Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Hahaha ni baba ni Juma nature....Pfunk once said " I was able to take kajala from the street but I wasn't able to take the street out of her"
mswahili mswahili tuuu!!!
wengine shule ndo zimetuokoa na kupata wazazi wapenda shule na wenyewe kupenda kusoma
kumejifanya tujielewe na kuhama mazingira na kumingle na marafiki wakishuleshule na sasa hv makazini
huo ni ukweli ssasa kajala shule hana na marafiki ndo walewale waliokimbia shule
nini kinazaliwa...?!!!!