Kajala Masanja....nifanye nini

Kajala Masanja....nifanye nini

Sorry kama sio wewe basi nimechanganya
nakumbuka uliwahi anzisha thread hapa JF ukitaka wauza madawa wote watajwe
na tusiwaogope wala kuwaonea haya....au sio wewe?

Imenibidi niseme hayo ili kuwakatisha tamaa wenye chuki binafsi zao........najua wewe ni team mama mzungu so najua maoni yako lazima yawe na mrengo wa kule kule!! Huyu mdada ana mafanikio so wadada wa mjini wameamua kumtafutia sababu ili kudevalue mafanikio yake. wana chuki binafsi sana. Hata kama ni sembe ameuza yeye? why kumchafua mtu bila sababu?Kwani wana ushahidi wa wayasemayo?
 
Imenibidi niseme hayo ili kuwakatisha tamaa wenye chuki binafsi zao........najua wewe ni team mama mzungu so najua maoni yako lazima yawe na mrengo wa kule kule!! Huyu mdada ana mafanikio so wadada wa mjini wameamua kumtafutia sababu ili kudevalue mafanikio yake. wana chuki binafsi sana. Hata kama ni sembe ameuza yeye? why kumchafua mtu bila sababu?Kwani wana ushahidi wa wayasemayo?


huwezi amini
mimi na huyo unayemsema ni watu wawili tofauti
ingawa still kuna watu wana mix
mimi nilianza tumia hii avatar so nimeshindwa kuibadili
nimezoeleka nayo sana humu..
 
huwezi amini
mimi na huyo unayemsema ni watu wawili tofauti
ingawa still kuna watu wana mix
mimi nilianza tumia hii avatar so nimeshindwa kuibadili
nimezoeleka nayo sana humu..

Haha nilijua ni mood washington bwana
 
Muwacheni dada wa watu na heshima zake. Wivu tu mjini hapa kisa kapata mume tena wa ndoa mwenye mahela yake....(hata kama ya sembe as far as tukienda kununua hakuna alama ya kutofautisha za sembe na zisizo na sembe). Mwaka huu shamimu amewakimbiza na atawakimbiza mbaya haters. Ombeni Mungu na nyie muangukie mihela na sio kuwa na chuki binafsi. Mama endelea na kampeni ya mambo ya kilimo dear MWISHO HATERS WATAKUWA BELIEVERS!!!!!!

Ukweli kabisa dada amewazidi wadada wengi wa mjini kwa utulivu wake, hekima na hana mda wa kipumbavu wa kujibizana kipumbavu....zaidi ya yote Mungu akammwagia mahela hayooooooooooo (hata mkiyatolea sababu kwamba ni ya sembe mbona zenu chafu za umalaya hamzitaji??) na kuwafanya asiwakauke midomoni mwenu. Kweli riziki mwanzo wa chuki. Mama mzungu et al mtahangaika sana dada wa watu yake yanamnyookea.........

Nahisi hapa lazima utakuwa umekodishwa kuweka utetezi mzito huu!
 
Mimacho imenitoka hata sijui nini kinaendelea tena....Uzi unamuhusu Kajala masanja hayo mengine yanatokea wapi tena.......Kina mama mna mambo nyie..............
teh!teh! hao bwana we ukiweka title tu wao wanamalizia habari yote!chezea wajukuu wa eva weye !adam mwenyewe kakoma !
 
huwezi amini
mimi na huyo unayemsema ni watu wawili tofauti
ingawa still kuna watu wana mix
mimi nilianza tumia hii avatar so nimeshindwa kuibadili
nimezoeleka nayo sana humu..

masikini wanakumix na muddy washngton lolest!!!
 
Imenibidi niseme hayo ili kuwakatisha tamaa wenye chuki binafsi zao........najua wewe ni team mama mzungu so najua maoni yako lazima yawe na mrengo wa kule kule!! Huyu mdada ana mafanikio so wadada wa mjini wameamua kumtafutia sababu ili kudevalue mafanikio yake. wana chuki binafsi sana. Hata kama ni sembe ameuza yeye? why kumchafua mtu bila sababu?Kwani wana ushahidi wa wayasemayo?

wewe utakuwa mrs sembe mwingine maana mpo wengii.................povu limekutoka!
wivu wivu hee nan hana maisha yake hapa!
ukweli ndio huo what goes around comes back....! mjipange.
 
