Kajala na Clement Mambo Hadharani

Kajala na Clement Mambo Hadharani

ndio mana nilisema wanawake akili zenu moja Na hamna huruma mumewe alijitoa waishi maisha mazuri kapata matatizo sasa Ana achia watu wanamlia jamaa tunda tena Kwa matangazo dunia nzima ijue. Amakweli wanawake tuishi Na nyie Kwa wema but sio watu nyie


Nitasema kweli daima

Mchuma janga???ukimalizia utapata jibu
 
Yani sijaelewa kitu yote umbeya tu. Ushahidi UK wapi kuwa kajala yupo name ck? Wekeni picha siyo kuweka ya kajala pekeyake. Ushahidi no UPI?
 
Yani sijaelewa kitu yote umbeya tu. Ushahidi UK wapi kuwa kajala yupo name ck? Wekeni picha siyo kuweka ya kajala pekeyake. Ushahidi no UPI?

Sista andika basi fresh sijakupata mazeee
 
nauliza tu jamani kwani wema kwa sasa siyupo palepale kwenye ile nyumba aliyopangishiwa na ck?mbona kama ndo ivyo?mwenye fact basi afunguke!
 
Mbona Kaka Mkuu anafanya Sehemu nyeti na ufirauni wake anafanya wazi wazi? Au unataka tukupe data one by One...SHTUKA KAKA..

Aiseeh nahis data zake nilizonazo hazitosh , ebu nigawie ubuyu kw pm binamu
 
nauliza tu jamani kwani wema kwa sasa siyupo palepale kwenye ile nyumba aliyopangishiwa na ck?mbona kama ndo ivyo?mwenye fact basi afunguke!

Kashahama kitambo , hapana chezea kk Clement
 
uyo clement walshaachana na mkewe... mkewe yupo dodoma. walgawana mal mkewe alpata 300ml akaenda zake idofomya...nae alv ----- akapata bwana uko wakaztumbua mpk zmeisha mpk ss ypo2 tuu kafulia.. na kpnd kle mke wa clement alpo mfanyia fujo wema walkua washaachana mda mrf sema kupoza machungu ya kufulia tuu.. ila kajala kabug meeen
 

Attachments

  • 1399616627705.jpg
    1399616627705.jpg
    62.9 KB · Views: 176
Last edited by a moderator:
Mi sipo instagram kabisaa

Basi wametusaidia kutufikishia ujumbe uko , ivi Uzi wa ommy dimpoz umefutw? Nilikuwa nataka Ku comment wanasema siruhusiw , maana watu wamempa vichambo vya haja , Mimi nae sio mtu mzuri aaah aaaah
 
Back
Top Bottom