Kajala kapata kazi benki

Sijuagi ata u selebriti wake kaupataje na ilikuaje
Tanzania HAKUNA celebrity, ukiona maisha magumu jiunge na Facebook ama Instagram kisha jipige picha ukiwa umevaa chupi tu ama jipige vidole na kujifanya huna akili, kesho tu utaandikwa kwenye mitandao kuwa wewe ni celebrity ama mtu mashuhuri.
 
mkuu inatosha usifukue makaburi
 
Bonge la movie la miaka ya 90s.. hii movie starring alipaswa awe 2pac akawa anachelewa mazoezini akawa fired na director
Sikuwahi kujua hii fact chief, ni movie nzuri sana. Movies za zamani zilikuwa na uhalisia sana
 
Wa
Sasa sababu za kibiashara kivipi wabongo kwa ushamba bwana nyie ndo mkiwa viongozi mnasema mtu asipige picha kwenye pantoni na Daraja la Kigamboni eti kwa sababu za kiusalama.
Wabongo washamba sana tulishakamatwa kisa kupiga picha kituo cha mwendokasi cha kivukoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…