Kajala, mwanae wazua "GUMZO" Mlimani city

Kajala, mwanae wazua "GUMZO" Mlimani city

Halo haloooooio asie na mwana abebe mbwaa ndo nishasema ...
Hutaki pita hiviiiiiiiiiiu

Heh imebidi nirudi he he Dina unajua Mimi na wewe....siwezi kukuchamba hata yanikute yapiiii ntasema tu ngurue pita leo sina mkuki.

Ila kimoyomoyo nasema kuzaa nini bwana km kuzaa hata paka anazaa na anaitwa mama pia sembuse kajala
 
Hhhhhhaaaaa,kwan wema hajawah kumsema vibayaa kajala hao wanajuanaa
Lakini we unampendaga sana Wema tuachie na sie tumpende kajala kidogo asione katengwaaa
Haha halo ya kupendwa watu birthday walituma mpunga kwa western union ( sio Mimi lakini) hadi bidada vikamuuma akasweka watu mabatini
 
Paula kashakuwa mrembo haya mabazazi ya jiji sijui uwiiii kama ndio mwanangu nikikukamataaa
 
Heh imebidi nirudi he he Dina unajua Mimi na wewe....siwezi kukuchamba hata yanikute yapiiii ntasema tu ngurue pita leo sina mkuki.

Ila kimoyomoyo nasema kuzaa nini bwana km kuzaa hata paka anazaa na anaitwa mama pia sembuse kajala

Hhhhhaaaa na siku ukinichamba nakuja kwako nakuvulia nguo nakuinamiaa uchizike kumbuka laana si mpaka mama mzazi tu siku hiz hata rafiki anakulaan
Hayaa ndio wema nae asizae tu aongeze tumbwa twingi halaf hivii Van anasoma la ngapi kweliii
 
Hhhhaaaaaaaa kajala awe busy na mwanae tu sio marafiki wapuuzi kusemana tuuu
Utaona kajibu ataenda na mbwa wake China kumfanyia surgery ya uso afanane nae

hahahaaaaa ni shida looo unautani na mama ubaya walah me nakuona tu
 
Hhhhhaaaa na siku ukinichamba nakuja kwako nakuvulia nguo nakuinamiaa uchizike kumbuka laana si mpaka mama mzazi tu siku hiz hata rafiki anakulaan
Hayaa ndio wema nae asizae tu aongeze tumbwa twingi halaf hivii Van anasoma la ngapi kweliii
Bwana wee muite genivrous atupe umbea wa rayc na kajala bwana
 
Haha halo ya kupendwa watu birthday walituma mpunga kwa western union ( sio Mimi lakini) hadi bidada vikamuuma akasweka watu mabatini

Nipe umbea basiii tunafichana tena nami nichekeeee fekelooooo
 
Alimdunda rayc hebu nisimuliegeee

ohooo enzi za kiuno bila mfupa ray c akaenda mwa majani kurekodi single amkamtongoza
wakaanza kulana kajala wala hakulaza damu alimtafuta ray c akala kichapo ktakatifu nyege zote zikaisha kwa majani
kajala enzi zake alikua mtata hatariiii
yasni yule na bange sijui km hakuvuta
mi naona katulia siku hizi
 
ohooo enzi za kiuno bila mfupa ray c akaenda mwa majani kurekodi single amkamtongoza
wakaanza kulana kajala wala hakulaza damu alimtafuta ray c akala kichapo ktakatifu nyege zote zikaisha kwa majani
kajala enzi zake alikua mtata hatariiii
yasni yule na bange sijui km hakuvuta
mi naona katulia siku hizi

Hhhhaaaaaaaa kumbeee alipewa kichapo heavy eeeee, ila mimi nalipenda li kajala mpaka nahis baridi u know le mbebezzzz mukarezz unajuaaa eee
 
kajala ana katoto chake,wema ana katoto cha dog.
 
ohooo enzi za kiuno bila mfupa ray c akaenda mwa majani kurekodi single amkamtongoza
wakaanza kulana kajala wala hakulaza damu alimtafuta ray c akala kichapo ktakatifu nyege zote zikaisha kwa majani
kajala enzi zake alikua mtata hatariiii
yasni yule na bange sijui km hakuvuta
mi naona katulia siku hizi
Nasikia eti kajala alikuwa Kama geto boy flani mkorofiiii malayaaaa. Club au party za town wanaomjua wanasema eti alikuwa hakosi hadi shule ikamshinda. Eti shost ni kweli alitembea na baba yake Kama wanavyodai?
 
Bwana wee muite genivrous atupe umbea wa rayc na kajala bwana

ray c kashazoea kuiba mabwana za watu alipigwa yulee na kajala enzi za kiuno bila mfupa
alikua anatembea na majani K akaambiwa alimdunda vizuri,akawa anatembea na amiy bajaj wa poa records
ndo maana hata kumgombania ruge sishangai na zama
sema zama mpole tu
kajala si mtoto wa mbwa yule siku hizi ametulia kweli
naona anataka akabidhi kijiti kwa mwanawe
 
Nasikia eti kajala alikuwa Kama geto boy flani mkorofiiii malayaaaa. Club au party za town wanaomjua wanasema eti alikuwa hakosi hadi shule ikamshinda. Eti shost ni kweli alitembea na baba yake Kama wanavyodai?

yaani sio unaskia ndo ukweli jamani nyie kajala ametulia sanaaa
han upole wowote yule sura mbili yule
hakuna hata wa kumzushia alitulia baada ya kuolewa
na ndo maana aliolewa ghafla japo tulishangaa sana
umalaya k asili yake
alipinda sana wema chamtoto tu!!
 
Back
Top Bottom