99.9% ya Wasanii Tanzania ni wahuni sio tu Wcb pekeeHonestly huyu binti hata miaka 20 hajafika tayari kwanza uhuni..sijui huko mbele itakuaje.
Tena watu wenyewe wahuni wa wcb
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
99.9% ya Wasanii Tanzania ni wahuni sio tu Wcb pekeeHonestly huyu binti hata miaka 20 hajafika tayari kwanza uhuni..sijui huko mbele itakuaje.
Tena watu wenyewe wahuni wa wcb
Anaenda RAYVANNY HIGH SCHOOL, hapo yupo pre form five. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
+ Mtoto umeleavyo, ndivyo akuavyoMtoto wa nyoka ni nyoka
Acha apelekewe [emoji91] Tu, akiharibika ww itakuhathiri nn Mkuu?Huyu Mama si ndiye aliyekua anamshutumu hamisa kumpeleka mwanae kwa rayvanny , kajala huyu huyu alimpeleka rayvanny polisi kisa anatembea na mwanae ambaye ni mwanafunzi, leo hii anamuachia tena yule yule aliyemdhalilisha mwanae mitandao ndo adate na mwanae na she doesn’t care at all,’Mh nilikua nataka kumchamba ila roho inakataa Coz huyu Mama akili zake sio nzuri kabisa, anakompeleka mwanae sipo kabisa, mtoto akimshindwa polisi au ukimwi vitamsaidia kulea mtoto wake, mi namuonea huruma tu Coz ndo mtoto wake wa pekee Jaman , mdomo koma warumi mie ptuu , yetu macho tu wambea tutayaona.
View attachment 1793253
Hahahah hatari tupu.Hahaaa nimeiona
Watu wanapendana waacheni, hizi ramli zenu ni bureeeChezea njaa wewe!
Are you she or he?Watu wanapendana waacheni, hizi ramli zenu ni bureee
It doesn't matterare you she or he?
Are you matter or it diesn't?It doesn't matter
Mtoto atakua( mufleva)Binti ambaye ni zao la mama bongo muvi baba bongo fleva hapo unatarajia binti awe na tabia za aina gani?
Bongo muvi na bongo fleva wakizaa mtoto anakuwa na tabia gani kwani?!
Mtoto wa nyoka ni nyoka!
Why should i care?Are you matter or it diesn't?
Uhuni ni nn, miaka 18 ni mingi sana kwa mtoto wa kike kuliwa na jamaa hata 5 akiwa na mpangilio mzuriHonestly huyu binti hata miaka 20 hajafika tayari kwanza uhuni..sijui huko mbele itakuaje.
Tena watu wenyewe wahuni wa wcb
Ishu sio kuliwa.ishu analiwajeUhuni ni nn, miaka 18 ni mingi sana kwa mtoto wa kike kuliwa na jamaa hata 5 akiwa na mpangilio mzuri