Tatizo langu hapa nawaza kupika vitumbua na kuokota mayai kwa kuku, yakivunjika tray nadata nasahau umbeya.
kuna siku nilikutana na video ya shamimu amerekodiwa na mwanae bwana, anamtukana sijui nani. Woooii. Shilole ndo hata simjui nimeona anakata viuno tu, hayo mamakeup kama shetani nikimuona tena wala sitomkumbuka.
nimekaa na wachaga wameniharibu akili, khaa
Shoga alotukanana na sintah ni shilole (umbea wataka umakini best). Kajala wanavyodai (wambeya wa mji) kwa sasa anawekwa mjini na mume wa shamimu. Eti mapenzi moto moto......ila nahisi wanataka tu kumuumiza dada wa watu moyo kisa ameokota mijihela si unajua mjini watu hatutakiani heri? watu wa dunia wanafurahi kukuona unahangaika miaka nenda rudi.....
 
N Mitusi anayokoga kajala leo Instagram si mchezo

Kalamba bwana wa mtu china

Wanawake wanakaZi
 
N Mitusi anayokoga kajala leo Instagram si mchezo

Kalamba bwana wa mtu china

Wanawake wanakaZi

yani tuna kazi haswa......hiyo yote anataka aonekane bado yumo...kwa matatizo aliyoyapata angetulia tu sasa hivi na kuwaona wanaume kama baba zake...
 
huwezi amini
mimi na huyo unayemsema ni watu wawili tofauti
ingawa still kuna watu wana mix
mimi nilianza tumia hii avatar so nimeshindwa kuibadili
nimezoeleka nayo sana humu..

kiukweli hata mimi nilikuwa nakuchanganya.....
 
Mimi natokea huku usukumani ndani kabisa. Hizi habari za mjini huwa zinatupita hata hii kompyuta nimefundishwa na mtoto wa Mwalimu hapa kijijini:

Hivi mtu anaposema 'team mama mzungu' anamaanisha nini?
Na je 'mume ya blogger' ndo nini?

Halafu kuna mtu kasema 'what goes around comes around'..hapa imekusudiwa nini?
 
Mimi natokea huku usukumani ndani kabisa. Hizi habari za mjini huwa zinatupita hata hii kompyuta nimefundishwa na mtoto wa Mwalimu hapa kijijini:

Hivi mtu anaposema 'team mama mzungu' anamaanisha nini?
Na je 'mume ya blogger' ndo nini?

Halafu kuna mtu kasema 'what goes around comes around'..hapa imekusudiwa nini?

bora hata umeuliza mwaya
 
huwezi amini
mimi na huyo unayemsema ni watu wawili tofauti
ingawa still kuna watu wana mix
mimi nilianza tumia hii avatar so nimeshindwa kuibadili
nimezoeleka nayo sana humu..

Me nahisi siku zote we ndo muddy washington kaka muddy,,,, kipindi kile umeweka picha ya alshabibu kwa muke ya mzungu niliumia roho na hapo ilikuwa baada ya ku kuuliza if ur muddy,, but nimefurahi uliirudisha.
 
Tatizo langu hapa nawaza kupika vitumbua na kuokota mayai kwa kuku, yakivunjika tray nadata nasahau umbeya.
kuna siku nilikutana na video ya shamimu amerekodiwa na mwanae bwana, anamtukana sijui nani. Woooii. Shilole ndo hata simjui nimeona anakata viuno tu, hayo mamakeup kama shetani nikimuona tena wala sitomkumbuka.
nimekaa na wachaga wameniharibu akili, khaa

na wale mbusi usisahau kuwakatia majani. shamimu hawezi kutukana kwenye video labda copy yake hahaha......
 
wewe utakuwa mrs sembe mwingine maana mpo wengii.................povu limekutoka!
wivu wivu hee nan hana maisha yake hapa!
ukweli ndio huo what goes around comes back....! mjipange.

message sent and delivered to all team haters
 
Muwacheni dada wa watu na heshima zake. Wivu tu mjini hapa kisa kapata mume tena wa ndoa mwenye mahela yake....(hata kama ya sembe as far as tukienda kununua hakuna alama ya kutofautisha za sembe na zisizo na sembe). Mwaka huu shamimu amewakimbiza na atawakimbiza mbaya haters. Ombeni Mungu na nyie muangukie mihela na sio kuwa na chuki binafsi. Mama endelea na kampeni ya mambo ya kilimo dear MWISHO HATERS WATAKUWA BELIEVERS!!!!!!

Unamsifia tu huyo shamimu sijui shoga yako? Ndoa ya kwanza ilimshinda, unajua kwa nini?
Wadada wa mjini sijui dada wa mjini morogoro huyo kwa kupenda pesa, hadi kaamua kumuacha baba Iqra kwa ajili ya pesa.
Na kashajibebesha mimba, analo hilo! Wanaume wenyewe hao wa pesa ya sembe, kila sehemu wanaonja.
Shukuru tu kawekwa ndani anamfulia mume pichu. Anajifanya msafi hana usafi wowote.

Hivyo ule ugomvi wa sintah na mke wa mzungu yeye Shamimu si ndio mchonganishi!!
 
Back
Top Bottom