mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Tanzania HAKUNA celebrity, ukiona maisha magumu jiunge na Facebook ama Instagram kisha jipige picha ukiwa umevaa chupi tu ama jipige vidole na kujifanya huna akili, kesho tu utaandikwa kwenye mitandao kuwa wewe ni celebrity ama mtu mashuhuri.Sijuagi ata u selebriti wake kaupataje na ilikuaje
Bonge la movie [emoji91]
Tumia kingaNi mtamu balaa
Kuna mazingira hapana kwa kweliTumia kinga
Huyo kajala uhakika anakula dawa 100% namjuaKuna mazingira hapana kwa kweli
Bonge la movie [emoji91]
Hatua nzuri anafaa pia kuwa mtu wa hudumaLeo nilikuwa benki moja katika hali ya kushangaza teller aliyenihudumia alikuwa ni mwanadada Kajala. Kwa sababu za kibiashara inabidi jina la benki libaki kapuni.
Hongera dada katika safari yako mpya
View attachment 1978706View attachment 1978708
mkuu inatosha usifukue makaburiKajala kaanza manjonjo long time tangu anasoma kumbukumbu primary school...
Zamani ulikuwa humkosi kwenye mabeach party,bills,kili poolside,langatq yuko na wenzake wana sasambua wakicheza show
Ila kama ni gari basi imetembea mileage za kutosha sema service ipo
Ova
Interesting
Sina hakika, dawa wanakunywa wengiHuyo kajala uhakika anakula dawa
Sikuwahi kujua hii fact chief, ni movie nzuri sana. Movies za zamani zilikuwa na uhalisia sanaBonge la movie la miaka ya 90s.. hii movie starring alipaswa awe 2pac akawa anachelewa mazoezini akawa fired na director
Hii nchi mtu akiwa na takko tu automatic anakua celebrity, hata kama sio levo za nchi inaweza kuwa levo za mtaa tuSijuagi ata u selebriti wake kaupataje na ilikuaje
Form four Zero wengi tu wamekuzidi Maisha yaani wako vizuri financially na kila kitu kuliko wewe na Makaratasi yako ya Songea GirlsKwa ile ile form four zero yake,
Teh teh
Wabongo washamba sana tulishakamatwa kisa kupiga picha kituo cha mwendokasi cha kivukoniSasa sababu za kibiashara kivipi wabongo kwa ushamba bwana nyie ndo mkiwa viongozi mnasema mtu asipige picha kwenye pantoni na Daraja la Kigamboni eti kwa sababu za kiusalama.
Dah, habari za ushilombo???.Samahani mkuu...
Kwani huyo Kalaja ndio nani hapa Ushirombo??
Huku ni safsafi shekh....Dah, habari za ushilombo???.
Kwa hiyo tembo wa tandahimba kaungua tayari?Huyo kajala uhakika anakula dawa 100% namjua
Hivi nawe huwa unafunga mkuu?Huku ni safsafi shekh....
Tunasubiri al-daku saizi....😋
Ni mwenyekiti wa kamat ya kijijiSamahani mkuu...
Kwani huyo Kalaja ndio nani hapa Ushirombo??