[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nimecheka sanaWamuige mdangaji Mwandamizi Zari anavyochuma pesa.
Sasa mtu tokea shule ya msingi kako mcharuko,enzi za beach party na hapo club langata anakuja kucheza kusasambua tu na wenzakeMoja ya mifano mibovu duniani.
Moja ya malezi mabovu duniani
Wawakilishi wa dp world.Ndio kina nani hao huko Daslam?
Kisha kutumbuliwa uRcMakonda alidate naye akakosa ubunge kigamboni
Gundu nj kwa waliopita nao,sio wao[emoji4]Sasa km hela za ma sponsor wanaishia kutumbua bata zisizo na maana, lazima ionekanee wana gunduu. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mabinti wengi wenye nyota wako hivyo[emoji4]Cha ajabu sasa yeye kaishia kuwa hoe hae, hata fadhila hawakumbukiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28]Wamemwachia shahawa tu
View attachment 2681797
Kajala alipoanza mahusiano na Pfunk Majani, Pfunk aliyumba sana akapigwa bao na kina masterJ, Mikamwamba na wengine wengi, wakongwe wenzangu mnawakumbuka.
Kajala akafunga ndoa, mume akafungwa magereza, yeye aliponea baada ya wema kumlipia fedha alizopewa na mpenzi wake CK.
Kwa ulaku wake, Kajala akamwibia Wema yule bwana, kilichompata bwana yule baada ya kudate Kajala alifukuzwa kazi serikalini na kupandishwa mahakaman kwa ufisadi na uhujumu, alifungwa na kufilisika kabisa. Sasa hivi anachoma mishkaki.
Harmo alipotoka WCB alipata deals nyingi na endorsements, lakini alipolianzisha na Kajala makampuni hayakuongeza mikataba, wasanii hadi machawa wa kondegang waliachana nae. Hilo ni gundu.
Rayvan alipodate Paula wa Kajala alipotea kwenye Raman had akamrudia mkewe, hadi Sasa hajakaa sawa bado kibiashara.
Nikimtazama Marioo tangu aanzane na Paula wa Kajala, umaarufu unapungua.
Je, hili sio gundu lililopindukia?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Anapaswa kujitahmini[emoji4]Hii ni bullyingβ¦.
Kwa kufanya nini hasa, ungekuwepo wewe ungefanya nini?Anapaswa kujitahmini[emoji4]
Sasa si upuuzi wa hao watu, walishindwa kujimake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gundu nj kwa waliopita nao,sio wao[emoji4]
Usinambieee baba J unaniogopeshaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mabinti wengi wenye nyota wako hivyo[emoji4]
ni mastaa fulani hivi bongoNdio kina nani hao huko Daslam?
dipii weldi ya mcharukoniWawakilishi wa dp world.
mmh.urfa.udu.kweri.rile.limuzigo.Nilidate na kajala niliyumba kiuchumi sana huyo kajala ana gundu la wanaume
Ndie aliyemtoa mondi kwa kumuingiza chamaniWEMA JE
Buchani deile ila nyama zetu zile anazikandiatulia basi mkuuu π π π π .. mbona nyama unanunua
Hayo unasema wewe.Mi hua nashangaa sana watu na hela zao unawakuta wanakula vikongwe hao kina kajala, wema sijui uwoya watu wameshatumika tangu miaka ya 90 hadi leo π. Wakati kuna vitoto vya chuo miaka 21 - 24 viko hot balaa. Sijui ni udomo zege au ni nini mi hua sielewi kabisa..
Tafsiri yake ni nini?MLANGO WA 8!!