama vile sijui nini
Mwakani tena
Mbona mimi ndio nafikiria kuchukua likizo..
Sina kinachonichangamsha ubongo humu kwa sasa.. mengi ni udaku udaku kuanzia huku hadi kule..
Si umesema nikajiongeze basi ndivyo naenda kufanya.. ID yangu maamuzi yangu hadi raha..
Labda mwakani ukinivutia na posts zako nitakupigia debe ushinde kitu.. nitonye tu unajua ninaweza Mr. Adui Kubwa
Kila vazi lina mahali pake huwezi vaa vile kisha ukaingia shamba na jembe au umewahi muona mtu kavaa vile viatu [emoji151] [emoji151] [emoji151] kisha apite barabara za mabonde kuinama kama makongo juu?Si ni binadamu au
Jiongeze basi hata kama ni kuwa ulivyo basi jipende uachane na 2G jamani.. kujidai kote unasukuma posts 10 kwa mpigo inayohusu kunijibu shaaaa
Wee endelea kupenda watoto na uwalee vyema.. siku moja utaniambia umebarikiwa wangapi.. ila uache ubairi hata wa kopa kopa unayopata jipende kwanza.. uishi kwa raha tunaishi mara moja kumbuka.. sawa baba roho mbaya unayenichukia kama vile sijui nini
Sijipendi ndo akili imeishia hapo.
Kuna kamnyama kamoja porini kanaitwa mamuku yani mbishi kama wewe.
Ongea na makonda akutafutie mwanaume wa kisukuma ndo utashika adabu na hicho kiburi chako na uzandiki vitaisha.
Niiname unisweke mh[emoji125] [emoji125] [emoji125]nitongoze mie kapeace mwaya..açhana nae huyo..nna hamu ila domozege
Umejuaje na watu wanasema kaukwaa dawa tu hizoMa VVU haya tu
Muda tu baada ya kuanza kutumia dozi kajinenepeaa...Umejuaje na watu wanasema kaukwaa dawa tu hizo
peace sanaAm glad umerud mkuu
Mmh we unataka waandamane bongo muviKajala ni mzuri sanaa, kajaa kila kona. Hapo bongo movie sidhani kama kuna anaemkuta.