miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
ndio mana nilisema wanawake akili zenu moja Na hamna huruma mumewe alijitoa waishi maisha mazuri kapata matatizo sasa Ana achia watu wanamlia jamaa tunda tena Kwa matangazo dunia nzima ijue. Amakweli wanawake tuishi Na nyie Kwa wema but sio watu nyie
Nitasema kweli daima
Yani sijaelewa kitu yote umbeya tu. Ushahidi UK wapi kuwa kajala yupo name ck? Wekeni picha siyo kuweka ya kajala pekeyake. Ushahidi no UPI?
Du samahani screen touch ni shida
Hivi mkuu huyu jamaa Clement kweli anaweza kufanya kazi kwenye idara nyeti huku anafanya ufirauni wake waziwazi hivi.
Mbona Kaka Mkuu anafanya Sehemu nyeti na ufirauni wake anafanya wazi wazi? Au unataka tukupe data one by One...SHTUKA KAKA..
Si nilikuambiaa wanatusoma humuu yaan hadi comment wanakopy hawa jamaa nomaa aisee
Hadi nikajiuliza hawa ni akina Dinazarde na qn of sheba nn? Maana hii ni copy paste , safi sana kama ujumbe ulifika
Aiseeh nahis data zake nilizonazo hazitosh , ebu nigawie ubuyu kw pm binamu