Kajala Masanja simuelewagi

Kajala Masanja simuelewagi

Huyu Mama si ndiye aliyekua anamshutumu hamisa kumpeleka mwanae kwa rayvanny , kajala huyu huyu alimpeleka rayvanny polisi kisa anatembea na mwanae ambaye ni mwanafunzi, leo hii anamuachia tena yule yule aliyemdhalilisha mwanae mitandao ndo adate na mwanae na she doesn’t care at all,’Mh nilikua nataka kumchamba ila roho inakataa Coz huyu Mama akili zake sio nzuri kabisa, anakompeleka mwanae sipo kabisa, mtoto akimshindwa polisi au ukimwi vitamsaidia kulea mtoto wake, mi namuonea huruma tu Coz ndo mtoto wake wa pekee Jaman , mdomo koma warumi mie ptuu , yetu macho tu wambea tutayaona.


View attachment 1793253
Acha apelekewe [emoji91] Tu, akiharibika ww itakuhathiri nn Mkuu?
 
Honestly huyu binti hata miaka 20 hajafika tayari kwanza uhuni..sijui huko mbele itakuaje.
Tena watu wenyewe wahuni wa wcb
Uhuni ni nn, miaka 18 ni mingi sana kwa mtoto wa kike kuliwa na jamaa hata 5 akiwa na mpangilio mzuri
 
Uhuni ni nn, miaka 18 ni mingi sana kwa mtoto wa kike kuliwa na jamaa hata 5 akiwa na mpangilio mzuri
Ishu sio kuliwa.ishu analiwaje
Na uhuni ni kudate na muhuni anaetembea suruali iko chini ya matako anavaa hereni na kusuka.angekua binti yako ungekuwa proud kumkabidhi kwa mwanaume kama huyu?
ambae kashachezea wengi na akiwachoka hajiulizi Mara mbili anawaacha,wengine kawazalisha kabisa.
Zaidi hajali hata akurekodi mkiwa unafanya mapenzi halafu akapost insta,kwake sio ishu sababu ni muhuni.
 
Back
Top Bottom