Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Nani huyoo
mama ubaya
wa kawaida sanaaa
mi sioni uzuri wake
Hata yeye haoni uzuri wako. Beauty is in the eye of the beholder mkuu
yule kijana alikua anapiga sana madada enzi zile ndo mtoto wa mjini madj wa bills pale full kuopoa siku za ladies free
Nani huyoo
Oooooo kumbee
na zero brain unawakumbuka enzi zao chapa sana,forondo,kisutu zanaki jangwani sana tuuu
zero tena...billz zero brain ndo wanatamba...wenyewe walikuwa wanapaita kwa kakobe...
kajala, hana pozi la picha, ua waweza sema sio photogenic.
Huyo Paula nishapiga sana hapo .
mi kay nampenda na uchizi wake wotee
hivi jamaniii mwanafa hua anazinyoa nyusi yaaan ni sheeda
mimi kajala,izo b,chriss brown,daimond,kiba
ila daimond sanaaaa yaan hata wasemwejeee mi nawapendaga tuuu
tuko pamoja kasoro mmoja tu hapo
kwi kwi kwiiii
sidhani km ananyoa jamani dina lloooh